Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Comment yako tuu inaonesha tuu wewe ni Taahira Pro Max kuliko mimi.Wewe akili huna ,, dharura/emergency unaelewa?
Umeshindwa kutua means umepitiliza uwanjani kwa hio aendelee nyooka mbele Kuna kiwanja Cha mama yako ? Au akate Kona arudi ficha utahira wako
Kwa hio wewe hoja yako Ni uelekeo wa ndege 🤣 nasikitika kwa aliekubeba miezi Tisa ametuletea tahira ungeflashiwa tu weweComment yako tuu inaonesha tuu wewe ni Taahira Pro Max kuliko mimi.
Jenga hoja acha kuwa kama kibwengo.
Umeandika upumbavu!!?Laana za kuiba na kuharibu uchaguzi wa 2015 na 2020,haya ndyo matokeo yake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
tuache ujuaji jamani, ndege siyo kama Bodaboda mzee wangu!Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi
Angerudi Mwanza tu mambo ya kubeti ama kucheza kamari na roho za watu huwa hatupendi kabisa
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:
"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.
Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.
Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."
View attachment 2408808
View attachment 2408809
Huyo jamaa aliesimulia alikua chumba cha marubani??Stori yako chai tupu...
Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
1111Stori yako chai tupu...
Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
Uchunguzi lazima ufiche haya makosaHivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:
"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.
Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.
Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."
View attachment 2408808
View attachment 2408809
Kwa hiyo waharibu uchaguzi wengine, walaaniwe wasio na hatia? Au unataka kutuaminisha kuwa waliokufa ndio wanaohusika na kuharibu uchaguzi?Laana za kuiba na kuharibu uchaguzi wa 2015 na 2020,haya ndyo matokeo yake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Ndege inapo kalibia kutua Huwa inamwaga mafutaYaan ndege iishe mafuta kwa kuzunguka dk 30??? We jamaa
Tanzania tuna majitu mapumbavu mengi sana! Wewe haya nani amekusimulia wakati rubani mwenyewe amefariki? Halafu unaposema akaigongesha kwenye mwamba una uhakika? Yaani ndege igonge mwamba iache kulipuka? Wacha upumbavu boss!Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu
Ukiangalia interview ya yule dogo aliyeokoa watu 23, kwa kutumia mtumbwi wa kasia, utapata picha kubwa sana kuhusu hiyo ajali. Hata kitendo cha kumchukua haraka haraka na kumpeleka huko alikopelekwa, ukiangalia sana, zile ni jitihada za kumtoa uraiani asiendelee kutoa facts za tukio akaendelea ku expose ukweli wa ile ajali.Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:
"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.
Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.
Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."
View attachment 2408808
View attachment 2408809
Kila mtu anatunga hadithi yake....Stori yako chai tupu...
Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
Wewe ni mchunguzi??...Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:
"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.
Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.
Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."
View attachment 2408808
View attachment 2408809
Kwa hiyo rubani aliwaambia abiria alichoambiwa na Tower?Stori yako chai tupu...
Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
Sababu ipi hiyooo?? Anyway mimi najua hiyo black box ambayo imeenda kufanyiwa uchunguzi itatupa majibu sahihi ya alichosema rubaniStori yako chai tupu...
Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
Tufahamishe hiyo ndege fuel tank capacity yake? Pia fuel consumption per hr ikoje?Yaan ndege iishe mafuta kwa kuzunguka dk 30??? We jamaa