Tetesi: Inasemekana waliohamasisha wamasai kuandamana wanatafutwa usiku huu

Tetesi: Inasemekana waliohamasisha wamasai kuandamana wanatafutwa usiku huu

Sema Yale maandamano yalikuwa very well crafted..

Very smart.
 
Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.

Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Wakamatwe haraka sana, wakajibu mashtaka yao ya uchochezi, NA WALIPE GHARAMA ZA DISTURBANCE WALIZO SABABISHA KWA WATALII KWA UPUUZI WAO, ILI IWE FUNDISHO, UKIZINGATIA WATALII HUWA WAKO KWA VERY SPECIFIC TIME, KUMPOTEZEA MTALII MASAA MA TANO, UNAHARIBU RATIBA YAKE KWA UJUMLA.
 
Kuna watu wao muhimu wapinge tu, shida kubwa ya Tanzania hatujui thamani ya ardhi sehemu prime kabisa hata Dar yamawekwa majumba ya hovyo na mengi NHC bei cheap, Hatujifunzi pale Dubai ardhi yao ndogo lakini nenda Downtown halafu jifanye unataka kununua nyumba au ardhi. Wamasai wamekalia ardhi yenye thamani ila wao wanapokea tu wamasai ndugu zao wa Kenya, hawa wa Masai wa Kenya hawana ardhi kule sababu ardhi kule ni mali na hakuna wanakuja Tanzania na mifugo yao kuharibu nchi. Kuna haja ya kuwapima hawa wakijulika wa Kenya warudishwe walikotoka.

Hata USA, Australia waliwatoa kabila( kama wa Masai wetu) ili kuleta maendeleo walikuwa na makabila kama wa Masai wao uzalishaji zero wanaharibu na mifugo isiyokuwa na idadi hawajui kama mifugo mali badala ya wauze ili ku maintain idadi, hapana ila wao wanajaza tu kuongeza wake na hii mifugo inaharibu mashamba na kuingia sehemu za wanyama pori na hii inawafukuza wanyama kwenye maeneo yao. Tuwatambue hawa waliotoka Kenya na waondolewe kwa nguvu.
 
Wewe ndiyo mwoga kaa pembeni acha watu wapambanie haki ya kumiliki ardhi ya mababu zao na kupewa haki ya huduma za kibinadamu ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi wao.
Hakuna mwenye akili anae anzisha vita kabla ya kupiga gharama atakazo lipa.

Haki hailetwi kwenye kisahani, haki inapiganiwa!
Mababu zao wapi hao, asilimia zaidi ya 60 wamasai wa Kenya wame cross kutoka Kenya na mifugo yao badala ya kukosa ardhi Kenya.
 
Mababu zao wapi hao, asilimia zaidi ya 60 wamasai wa Kenya wame cross kutoka Kenya na mifugo yao badala ya kukosa ardhi Kenya.

Wengi hilo hawalijui. Ndiyo maana yule Feudal Lord mbunge wa Kenya alileta hilo jambo bungeni kwao.
 
Kwani mwanachama mpya Msigwa yeye anasemaje kuhusu maandamano hayo? Atupe muelekeo maana anakisemea sana chama chake
 
Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Ila kushughulikia hawa mnashindwa?

Au ni wakuza uchumi.?
IMG_20240611_163734.jpg
 
Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Wahujumu uchumi wakubwa ni hayo majizi yaliyojazana Serikalini. Yaliyopora bandari zetu, mbuga zetu za wanyama na hifadhi zetu za misitu yetu, na kuwagawia waarabu kwa faida zao binafsi.
 
Matatizo, unakwepa matatizo are you serious?
Nope, as long as unapumua kwenye hii dunia challenge lazima zitakuwepo tu.

Lakini lazima uelewe kwamba kuna personal challenge, family challenge, work challenge na nyingine nyingi. But kwa hili la wamasai wewe ukijiweka mstari wa mbele na huku wewe sio mwathirika unafikiri nini unatafuta kwa hii serikali corrupt.
 
Nchi imekuwa ya hovyo sana.watu wanafukuzwa nchini mwao kama wakimbizi.huyu mzanzibari hakupaswa kabisa kupewa nchi.huyu alifaa awe mwimbaji wa taarabu
 
Kampuni za Kitalii hasa zenye Kambi Ngorongoro pamoja Na wateja wao wamepata Usumbufu Mkubwa Sana Leo.
HAO MAKAFIRI WALIOENDA KUWAGILIBU MASAI NI LAZIMA WAPATIKANE NA WAFUNGULIWE MASHTAKA NA IKIBIDI WALIPE HASARA YOTE, KWA MAKAMPUNI YA KITALII, MANINA ZAO!
 
Back
Top Bottom