Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

Achen kumnamga mtoa mada kuna uzembe mkubwa sana aisee
 
Nchi hii sijui tunaweza kitu gani
Angekuwa Mbowe katembelea Bukoba kwa ziara za ndani, angekutana na jeshi linamsubiri wana vifaa, uniforms, deraya, majiwasha, full battalion na wa akiba wapo standby.


Lakini kuwaokoa wananchi wanaolipa kodi za mishahara yao limegeuka zoezi la aibu sana

Rais atambue kuwa yupo peke yake. Na ataona signs kibao zinakuja kumthibitishia hilo. Yeye ni taasisi anapaswa kujua la kufanya
 
Angekuwa Mbowe katembelea Bukoba kwa ziara za ndani, angekutana na jeshi linamsubiri wana vifaa, uniforms, deraya, majiwasha, full battalion na wa akiba wapo standby.


Lakini kuwaokoa wananchi wanaolipa kodi za mishahara yao limegeuka zoezi la aibu sana

Rais atambue kuwa yupo peke yake. Na ataona signs kibao zinakuja kumthibitishia hilo. Yeye ni taasisi anapaswa kujua la kufanya
Mataifa ya kiswahili hovyo. Utaona polisi na zana mpya za kuumiza waandamanaji wakati hakuna dawa wala vitabu mashuleni achia mbali uokoaji. Heri hii ingekuwa ndege ya rais au waziri mkuu huenda wangetia akilini.
 
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."

View attachment 2408808
View attachment 2408809
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
 
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."

View attachment 2408808
View attachment 2408809
Screenshot_20220910-075727_WhatsApp.jpg

Hii ndio laana inayowamaliza mapongo, hata kuwafukuza wavuvi ulikuwa mchongo
 
Nadhani inategemea hali ya hewa. Hakuna kanuni ya kutua au kupaa. Landing and taking off are situational action mostly depend on the weather at the material time.
 
Stori yako chai tupu...

Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...

Inaweza kuwa chai mkuu, ila kwangu naona hili linawezekana. Na niliandika Jana kwenye ule Uzi kwamba ndege itakua iligonga jiwe au kujipigiza kwenye mchanga/ udongo na kupruhusu maji kuingia ndani na kusababisha isielee. Ikumbukwe kina Cha maji kulikua si kirefu Kwa vile ni karibu na nchi kavu.


Ki kawaida ndege isingezama upesi namna Ile. Hapo utaona kwanini abiria waliokua viti vya nyuma wamepona.

Hii taarifa ya tairi kugoma kutoka niliisikia mapema. Mwanza napo wakati tukitua kulikua na mvua lakini Hali ya hewa haikua mbaya sana.
 
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."

View attachment 2408808
View attachment 2408809
Hii nchi imeoza kabisa,viongozi wa kisiasa wapo kulinda maslahi yao,hawatoi uongozi wowote,TISS,wamelala,JWTZ wamelala,nchi imejaa incompetence kila Kona,hii nchi hata Ikulu inaweza ikavamiwa,na walinzi hawatajua!!
Hivi kama rada za jeshi hazikuweza kuona Ndege inapata ajari,sasa tukivsmiwa wataweza kuona kweli,idara ya zimamoto uwanjani unaweza kukuta hata magari ni mabovu!!wananchi wanahangaika kuvuta na kamba,jwtz wapo wamesimama pembeni,Ndege imeanguka 200M kutoka kiwanjani,
Hii nchi tunaishi kwa kudra za Mungu tu,na Hawa kenge wa ccm sasa hv watakuwa wamefurahi,maana watu wataanza kuongelea ajari badala ya madudu yao serikalini
 
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."

View attachment 2408808
View attachment 2408809
Ndege siyo bodaboda inayowekwa mafuta nusu lita, mafuta iliyokuwa nayo ingeweza kufika Arusha.
 
kama ni kweli basi hao wote hapo katika kiwanja cha Bukoba wote wafukuzwe kazi.

kwanza wasimamishwe kupisha uchungunzi
 
Ndege haikugoma kutoka magurudumu, imetua kawaida ila imepitiliza barabara ya kurukia. Sababu ziko nyingi tu zinazoweza kusababisha hayo kutokea na hii siyo mara ya kwanza na haitokuwa ya mwisho zinapitiliza kila siku ulimwenguni kote, kwa sababu tofauti.
Hivi unajua kutua kawaida?kama imetua kawaida iweje itumbukie ziwani ??
 
Nimesikitika sana.. Rubani ameipeleka ndege mita 100 akijua hapa tunatoka salama..
Lakini uwezo wa maafa Tanzania ni wa chini sana...
Saa mbili asubuhi.. Watu wanaangaika na ndege mpaka saa 11 jioni.. Umbali wa mita 100, hao abiria waliishiwa Oxygen..
Very sad..
 
Back
Top Bottom