Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Ni kwel wananchi wanamjua vizuri sana haswa kwenye habari ya tozo ,sakata la ngorongoro, na bandari .
 
Hivi mnajua kwamba Mwakani 2025 Mgombea wa CCM atakuwa ni Samia Suluhu Hassan wakati Mgombea mwenza wake atakuwa Tundu A. Lissu

Jiandaeni Kwa hiyo Surprise labda Tundu akatae, ila Wazee wameshatumwa kuanza kumshawishi
Mungu akawe upande wa Haki, Amani na maendeleo kwa Taifa hili.
 
Hivi mnajua kwamba Mwakani 2025 Mgombea wa CCM atakuwa ni Samia Suluhu Hassan wakati Mgombea mwenza wake atakuwa Tundu A. Lissu

Jiandaeni Kwa hiyo Surprise labda Tundu akatae, ila Wazee wameshatumwa kuanza kumshawishi
ni kipi CCM walichokosa mpka wamshawishi Tundu lisu kuwa mgombea mwenza.

Hilo jambo haliwezekani.
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Yupo moyoni mwake ndio maana mdomoni mwake hatoki
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Yupo moyoni mwake ndio maana mdomoni mwake hatoki
 
Wajitahid wamshawishi apate cheo kikubwa bila hivyo, jamaa anajua kujenga na kutetea hoja atawasumbua
 
Tofautisha kati ya time na Nyakati.
Kila kitu kina sababu, mimi natka nijue sababu zipi zitapelekea CCM kumshawishi TL ahamie CCM na kuteuliwa kuwa mgombe mwenza.

Nichajua hizo ni probaganda wanazifanya kujaribu kupunguza ushawishi wa LIssu.
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Kumbe ni watani sasa hiyo iitwayo hofu iko wapi ?!! [emoji44][emoji1787]

Mh.Rais anamjua mtani wake kuwa ni mtu wa KUTOTULIA...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom