Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Wezi wa kura watukufu!Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Utukufu wa bunge unaendana na matendo ya bunge husikaKuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Mkuu hauoni kama kunakitu kinafanyika kwetu hakiwezi kufanyika? tunakuwa tumechoka na wanagapia wanasema ndio mara wote ndioooooo na wanagapi wanapinga kimya, hizo ni moja ya sababu zinazotufanya tufwatilie Bunge la wenzetu maana kuna utendaji ambao kwetu ni vigumu kabisa kuja kutokea,maana katiba zetu zina tofauti kubwa sana, twende tu mpaka tutakapo fikia.Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Watanzania kwa umbea hawajambo. Kufuatilia mambo ya watu hawajambo, ila sasa ya kwao ahh, mabadiliko kwao ahhKuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Mara mbinge anaenaenda kavaa suruali ina damu damu sehemu za siri ili kuombe serikali itazamie kwa upya issue ya kodi za pedi. Yaani kila wakati kuna jambo jipya.Watu wanapenda drama.
Bunge letu halina drama.
Bunge la Kenya mara wabunge wanataka kupigwa na wananchi, nara Deputy President anataka kutolewa.
Lazima wabongo wafuatilie huku wakisema "Lini na sisi tutapata chachandu kama hizi, bunge ketu limepooza sana".
_Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Imekuwa ni mazoea mtu kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Anatuona sisi hamnazo🤣🤣🤣Mbona inaeleweka mkuu...
Mambo mengine kukomenti ni kutafutiana kesi tu...😶
unasemea bunge lipi mkuu, hili ambalo kwenye finance bill liliipitisha licha ya kelele za wananchi na baadaye Rais akaipiga chini bill hiyo?Bunge la Kenya lipo wazi (open) kwa umma na ni la kidemokrasia lenye pia kuleta bashasha na mvuto kwa wapiga kura na lenye wabunge mchanganyiko kutoka vyama tofauti vya siasa.
Bunge la Tanzania ni pale Spika atakaporuhusu "flow" na kila mtu amwage ugali na mboga hapohapo kwa kutoa mchango wake.
Pia wapiga kura wa Tanzania ndo wenye uwezo wa kulibadili bunge letu ikiwa wataruhusiwa kupiga kura kwa kutumia uwezo wa kufikiri kwamba mbunge wanomhitaji atakidhi matarajio yao na sio matarajio yake yeye.
Ukweli nikwamba hakuna kitu kamili, Bunge la Kenya ni tamu tusidanganyane.unasemea bunge lipi mkuu, hili ambalo kwenye finance bill liliipitisha licha ya kelele za wananchi na baadaye Rais akaipiga chini bill hiyo?
unasema ni zuri kwa kwa sababu ya impeachment ya Gachagua ambayo iko orchestrated na Rais Mwenyewe?
Watanzania tunatabia ya kujidharau sana.
Ili Bunge liwe zuri lazima liwe accountable kwa wananchi. Zaidi ya hiyo ni drama tu.Ukweli nikwamba hakuna kitu kamili, Bunge la Kenya ni tamu tusidanganyane.
nadhani Africa Mashariki nzima walikua wanafuatilia bunge la Kenya kuona jinsi ambavyo ubovu wa katiba yao wenyewe unavyowasulubisha wao wenyewe 🐒Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Bunge letu lipi, huo utopolo wa Tulia 🚮 ?!!Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?
Mkuu kwa upuuzi wabunge letu lazima watu tuponde, wabunge na spika wao wote machawa._
Imekuwa ni mazoea mtu kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.
P
sasa hoja ya kufuatiliwa kwa bunge la Kenya na huyo mdudu vinahusiana nini gentleman?