Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Of coz nape should stape out and we will see. Ujinga hatutaki.
 
Analipwa kwa alichopanda. Hecco km ni kweli....

Hata Nay wamitego ameimba..utalipwa ulichopanda, na iwe kweli. Maana hizo dhurma kwa watanzania hata sijui atatubia wap
Alizunguka kumtukana mzee wa Monduli kumleta asie jaribiwa sasa kama ni kweli jamaa wa magogoni hana muda. Maana NAPE alipambana mno
 
Acha itokee watu wapumbavu kama hao wanatakiwa kufukuzwa ili wengine wajifunze,

Waligeuza nchi yao hii kejeli kwa wenzao kila kukicha

Pasipo kujua dunia hii haina mwenye nayo


Nasema hivi wacha wafukuzwe tena watoke kabisa na wengine washaanza kudai katiba mpya

Wapumbavu ndo wameifikisha nchi hapa
 
Nape huyu huyu wa bao la mkono? Hahahaaaa wacha atimuliwe tu maana ana maneno mengiiiiiiiii!! Hasa nikikumbuka 2015 .
Waswahili wanamsemo wao unaosema "Yaliopita ni ndwele tugange yajayo"....nafikiri umenifahamu...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…