Inaogofya sana kuona hakuna mtu wala taasisi inayokemea dhulma katika uchaguzi

Inaogofya sana kuona hakuna mtu wala taasisi inayokemea dhulma katika uchaguzi

Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.

Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.

Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k
Nchi ina taasisi hii? wale TLS unawasikia now day? wakiba Mwambukusi?
 
Kwa jicho la kichawa unaweza kufurahia yanayoendelea, lakini kiukweli upendo, umoja na mshikamano wa watanzania vinadhoofu kila siku. Historia itakuja kutuhukumu kwa kutochukua hatua stahiki.

Ukimya na kutochukua hatua kwa:-
1. Watu wanaotekwa, wanaopotea na kuuawa.
2. Ubakwaji wa demokrasia wa wazi wazi.
3. Dhuluma ya mali na haki za watu.

Ipo siku yatatibuka, na kila mtu atajuta. Nilitegemea majeshi, mahakama, taasisi na wazee mashuhuri kuchukua hatua za makusudi k
Wanasubiria maelekezo au mtu mmoja ajitoe muhanga , taasis haziko independent kabisa
This is bullshit
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom