Inakuwaje nchi nyingi kubwa za Kiarabu mpaka leo hii zimeshindwa kuiteketeza nchi ndogo kama Israel?

Inakuwaje nchi nyingi kubwa za Kiarabu mpaka leo hii zimeshindwa kuiteketeza nchi ndogo kama Israel?

Hizo nchi za kiarabu wengi ni zero brain yani makubwa jinga..na isingekua mafuta wangekua wanaomba msaada wa kuchimbiwa vyoo kama sub saharan countries.

#MaendeleoHayanaChama
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Umkhippor(speling) vita ya siku sita.
Matokeo yalikuwa hivi.
1. Syria kupoteza milima ya gollan
2. Misri kupoteza jangwa la sinai
3. Lebanon kupoteza ardhi
4. Palestina kupoteza 100% ya ardhi yake.
Only Misti alirudishiwa wbaada ya makubaliana na serekali ya israel.

Syria mpaka leo milima haijarudi.
Palestina kwa kuonewa huruma wakapewa mamlaka kwenye baadhi ya maeneo.
 
Kama mngekuwa mnaifuatilia Italy ingekuwa vizuri sana maana ndio ndugu zenu na ndio waliyokuleteeni ukristo

Italy is officially a secular state. Christianity is the majority Religion followed by almost 84% of the population and Roman Catholicism is its main branch.


Lakini waisrael Wala hawana mpango na ukristo Sasa sijui kwa nini mnajipendekeza sana kwao

The religious affiliation of the Israeli population as of 2019[3] was 74.2% Jewish, 17.8% Muslim, 2.0% Christian, and 1.6% Druze. The remaining 4.4% included faiths
Italy na christianity vinahusikaje na nchi za kiarabu kushindwa kui eliminate Israel ?
 
Ila hao watumwa wamejipanga asikwambie mtu, alafu ndiyo nchi pekee Ina kila watu waliopo duniani, mpaka mwarabu mmarekani na unamkuta anauchungu na nchi yake balaa!
Ndio mana huwa nasema hakuna wakuiangusha America mana America ni kimbilio la kila race kuishi kwa uhuru na amani huku akitengeneza pesa na maisha.

Hakuna nchi inayotoa uhuru na amani kama usa...hao wote waliopo usa lazima walinde uhuru wao na amani hata kama vitishio vitatoka katika nchi zao mama.

#MaendeleoHayanaChama
 
Defeating Israel means defeating USA .....Israel ina prove maandiko ya biblia na inathibitisha kwamba ni Taifa teule, kwamba itapigwa itainuka na mwisho wa SIKU atakuwa mshindi......
 
MODS TAFADHALINI MSI DILUTTE KWA KUUNGANISHA UZI HUU NA NYUZI ZA ZAMANI AMBAZO ZILISHACHUJA

N:B: Kupigana ni tofauti na kupigwa ama kupiga,

Naweza kuifananisha Israel na Sungura na mataifa mengine ya kiarabu yanayotaka kuiangamiza Israel kama Tembo tena zaidi ya moja, sasa katika mapigano haya ikitokea Sungura kabamiwa na kundi la Tembo huwa kwa kawaida ni kwamba Sungura labda akimbie ila akibaki kupigana atapigwa na atakanyagwa kanyagwa bila kurudisha mapigo yoyote.

Nashangaa sana nchi ndogo kama israel japo nayo kuna muda inashambuliwa lakini nayo inaweza kurudisha mapigo kwa kuzishambulia nchi nyingine ambazo ni kubwa kabisa, yani ni piga nikupiga nipe nikupe baina ya sungura na kundi la Tembo, hii inaingia akilini kweli ?
 
Umewahi kuona bidhaa imeandikwa made in Israel?

