Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Who cares wafukuzane tu, tena hili lichama linatakiwa liwe zilipendwa.
 
Si ndio alituletea bao la mkono huyu mtu?Atakaemsikitia atakua kweli ni nyumbu aisee.
 
Kuna orodha ya watu wanaompinga Bashite chini chini,hawa nao wanajulikana na muda wowote kabla ya uchaguzi watang'olewa ccm.
Kuna wengine hata huwezi kuamini mf Job Ndugai,anajiamini sana Leo lakini atapoteza karata yake moja muhimu na mwisho wake utakuwa umewadia.Hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe.Muda utasema.Kuna wale wanaohipendekeza sasa,lakini bahati mbaya watafukuzwa ccm dakika za majeruhi.
Kumbukeni kwamba,wale wote wanaoanzisha bifu na bashite,wale wanaoshindwa kutetea maslahi ya wananchi na badala yake wanatetea chama,ni sawa na mtu aliyeambiwa asikimbie, akimeza nchale, akitema chale,Hanna pa kuponea mnapumulia mashine.
Heading nzuri pia inavutia lkn ndani sijaona kikubwa cha kueleweka na kuvutia, ongezea nyama mkuu unalo nzuri la kutwambia
 
Kagusa miradi BINAFSI mikubwa ya mfalme...1. BASHITE 2. BOMBERDIER...Unadhani itakuwaje
 
Kuna tetesi japo siziamini, kwamba kwenye listi ya waliofukuzwa, mbali na Nape, kuna Bashe, Dialo, Msukuma, Ngeleja na Nyalandu.

Halafu eti kuna waliopewa onyo ambao ni mstaafu JK, Ridhiwani, na Membe.

Ila sijaamini, especially kwa waliopewa onyo, ndo maana hata uzi sikuanzisha wala nini. Let's wait and see...
Diallo kwa CCM ni MTU muhimu mno,hawawezi kumfukuza.
 
Naye si aende tu huko kwa Machadema wenzake.

Anafanya nini CCM?

Aende tu kwa Machadema na yatampokea. Ni muda muafaka sasa naye awe kamanda😀
Nape ni CCM wewe, tuseme tu kwa chinichini kwamba huenda hii ikawa babeli flan hivi.
 
Kama hili ni kweli tutegemee wengine wengi maana ndo watavurugana zaidi.
 
Kwani hii ID mnaitumia watu wangapi hapo Lumumba? Maana inaonekana kila mtu anaandika la kwake. hapo chini imeandikwa kwamba Mangula ndiye pekee kabakia kwenye sekretarieti mpya, hapo juu inaulizwa wapi pameandikwa kama nani kasema Sekretarieti iko chini ya Mangula.



CC:

BAK
Kubakia kwenye sekretarieti haimaanishi yeye ndiyo kiongozi wa sekretarieti! Chadema bhana ndio maana Mbowe kahamia Nairobi kunywa " uji" na mgonjwa maana kina Allen ni wagumu kuelewa!!!
 
these are serious allegations..... posting such thing you should be 100% sure with evidence
 
Kama ni kweli hapa chama changu ccm kimechemka. Wakumbuke moto wa katiba ndo unaanza kuwaka na kwa hili hatuna tena ujanja wabunge kwa hili wataungana kwani hawapendi mambo yanavyoendeshwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom