Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Idiot & wasted sperm..
Huwa sianzishi uzi ambao una matatizo au usio sahihi ila yawezekana ni ' akili ' zako ndizo zina matatizo na pengine yakupasa uwahi mapema Milembe Hospital ukapate msaada wa haraka wa Tiba kabla hali yako haijawa mbaya na kuzidi kuonekana ni wa ' hovyo hovyo ' mbele yetu tuliobarikiwa ' upeo ' wa Kutukuka na Mwenyezi Mungu.
 
Yesu Kristo ni mwenye huruma sana.
Akiri na Kutubu dhambi zake mapema atasamehewa na kwenda kwa amani. Kuliko kusingizia wachawi(Waliomloga)
 
Nasikia kale kaugonjwa ka kisasa ndio unamtafuna..Mungu amrehemu aisee kama ni kweli.
 
Iwapo huigizi, njoo kwa Bwana Yesu kristo, yaani OKOKA.... Hakuna uchawi kwa wana wa Mungu aliye hai.... Ila usiigize kama masanja. Mungu hadhihakiwi.
 
Back
Top Bottom