Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅 shindikana huwa mnasemaga hivyo tuShindikana katika ubora wako🤣🤣🤣
Sema unakutana na mashindikana wenzio. Sie wengine ni wakweli kabisaaaa🤣
Mkuu mchezo huu wa kulana hupo toka kitambo, wewe kama huli mke wa mtu basi juwa wenzako wanamsalandia mkeo na pengine washamla tayari. Mwanamke kutongozwa ni muhimu kwani asipotongozwa hajioni kama wa maana katika jamii. Hamka na nenda mitaani katafute mwanamke wa kumla, wacha uvivu.Imezoeleka kusemwa kwamba mwanaume katu hawezi kuwa wa mwanamke mmoja ila lazima awe na wanawake wengi,je umeshawahi kujiuliza kwamba huyo mwanaume ambaye hakai na mwanamke mmoja kwamba anaweza pita na mkeo?
Kama hivyo ndivyo basi nadhani wanaume ifike kipindi tujue kwamba kama sisi hatuwezi kukaa na mwanamke mmoja,na tunawaendea wanawake wa wenzetu basi hata wanawake wetu nao watafuatwa na wanaume wenzetu,yani iko hivyo.
Kwa maana nyingine tutaendelea kubadilishana kwa stahili hiyo,sasa tuache kujifanya tuna wivu sana wa kupindukia mipaka mpaka kuchinjana na kutoana vilema wakati sote ni wakosefu
Huyo mwamba wa Guinea Bartasar ametuonyesha kwamba hakika wake zetu wanaliwa sana ni hivyo hatujui tu,na kutojua kwetu ndio uzima wetu,tunaweza lea familia na kufanya majukumu mengine kama kawaida,vinginevyo tungekuwa na msongo wa mawazo na ufanisi wetu kupungua.
Kwahiyo usaliti ni sehemu ya maisha ya mwanadamu kasoro wale ambao hakika wamebarikiwa kwa kuwa na hofu ya Mungu,binafsi naamini kabisa hakuna kinacho muongoza mwanadamu katika njia ilinyooka isipokuwa ucha mungu wa kweli,lakini nje ya hapo,ni ngumu sana kwa mwanadamu kukwepa vishawishi na tamaa.
Na tumeona hao wake za watu ambao wamepitiwa na huyo legend wa Guinea hawana dhiki ya maisha,wana maisha mazuri sana kwakuwa wengi ni wake za watu mashuhuri,ina maana kwamba usaliti ni zaidi ya pesa na maisha mazuri,ni tamaa ya asili ya mwanadamu
Kwahiyo wanaume tunapo endeleza ile kasumba ya kusema mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja,basi tambua hata mkeo atakuwa windo la mwanaume ambaye hakai na mwanamke mmoja,sijui nimeeleweka?
Mwisho tusiogope kuoa na kuolewa kwa haya yanayotokea,kwani ndoa ni takwa la muumba wetu,hivyo ni wajibu kama wanadamu kutekeleza hilo ili tuzae na kuendeleza familia bora
Inasemwa bora ni kuwa na huyo mmeo au mkeo ambaye amekuchagua wewe kati ya wengi kuwa mshirika wako wa maisha,hilo ndio jambo kubwa hayo mengine ni matokeo kwani moyo wa mtu ni kichaka.
Furahia ndoa yako kwa moyo mmoja mpaka pale yatakapo kuja kudhihirika usiyo yatarajia,ila usitayafute majanga ila wewe yawache mpaka yatakapo jidhihirisha yenyewe.
Ndoa bado itabakia kuwa hitajio muhimu sana kwa mwanadamu,ilikuwa hivyo na itaendelea kuwa hivyo dahari na dahari pamoja na changamoto zake
Ni hayo tu!
Point yako umeiweka kivisasi zaidi, kwamba mume anacheat na mwanamke nae alipize, Kitu ambacho ni tofauti kabisa nguzo ya nadharia inayodai mwanaume hawezi kukaa na mwanamke mmoja.Imezoeleka kusemwa kwamba mwanaume katu hawezi kuwa wa mwanamke mmoja ila lazima awe na wanawake wengi,je umeshawahi kujiuliza kwamba huyo mwanaume ambaye hakai na mwanamke mmoja kwamba anaweza pita na mkeo?
Kama hivyo ndivyo basi nadhani wanaume ifike kipindi tujue kwamba kama sisi hatuwezi kukaa na mwanamke mmoja,na tunawaendea wanawake wa wenzetu basi hata wanawake wetu nao watafuatwa na wanaume wenzetu,yani iko hivyo.
