#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

Niko Mwanza na ninazunguka maeneo mengi kwa wiki, Shughuli zinaendelea kama kawaida.

Kwetu ni Igogo na nisehemu yenye population kubwa, sijasikia habari za watu kuugua korona.

Ninao marafiki kibao Kirumba, Malimbe, Igoma n.k, Na nisehemu zenye mikusanyiko mikubwa lakini hakuna habari ya korona huko pia.

Mahari napoishi pia sijasikia habari za ugonjwa wala vifo vilivyosababishwa na korona.

Pengine walipaswa watoe ufafanuzi vizuri kwa sababu si kwamba oxygen nikwajili ya wagonjwa wa korona pekeake.

Kwa uhaba huo wa oxygen na ugonjwa huu unavyoenea kwa kasi tayari majibu yangekuwa yameshaonekana mitaani (vifo kama ilivyo uko uganda)
Pumba tupu.
 
Watambue wanaoturudisha nyuma kwenye kujihadhari na ugonjwa huu:


View attachment 1843750
Dhalim aliwalisha mataga ujinga mwingi na wao wameumeza wote
 
Kuchukua tahadhari ni jambo la muhimu sana kuepukanaba maradhi haya. Tatizo kunawatu wanataka watanzania tuishi kwa hofu sana na ikiwezekana tujifungie ndani kila siku kwa sababu ya covid.
 
Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.

Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.

Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.

Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.

EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Kwa Mwanza kila kitu kinawezekana, we mtu alale na ng'ombe ama kumlamba udenda mbuzi atakuwa salama kweli? Wasukuma na Wanyamawezi bwana, yaani basi tu. Nasema sitaki mpuuzi yeyote aniite 'Mnyamwezi,' mwiko!
 
Makampuni ya madawa na bayoteknolojia hawajafika malengo ya boss. Ni sawa na dereva boda ua bajaji.
 
Story za covid zimekuwa za kiimani kama ujio wa Yesu.

Wapo watu wako tayari kwa lolote,na halitokei.

Wapo mbuzi wanatamani wasikie likitokea jambo na hiyo corona lakini kimya.

Kwa mapuuza ya watz,corona ingekuwa ugonjwa serious unaovizia mistakes za kujinga,asingebaki mtu bongo hapa.

Tena siku hizi kwenye mabasi naona hata ukikooa watu hawashtuki kama zamani.
 
Zile sala ambazo Magufuli pamoja na baadhi ya viongozi wa dini walituaminisha kwamba zilisaidia kuondoa covid 19 kipindi kile mbona sasa haziongelewi tena..!!

Hii nchi imejaa sana usanii. 🤣 🤣
 
Mleta bandiko alivyoandika kama vile alikuwa anaombea hili gonjwa lije haraka lilikuwa linachelewa kufika. Kama wewe ni mnufaika na huu ugonjwa ficha hata hisia zako.
 
Hali imeshakuwa mbaya tena, tunarudi kule tulikotoka, hii hali ingekuwa inachukuliwa hatua mapema tungekuwa tunaiepuka, tatizo letu tumekuwa watu wa kuzubaa kama nchi hata kama tukisikia tatizo liko kwa jirani, matokeo yake tunaanza kuhangaika dakika za mwisho.
ugonjwa wa kwanza uoiisha bila tahadhali, tuliambiwa tusiogope tuishi nao kama magonjwa mengine. tusiache sala. mimi ni mpanda basi mzuri, naona ugonjwa tz uenda hatamia anaoowasema mama washapungua wamebaki 50
 
Back
Top Bottom