Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakamatwe haraka sana, wakajibu mashtaka yao ya uchochezi, NA WALIPE GHARAMA ZA DISTURBANCE WALIZO SABABISHA KWA WATALII KWA UPUUZI WAO, ILI IWE FUNDISHO, UKIZINGATIA WATALII HUWA WAKO KWA VERY SPECIFIC TIME, KUMPOTEZEA MTALII MASAA MA TANO, UNAHARIBU RATIBA YAKE KWA UJUMLA.Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Your freedom before speech is guarentee but after speech is not guaranteed, by Idd AminKwahiyo Nchi hii No freedom after Speech?!
Mababu zao wapi hao, asilimia zaidi ya 60 wamasai wa Kenya wame cross kutoka Kenya na mifugo yao badala ya kukosa ardhi Kenya.Wewe ndiyo mwoga kaa pembeni acha watu wapambanie haki ya kumiliki ardhi ya mababu zao na kupewa haki ya huduma za kibinadamu ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi wao.
Hakuna mwenye akili anae anzisha vita kabla ya kupiga gharama atakazo lipa.
Haki hailetwi kwenye kisahani, haki inapiganiwa!
Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Mababu zao wapi hao, asilimia zaidi ya 60 wamasai wa Kenya wame cross kutoka Kenya na mifugo yao badala ya kukosa ardhi Kenya.
When things a dangerous to say is better to stay quiet.Punguza uoga wakiume wewe
You free to speak but you aren't free after speechKwahiyo Nchi hii No freedom after Speech?!
Ila kushughulikia hawa mnashindwa?Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Wahujumu uchumi wakubwa ni hayo majizi yaliyojazana Serikalini. Yaliyopora bandari zetu, mbuga zetu za wanyama na hifadhi zetu za misitu yetu, na kuwagawia waarabu kwa faida zao binafsi.Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Na ku quote quotes za waoga wenzioWhen things a dangerous to say is better to stay quiet.
Life is the game, try to play smart in any scenario, usije ukaingia matatizoni. Is just warning tu.Na ku quote quotes za waoga wenzio
Matatizo, unakwepa matatizo are you serious?Life is the game, try to play smart in any scenario, usije ukaingia matatizoni. Is just warning tu.
Nope, as long as unapumua kwenye hii dunia challenge lazima zitakuwepo tu.Matatizo, unakwepa matatizo are you serious?
HAO MAKAFIRI WALIOENDA KUWAGILIBU MASAI NI LAZIMA WAPATIKANE NA WAFUNGULIWE MASHTAKA NA IKIBIDI WALIPE HASARA YOTE, KWA MAKAMPUNI YA KITALII, MANINA ZAO!Kampuni za Kitalii hasa zenye Kambi Ngorongoro pamoja Na wateja wao wamepata Usumbufu Mkubwa Sana Leo.
Wameshashikwa wangapi npaka sasa?Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.