#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

Fanyeni haraka mnachotaka kufanya, msitutaabishe wanadamu
 
Watu wangehamasishwa kutumia zile Tiba zetu za Asili, Allah alizipa barka zake zikasaidia sana mara zote

Safari hii naona kina Doroth Gwajima hawaja kampeni kabisa
Dorothy yupo Mubashara TBC anatuhimiza tuvae barakoa, kuosha mikono na kuepuka misongamano kama vile ndio kaigundua korona wiki iliyopita 🤣👇
 
Vitoto vya chuo hivi, baba zao ndo wameanza kugonga 40 ndo maana vinawaona wazee.....
🤣🤣🤣

Labda hawatofika 40 ndio maana wanaona mbali....

Binafsi hata 60 naona karibu mno....nakimbizana niishi vyema miaka hiyo panapo uhai kwani it's so soon......

Time is not our best Ally!
 
"Kama kufa tutakufa tu " jpm
Kuna vifo vya:

1. Uzee (80 - )
2. Kusababishiwa (kuuwawa, magari nk)
3. Kijinga (kuzembea tahadhari za wazi)
4. Mapenzi ya Mungu (kina Nyerere wamo humu)

Hakuna anayepinga kufa. Lakini unakuta vipi?
 
Wananchi wanatishwaaaa ila wamega kutishika...
Acha vije, tena vija na rafiki zao hivyo virusi
 
Tz siyo ug. Usitishe watu, hakuna huo ugonjwa hapa. Kachome kinga wewe akili ni nywele watu wanatofautiana kwa ujinga sorry kwa ufahamu!
 
Watanzania kuna wakati tuna hamasishwa tunawe kwa vitakasa mikono na tuepuke mikusanyiko,lakini linapo kuja suala la mbio za mwenge haohao tena wanatutangazia tujitokeze kwa wingi kwa mapokezi hivi wanatuonaje?

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Wimbi la 1,2,3 yote yamepita nashukuru hatukuokota maiti barabarani au hospitali kuzidiwa wagonjwa, taharuki za corona huwa zina athari zake.
 
Oya mniamini

Hapa napofanyia kazi

Watu wanaondoka.


Jichunge, chunga familia yako.


Nyie wazee wazee wamiaka kuanzia 40+,na wenye UKIMWI, kisukari, magonjwa ya Moyo, Shinikizo la Damu,Magonjwa sugu ya mfumo wa upumuaji ... Mnaondoka chap chap.
Jinga kweli hili.

Kwanza huna maadili yoyote ya kuwa japo nesi wa zahanati.

Unaonekana muhuni muhuni tu wewe, na hao waliokuajiri watakuwa fyatu kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…