Nafikiri hukupata kuisikia USSR, labda ulikuwa mdogo.Maadamu Raisi wa nchi ni Mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama na pia ni Mkuu wa CCM hakuna wa kuibabaisha CCM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri hukupata kuisikia USSR, labda ulikuwa mdogo.Maadamu Raisi wa nchi ni Mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama na pia ni Mkuu wa CCM hakuna wa kuibabaisha CCM!
Mkuu Ukawa haipo maana Cuf mpaka sasa haijulikani kama ni jua au mwezi.Kama ni kweli akija ukawa wamkatae maana ni makapi!
Hhahahahahahah vichwa vya bavichaHii itasaidia kuondoa propaganda kuwa CHADEMA wanapokea kila mtu anaefukuzwa CCM maana wapotoshaji hawaelezi wananchi sababu hasa za watu kuhama au kufukuzwa CCM bali hoja yao ni wasaliti.
Nape akihamia ACT, CHADEMA mumuunge mkono kwa kutosimamisha mgombe yoyote katika jimbo hilo bali mumuunge mkono kuputia ACT-Wazalendo.
Adaui yetu mkubwa kisiasa ni CCM na mfumo wake kuliko Nape alieshabikia "goli la mkono" na kuzuiwa kwa Bunge live maana hapo alikuwa anatekeleza kazi ya system.
Sio kwa magufuliHawawez kumvua,
Ccm had wakuvue uanachama wana taratibu zao ndefu kidogo
Kwani sio ruhisa kumpinga mtawala, au katiba ya ccm imeongelea swala la ndio mzee tu kwa kila jamboKma ni kweli sawa tu maana alishaonyesha dhahiri km anapingana na mtawala
Mmmh, barafu umenena! Sikutanii kutolea mfano jambo hili lakini Jitahidi.Ndio maana nimesema,hizi bombadia sio za kuzisimanga hizo
Msipindishe ukweli. Alieleza jinsi zilivyozuiwa au alichakarika kusaidia wazungu wazuie?Mmmh, barafu umenena! Sikutanii kutolea mfano jambo hili lakini Jitahidi.
Mh. TL alielezea jinsi Ile bombadier moja ilivyozuiliwa huko ughaibuni, matokeo yake leo tunamwombea kwa Mola amponye. Wananchi wa Mtama waliotumia Mh. Nape fair a yake alitolea maelezo, Leo fununu zinatoka kuwa amekatwa uanachama!?
Tuombe isiwe kweli vinginevyo bombadier sio za kusimaNGWA!
Tena ataondoka CCM na wengi........Kumtimua Nape ni kosa kubwa la kiufundi. Nawaasa ccm wasifanye ivyo