Lakini viwanda vingi na makampuni makubwa ni vya wayahudi duniani

Sasa hapo huoni nguvu yao
Kuna mataifa makubwa yanawategemea Wayahudi kwenye Uchumi wao na hata Uchaguzi
 
Tatizo hizo nchi zimegawanyika hazipo pamoja, halafu Israel inakingiwa kifua na kuungwa mkono na Marekani, wanapokea misaada mingi mikubwa kutoka Marekani, usijidanganye Israel bila Marekani si lolote si chochote, ndio maana kapigwa na Hezbollah tu , hizo nchi zote za kiarabu ni vibaraka wa Marekani.
Israel ndo wanai.control Marekani kwa taarifa yako. Kwa asilimia kubwa ya budget ya Amerikani inachangikiwa na coorporate companies na wamiliki wa hizo kampuni ni wa Israeli. Bila wayahudi Amerikani hamna kitu.
 
Umoja wa mataifa kuna mkataba wa America kuilinda Israel hadi mwisho wa dunia.

Lakini utambue kiasili lile taifa la Israel ni chimbuko la mataifa mengi tu ya ulaya na mwarabu ndugu ambae kidini ugomvi wao ulitabiriwa toka wanazaliwa.

Israel ukimfanyia ubaya hata baada ya miaka 100 lazima ajekulipiza kisasi kwa namna yo yote ile.

Japo mi naamini wao bado wanajichukulia kama ni taifa maalum hapa duniani kitu ambacho sio kwa sasa.
Kaka chunga maneno yako. Lile ni taifa teule utake usitake
 
Umkhippor(speling) vita ya siku sita.
Matokeo yalikuwa hivi.
1. Syria kupoteza milima ya gollan
2. Misri kupoteza jangwa la sinai
3. Lebanon kupoteza ardhi
4. Palestina kupoteza 100% ya ardhi yake.
Only Misti alirudishiwa wbaada ya makubaliana na serekali ya israel.

Syria mpaka leo milima haijarudi.
Palestina kwa kuonewa huruma wakapewa mamlaka kwenye baadhi ya maeneo.
Na hapo walishtukizwa maana walikua kwenye mfungo walivyo vamiwa
 
View attachment 2411770

Hii nchi kwangu inanishangaza sana, Ni ka nchi kadogo lakini manchi mengi makubwa yaliyodhamiria kuifuta kwenye rmani ya dunia hayajaweza mpaka leo. Ni mwendo wa kupigana, Ni sawa na Sungura na Tembo wanapigana kitu ambacho ni kama mazingaombwe.

Pia nimesoma historia kadhaa kuona kwamba nchi ndogo kama Israel ilizikalisha nchi kama sita hivi kubwa za kiarabu kwenye vita iliyochukua siku chache sana, Hii inawezekanaje?
“All the peoples of the earth shall see that you are called by the name of the LORD, and they shall be afraid of you” (Deuteronomy 28:10).

“I will send my terror before you and will throw into confusion all the people against whom you shall come, and I will make all your enemies turn their backs to you” (Exodus 23:27-28).
 
View attachment 2411770

Hii nchi kwangu inanishangaza sana, Ni ka nchi kadogo lakini manchi mengi makubwa yaliyodhamiria kuifuta kwenye rmani ya dunia hayajaweza mpaka leo. Ni mwendo wa kupigana, Ni sawa na Sungura na Tembo wanapigana kitu ambacho ni kama mazingaombwe.

Pia nimesoma historia kadhaa kuona kwamba nchi ndogo kama Israel ilizikalisha nchi kama sita hivi kubwa za kiarabu kwenye vita iliyochukua siku chache sana, Hii inawezekanaje?
"For I will take you from the nations, gather you from all the lands and bring you into your own land. "Then I will sprinkle clean water on you, and you will be clean; I will cleanse you from all your filthiness and from all your idols. "Moreover, I will give you a new heart and put a new spirit within you; and I will remove the heart of stone from your flesh and give you a heart of flesh. read more.
"I will put My Spirit within you and cause you to walk in My statutes, and you will be careful to observe My ordinances. "You will live in the land that I gave to your forefathers; so you will be My people, and I will be your God.
Ezekiel 37:21-25
 
Back
Top Bottom