Kwa maana nyingine tutaendelea kubadilishana kwa stahili hiyo,sasa tuache kujifanya tuna wivu sana wa kupindukia mipaka mpaka kuchinjana na kutoana vilema wakati sote ni wakosefu
Huyo mwamba wa Guinea Bartasar ametuonyesha kwamba hakika wake zetu wanaliwa sana ni hivyo hatujui tu,na kutojua kwetu ndio uzima wetu,tunaweza lea familia na kufanya majukumu mengine kama kawaida,vinginevyo tungekuwa na msongo wa mawazo na ufanisi wetu kupungua.
Kwahiyo usaliti ni sehemu ya maisha ya mwanadamu kasoro wale ambao hakika wamebarikiwa kwa kuwa na hofu ya Mungu,binafsi naamini kabisa hakuna kinacho muongoza mwanadamu katika njia ilinyooka isipokuwa ucha mungu wa kweli,lakini nje ya hapo,ni ngumu sana kwa mwanadamu kukwepa vishawishi na tamaa.
Na tumeona hao wake za watu ambao wamepitiwa na huyo legend wa Guinea hawana dhiki ya maisha,wana maisha mazuri sana kwakuwa wengi ni wake za watu mashuhuri,ina maana kwamba usaliti ni zaidi ya pesa na maisha mazuri,ni tamaa ya asili ya mwanadamu
Kwahiyo wanaume tunapo endeleza ile kasumba ya kusema mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja,basi tambua hata mkeo atakuwa windo la mwanaume ambaye hakai na mwanamke mmoja,sijui nimeeleweka?
Mwisho tusiogope kuoa na kuolewa kwa haya yanayotokea,kwani ndoa ni takwa la muumba wetu,hivyo ni wajibu kama wanadamu kutekeleza hilo ili tuzae na kuendeleza familia bora
Inasemwa bora ni kuwa na huyo mmeo au mkeo ambaye amekuchagua wewe kati ya wengi kuwa mshirika wako wa maisha,hilo ndio jambo kubwa hayo mengine ni matokeo kwani moyo wa mtu ni kichaka.
Furahia ndoa yako kwa moyo mmoja mpaka pale yatakapo kuja kudhihirika usiyo yatarajia,ila usitayafute majanga ila wewe yawache mpaka yatakapo jidhihirisha yenyewe.
Ndoa bado itabakia kuwa hitajio muhimu sana kwa mwanadamu,ilikuwa hivyo na itaendelea kuwa hivyo dahari na dahari pamoja na changamoto zake
Ni hayo tu!
🤣🤣🤣 shindikana uwe na imani.😅😅 shindikana huwa mnasemaga hivyo tu
Kweli, jamaa ni all-rounded; pesa, elimu, high profile job, connection na royal family, exposure, muonekana na kazi kazi anavimudu vyema. Tabu yake utoto wa kujirekodi kama Mwijaku... shenzi sana.ALikuwa anamuweka bize na watoto kumbe yeye ana project yake,mshenzi sana yule
Sawa shindikana wangu🤣🤣🤣 shindikana uwe na imani.
Mbona unanilisha maneno boss,hiyo dhana ya kisasi na sijui mwanaume akicheat na mke acheat nimeisema wapiPoint yako umeiweka kivisasi zaidi, kwamba mume anacheat na mwanamke nae alipize, Kitu ambacho ni tofauti kabisa nguzo ya nadharia inayodai mwanaume hawezi kukaa na mwanamke mmoja.
Binafsi nakubaliana na usemi wa kwamba kiasili mwanaume akuumbwa kuwa na mwanamke mmoja kwa sababu zifuatazo.
1. Takwa la kuijaza dunia.
Mwanaume mmoja anaweza kuwapa mimba wanawake wengi kwa mara moja tofauti na mwanamke mmoja ambae hawezi kubeba mimba za wanaume wemgi kwa pamoja.
2. Tendo la ngono.
Linapokuja suala la sex mwanaume yupo tayari 24 hrs lakini mwanamke ana excuses nyingi sana. Mara kachoka, mara yupo period, miezi michache baada ya kuzaa hamuwezi kufanya sex n.k kwa mwanaume kukabiliana na hizi changamoto njia pekee ni kuwa na wake wengi.
Yan sijui alikuwa anawaza nini,kinacho sikitisha kuna ndoa kibao zitaparaganyika na ajira kadhaa zinapotea kwa ajili ya mshenzi mmoja kurekodi matukio,hakika ameleta tafaruku kubwa sana huko GuineaKweli, jamaa ni all-rounded; pesa, elimu, high profile job, connection na royal family, exposure, muonekana na kazi kazi anavimudu vyema. Tabu yake utoto wa kujirekodi kama Mwijaku... shenzi sana.
Huwa iko hivyo huenda mwanandoa mmoja anachepuka na mwengine hachepuki au wengine ndio wanaweka ligiMleta mada hii mada uliyoileta inakanganya mi nimeshawahi kuona mtu hachepuki ila mkewe kicheche hii imekaaje?
