PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji106]Atubu tu Yesu atamsamehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]Atubu tu Yesu atamsamehe
Huwa sianzishi uzi ambao una matatizo au usio sahihi ila yawezekana ni ' akili ' zako ndizo zina matatizo na pengine yakupasa uwahi mapema Milembe Hospital ukapate msaada wa haraka wa Tiba kabla hali yako haijawa mbaya na kuzidi kuonekana ni wa ' hovyo hovyo ' mbele yetu tuliobarikiwa ' upeo ' wa Kutukuka na Mwenyezi Mungu.
Kumbe chanzo anakijuaUmeme ndo unamsumbua cha muhimu apige dozi.
Mtumishi Mshana Jr,day hii Kali!Ukiwa mjuaji sana lazima kila kitu ufikirie umerogwa. Amtafute Mtumishi Mshana Jr amsaidie
maana yangu ni kuwa usimdhiaki mtu kisa mgonjwa maana hujui kesho yakoHapo si alikuwa anaigiza ,sasa hv itakuwa sio maigizo tena..mtumieni clip hiyo ajikumbushie.
Ukiachana na Dally Kimoko pia anasumbuliwa sana na miguu.Sikiliza Magitaa yote ya Kikongo ila siyo la ' Fundi ' Dally Kimoko.
Du na wewe ungekuwa kwenye list ya kulikung'uta gitaa.Hivi Aisha alikufa? Nilimkosakosa na hela zangu za viazi 2006 na nilitaka nimuoe kabisa.
Ukiachana na Dally Kimoko pia anasumbuliwa sana na miguu.