TEC wanasema sana mkuuKwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.
Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.
Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k
Yeye ndie muasisi wa uchaguzi uliofanyika leo kwa Iyo ni muendelezo tuJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
😂 Mtu amekufa mwaka wa tatu sasa ila bado lawama mnalazimisha ziende kwake, kwahy ht ukishindwa kubeba mimba ya mumeo bado utamsingizia JPM?Yeye ndie muasisi wa uchaguzi uliofanyika leo kwa Iyo ni muendelezo tu
Wale waislam wanajiita dini ya haki wamehamia nchi gani?Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.
Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.
Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k
Wapo Kizimkazi wanaokula ngamia na kulamba asaliWale waislam wanajiita dini ya haki wamehamia nchi gani?
Ameachiwa katibu wa TEC pekee
Kumbe hakuna dini ni njaa tuWapo Kizimkazi wanaokula ngamia na kulamba asali
Utaongea nini una tonge mdomoni
Hata fr kitima anapokemea huu uchafuzi anaambiwa mdini kwa sababu chura kiziwi muislamWale waislam wanajiita dini ya haki wamehamia nchi gani?
Ameachiwa katibu wa TEC pekee
Gentleman,Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.
Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.
Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k
Unafiki tu. Wanasubiri kushiriki kwenye misiba!Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.
Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.
Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k
Halali = Haramu?Gentleman,
Yaani ushindwe uchaguzi halali kwenye sanduku la kura,
halafu uje kudai huruma kwa taasisi mballimbali, kwa visingizio visivyo na uhusiono? kweli?
that is nonsense 🐒
watu wanaogopa kuimbiwa parapanda we....Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.
Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.
Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k
Kweli kabisa hii ni khatari kabisa sio padri, shekhe wala mzee mwenye busara anakemea uchaguzi huu mbovu kabisa!Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.
Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.
Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k