Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Hahaa nimecheka sana umeandika ujumbe fikirishi sana mkuuuNasikia Uganda Delta imeyakumba hadi majeneza, nayo yanakufa na kuzikwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa nimecheka sana umeandika ujumbe fikirishi sana mkuuuNasikia Uganda Delta imeyakumba hadi majeneza, nayo yanakufa na kuzikwa
Pumba tupu.Niko Mwanza na ninazunguka maeneo mengi kwa wiki, Shughuli zinaendelea kama kawaida.
Kwetu ni Igogo na nisehemu yenye population kubwa, sijasikia habari za watu kuugua korona.
Ninao marafiki kibao Kirumba, Malimbe, Igoma n.k, Na nisehemu zenye mikusanyiko mikubwa lakini hakuna habari ya korona huko pia.
Mahari napoishi pia sijasikia habari za ugonjwa wala vifo vilivyosababishwa na korona.
Pengine walipaswa watoe ufafanuzi vizuri kwa sababu si kwamba oxygen nikwajili ya wagonjwa wa korona pekeake.
Kwa uhaba huo wa oxygen na ugonjwa huu unavyoenea kwa kasi tayari majibu yangekuwa yameshaonekana mitaani (vifo kama ilivyo uko uganda)
HatarInavyosemekana hili ni toleo la nne kati ya matoleo 24 yaani tunaenda na herufi za kigiriki sasa tulianza na Alpha tutamaliza na Omega.....ukinusurika hayo yote bila kuchanjwa basi wewe ni mwamba[emoji1787][emoji116][emoji205]
View attachment 1843810
Dhalim aliwalisha mataga ujinga mwingi na wao wameumeza woteWatambue wanaoturudisha nyuma kwenye kujihadhari na ugonjwa huu:
#COVID19 - Tuwatambue wanaohujumu vita dhidi ya Covid-19 nchini
Hatimaye serikali ya awamu ya sita ilitangaza rasmi uwepo wa ugonjwa hatari wa Corona hapa nchini. Hii ikienda sambamba na kutolewa kwa maelekezo thabiti ya hatua gani za kuchukuliwa tunaposubiria kuwasili kwa chanjo. Hatua hii ni njema kabisa ya kupongezwa na kila mzalendo na hasa kila...www.jamiiforums.com
View attachment 1843750
Mboyoyo mingiWewe unafeli mzee baba if we die...we die tu! Hamna haja ya kutishana wote safari yetu ni moja!
Kwa Mwanza kila kitu kinawezekana, we mtu alale na ng'ombe ama kumlamba udenda mbuzi atakuwa salama kweli? Wasukuma na Wanyamawezi bwana, yaani basi tu. Nasema sitaki mpuuzi yeyote aniite 'Mnyamwezi,' mwiko!Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Mungu atukinge na magonjwa....Mungu sio mjinga kama myoyambendi, yaani hakuna cha tahadhari afu analilia Mungu?
Kwani hakuna sindano zinazochomwa makalioni ?!!!
Makes senseInavyosemekana hili ni toleo la nne kati ya matoleo 24 yaani tunaenda na herufi za kigiriki sasa tulianza na Alpha tutamaliza na Omega.....ukinusurika hayo yote bila kuchanjwa basi wewe ni mwamba[emoji1787][emoji116][emoji205]
View attachment 1843810
subiri wafe ndugu zako wa karibu ndiyo utatia adabu na kujua kwamba hili ni janga la kidunia na si siasa.Ni uhuni tu! kwenye hili Niko radhi nife Ila CHANJO NO, Tumetishwa mnoo!
Sijaelewa kituInavyosemekana hili ni toleo la nne kati ya matoleo 24 yaani tunaenda na herufi za kigiriki sasa tulianza na Alpha tutamaliza na Omega.....ukinusurika hayo yote bila kuchanjwa basi wewe ni mwamba[emoji1787][emoji116][emoji205]
View attachment 1843810
ugonjwa wa kwanza uoiisha bila tahadhali, tuliambiwa tusiogope tuishi nao kama magonjwa mengine. tusiache sala. mimi ni mpanda basi mzuri, naona ugonjwa tz uenda hatamia anaoowasema mama washapungua wamebaki 50Hali imeshakuwa mbaya tena, tunarudi kule tulikotoka, hii hali ingekuwa inachukuliwa hatua mapema tungekuwa tunaiepuka, tatizo letu tumekuwa watu wa kuzubaa kama nchi hata kama tukisikia tatizo liko kwa jirani, matokeo yake tunaanza kuhangaika dakika za mwisho.