Mtakuja tuu upande wangu. Mbususu ni za kushare wee mkeo akigegedwa huko nje wala usimind muhimu ni kumkaribisha njemba uumpe mkeo tamanio lake la kuwa na nyie wote wawili kwa pamoja. Mnagonga threesome safi kabisa kila mtu anafurahi.Imezoeleka kusemwa kwamba mwanaume katu hawezi kuwa wa mwanamke mmoja ila lazima awe na wanawake wengi,je umeshawahi kujiuliza kwamba huyo mwanaume ambaye hakai na mwanamke mmoja kwamba anaweza pita na mkeo?
Kama hivyo ndivyo basi nadhani wanaume ifike kipindi tujue kwamba kama sisi hatuwezi kukaa na mwanamke mmoja,na tunawaendea wanawake wa wenzetu basi hata wanawake wetu nao watafuatwa na wanaume wenzetu,yani iko hivyo.
Kwa maana nyingine tutaendelea kubadilishana kwa stahili hiyo,sasa tuache kujifanya tuna wivu sana wa kupindukia mipaka mpaka kuchinjana na kutoana vilema wakati sote ni wakosefu
Huyo mwamba wa Guinea Bartasar ametuonyesha kwamba hakika wake zetu wanaliwa sana ni hivyo hatujui tu,na kutojua kwetu ndio uzima wetu,tunaweza lea familia na kufanya majukumu mengine kama kawaida,vinginevyo tungekuwa na msongo wa mawazo na ufanisi wetu kupungua.
Kwahiyo usaliti ni sehemu ya maisha ya mwanadamu kasoro wale ambao hakika wamebarikiwa kwa kuwa na hofu ya Mungu,binafsi naamini kabisa hakuna kinacho muongoza mwanadamu katika njia ilinyooka isipokuwa ucha mungu wa kweli,lakini nje ya hapo,ni ngumu sana kwa mwanadamu kukwepa vishawishi na tamaa.
Na tumeona hao wake za watu ambao wamepitiwa na huyo legend wa Guinea hawana dhiki ya maisha,wana maisha mazuri sana kwakuwa wengi ni wake za watu mashuhuri,ina maana kwamba usaliti ni zaidi ya pesa na maisha mazuri,ni tamaa ya asili ya mwanadamu
Kwahiyo wanaume tunapo endeleza ile kasumba ya kusema mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja,basi tambua hata mkeo atakuwa windo la mwanaume ambaye hakai na mwanamke mmoja,sijui nimeeleweka?
Mwisho tusiogope kuoa na kuolewa kwa haya yanayotokea,kwani ndoa ni takwa la muumba wetu,hivyo ni wajibu kama wanadamu kutekeleza hilo ili tuzae na kuendeleza familia bora
Inasemwa bora ni kuwa na huyo mmeo au mkeo ambaye amekuchagua wewe kati ya wengi kuwa mshirika wako wa maisha,hilo ndio jambo kubwa hayo mengine ni matokeo kwani moyo wa mtu ni kichaka.
Furahia ndoa yako kwa moyo mmoja mpaka pale yatakapo kuja kudhihirika usiyo yatarajia,ila usitayafute majanga ila wewe yawache mpaka yatakapo jidhihirisha yenyewe.
Ndoa bado itabakia kuwa hitajio muhimu sana kwa mwanadamu,ilikuwa hivyo na itaendelea kuwa hivyo dahari na dahari pamoja na changamoto zake
Ni hayo tu!
Hahaha
AseeeHuwa iko hivyo huenda mwanandoa mmoja anachepuka na mwengine hachepuki au wengine ndio wanaweka ligi
Kuna legend mmoja huyo nampa saluti hakika anastahili ajengewe sanamu,unaambiwa mkewe ni mchepukaji mzuri tu,so alikuwa anatoka na mume wa mtu,so akaundiwa mob akabakwa na wanaume sita,wakati huo mume yupo safari
Akaharibiwa vibaya na mume ilimtoka pesa nyingi tu kumhudumia mkewe na kisha akamsamehe,hao watu wachache sana wenye moyo huo
Usmart kama anamaster mmewe, yaani kama anamtawala mmewe.Kweli kabisa boss,ndio huyo mwamba pamoja na kula wanawake 400+ bado mkewe hakujua chochote,wanaume tunaweza kutenganisha kati ya mke na hawara,,lkn mwanamke anawekeza hisia zote kwa mchempuko mpya,ingawa ni wachache sana wapo smart
Sasa hao walio smart inakuwa sio lengo lao kucheat ila anafanya hivyo ili kuokoa jambo fulani.Kweli kabisa boss,ndio huyo mwamba pamoja na kula wanawake 400+ bado mkewe hakujua chochote,wanaume tunaweza kutenganisha kati ya mke na hawara,,lkn mwanamke anawekeza hisia zote kwa mchempuko mpya,ingawa ni wachache sana wapo smart