Hoja ni uoga ulionao kuona wananchi wengi zaidi wataanza kupuuza vitisho vya machawa kutaka katiba mpya!sasa hoja ya kufuatiliwa kwa bunge la Kenya na huyo mdudu vinahusiana nini gentleman?
au,
wewe unatofautiana nini na wale wananchi wa kenya ambao walialikwa kwenye public participation ili kutoa maoni yao kwamba RigGy abanduliwe unaibu rais ama asibanduliwa..
wao wakawa wanachant Ruto must go? π€£
Sqbqbu ni kwamba angalau bunge la kenya haliendeshwi kama tv kwenye remote. Wakiamua kukubali wanakubali na wakiamua kukataa wanakataa hata kama rais ndiye kasema. Pia wanajadili mambo kwa hojaKuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Na kinginge, uzalendo ni kuhakikisha kila nafasi unayoipata unatekeleza majukumu kwa faida ya Taifa na sio kuwa chawa wa mtu fulani. Uchawa unazidi kurudisha taifa nyuma kwasababu watawala wamebweteka na kuona hata wasipofanya hakuna wa kuwauliza na chawa kazi yao ni kuwaaminisha watu uongo kuhusu kiongoziKuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Ha ha ha ha ha ha aiseee.La kwetu sio bunge japo linaitwa bunge, ni kikao cha CCM. Sasa nani mwenye akili yake timamu atakaa kusikiliza kina Babu Tale wakimsifia Samia kwa kuleta mvua.
vitisho vya nani, kwanini na wapi gentleman?Hoja ni uoga ulionao kuona wananchi wengi zaidi wataanza kupuuza vitisho vya machawa kutaka katiba mpya!
Sio kweli. Bunge la Tanzania limegeuka kuwa kibaraka wa serikali._
Imekuwa ni mazoea mtu kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.
P
Hujiulizi kuona vilabu vya ulaya vya mpira wa miguu vina mashabiki wengi kuliko timu zetu za ndani?Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Mwaka jana nilichapisha hapa kwamba spika wa bunge na naibu wake wachaguliwe kama wabunge kupitia uchaguzi mkuu maana ni wasimizi wa kuu wa maslahi ya wananchiTafsir sahihi ya bunge ipo Kenya!
Hili hapa ni kikundi cha waliowekana kulinda maslahi mapana ya
1.chama
2.then wao,
3.mwananchi anakuja wa tatu, Usitegemee spika akaenda tofauti na chama hapa kwetu,uhuru huo hana!
raiya= raiaTanzania si tu wabunge ni mazuzu mpaka raiya wake
Utakuwa hulitendei haki kusema kuwa limegeuka, as if Bunge letu limewahi kuwa bunge la wananchi!. Lini bunge letu limewahi kuwa sio kibaraka?Sio kweli. Bunge la Tanzania limegeuka kuwa kibaraka wa serikali.
WEWE ni umeleta HOJA YA KIJINGA kuja kupima upepo, wakati unajua ukweli.Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Paskal nakuonya, tutakuita Tena kwenye kamati ya hadhi na mamlaka ya Bunge.....π€£π€£π€£π€£ ila ukija this time uje na kiti na maiki Yako, hatutakuacha.Utakuwa hulitendei haki kusema kuwa limegeuka, as if Bunge letu limewahi kuwa bunge la wananchi!. Lini bunge letu limewahi kuwa sio kibaraka?
P
Umesahau enzi za akina Njelu Kasaka?Utakuwa hulitendei haki kusema kuwa limegeuka, as if Bunge letu limewahi kuwa bunge la wananchi!. Lini bunge letu limewahi kuwa sio kibaraka?
P
KWANI ? TANZANIA KUNA BUNGE? AU UNAZUNGUMZIA ILE MIFUGO YA TULIA INAYO NENEPESHWA PALE DODOMA ?Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?