Inashangaza kuona Naibu Waziri anaeshutumiwa kuwaamuru askari wa uhifadhi wawaachie ng'ombe waliokamatwa bonde la Ihefu bado yupo ofisini

Inashangaza kuona Naibu Waziri anaeshutumiwa kuwaamuru askari wa uhifadhi wawaachie ng'ombe waliokamatwa bonde la Ihefu bado yupo ofisini

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,312
Reaction score
3,345
Salaam wanajamvi,

Juzi kulikuwa na mkutano ulioitishwa na wahariri wa vyombo vya habari mkoani Iringa ambapo mgeni rasmi alikuwa ni mh Makamu wa Rais.

Mkutano huu dhima yake mahususi wahariri walilenga kumpatia Mh Makamu wa Rais taarifa juu ya kile walichobaini nini chanzo cha kukauka kwa mto Ruaha mkuu ambapo yapata siku 120 sasa hautiririshi maji kabisa.

Kwa wasiofahamu mto Ruaha mkuu unachangia 25% ya maji yanayotarajiwa kutumika kwenye bwawa la Mwl Nyerere. Pia mto huu pia ndio chanzo kikuu cha Maji kwenye bwawa la Mtera ukisaidiana na mto Kizigo ambayo yote imekauka.

Kwenye mkutano huo wahariri walimueleza mh Makamu wa Rais kwamba kadhia yote hii inatokana na shughuli zakibinadamu zinazofanyika kwenye bonde la Ihefu ambazo ni ufugaji na kilimo ambapo wengi wa watuhumiwa ni familia 12 za vigogo.

Wahariri wameweka wazi kwamba yupo naibu waziri aliwaamuru askari wa uhifadhi aachie kundi la ng'ombe lilokamatwa ifadhini kwenye bonde la Ihefu jambo ambalo linapelekea ugumu kwa wahifadhi kutekeleza majukumu yao.

Mh Rais kuendelea kukumbatia viongozi wa aina hii inatia hasira sana kwa sisi wananchi wako ambao leo tumeingia kwenye kadhia ya mgao wa umeme huku chanzo kikiwa watu wachache ambao wanajali maslahi yao kuliko maslahi ya nchi.

Mh Rais naikumbuka speech moja ya baba wataifa alieleza kuliwahi kuwa na waziri mmoja nchini uingereza alipotuhumiwa tu na kashfa ya umalaya mamlaka yake ya uteuzi ilichagua na kumuapisha mtu mwingine pasipo hata kumjulisha mtuhumiwa.

Nyerere alitaka kuwaeleza mawaziri kwamba wanatakiwa wawe watu safi kwani wao ni kioo, kitendo cha kuwa na kashfa za hovyohovyo ni kosa.

Mh Rais tafadhali huyu naibu waziri hakustahili kuwepo ofisini leo kwani ni siku ya tatu sasa tangu jambo hili liibuliwe na wahiriri.

Tadhali chukueni hatua.

Asante.
 
Moderator nisaidie kurekebisha hapo kwenye heading isomeke bonde la ihefu
 
Salaam wanajamvi,
Juzi kulikuwa na mkutano ulioitishwa na wahariri wa vyombo vya habari mkoani Iringa ambao mgeni rasmi alikuwa ni mh Makamu wa raisi.

Mkutano huu dhima yake mahususi wahariri walilenga kumpatia Mh Makamo wa raisi taarifa juu ya kile walichobaini nini chanzo cha kukauka kwa mto ruaha mkuu ambao yapata siku 120 sasa hautiririshi maji kabisa.

Kwa wasiofahamu mto ruaha mkuu unachangia 25% ya maji yanayotarajiwa kutumika kwenye bwawa la Mwl Nyerere.Pia mto huu pia ndio chanzo kikuu cha Maji kwenye bwawa la mtera ukisaidiana na mto kizigo ambayo yote imekauka.

Kwenye mkutano huo wahariri walimueleza mh Makamo wa raisi kwamba kadhia yote hii inatokana na shughuli zakibinadamu zinazofanyika kwenye bonde la ihefu ambazo ni ufugaji na kilimo ambao wengi wa watuhumiwa ni familia 12 za vigogo.

Wahariri wameweka wazi kwamba yupo naibu waziri aliwaamuru askari wa uhifadhi awaachie kundi la ng'ombe lilokamatwa ifadhini kwenye bonde la ihefu jambo ambalo linapelekea ugumu kwa wahifadhi kwenye kufanya majukumu yao.

Mh raisi raisi kuendelea kukumbatia viongozi wa aiana hii inatia hasira sana kwa sisi wananchi wako amabao leo tumeingia kwenye kadhia ya mgao wa umeme huku chanzo kikiwa na watu wachache ambao wanajali maslahi yao kuliko maslahi ya nchi.

Mh raisi naikumbuka speech moja ya baba wataifa alieleza kuliwahi kuwa na waziri mmoja nchini uingereza alipotuhumiwa tu na kashfa ya umalaya mamlaka yake ya uteuzi ilichagua na kumuapisha mtu mwingine pasipo hata kumjulisha mtuhumiwa.

Nyerere alitaka kuwaeleza mawaziri kwamba wanatakiwa wawe watu safi kwani wao ni kioo,kitendo cha kuwa na kashfa za hovyohovyo ni kosa.

Mh raisi tafadhali huyu naibu waziri hakustahili kuwepo ofisini leo kwani ni siku ya tatu sasa tangu jambo hili liibuliwe na wahiriri.

Tadhali chukueni hatua.

Asante.
Uongozi ni karama ya Mungu.

Watu wanaiba kura kisha wanajitwalia uongozi. Hata iweje watabakia kukosa karama ya uongozi.

Mungu lisaidie Taifa
 
Zerikali za kiafrika, uwajibikaji ni zero.

Naibu waziri mwenyewe, kuupata huo unaibu, sifa mojawapo ni lazima uwe mbunge, ubunge kaupata kupitia uporaji wa kura. Unategemea mtu kama huyo awe na maadili ya uongozi?
 
Salaam wanajamvi,
Juzi kulikuwa na mkutano ulioitishwa na wahariri wa vyombo vya habari mkoani Iringa ambao mgeni rasmi alikuwa ni mh Makamu wa raisi.

Mkutano huu dhima yake mahususi wahariri walilenga kumpatia Mh Makamo wa raisi taarifa juu ya kile walichobaini nini chanzo cha kukauka kwa mto ruaha mkuu ambao yapata siku 120 sasa hautiririshi maji kabisa.

Kwa wasiofahamu mto ruaha mkuu unachangia 25% ya maji yanayotarajiwa kutumika kwenye bwawa la Mwl Nyerere.Pia mto huu pia ndio chanzo kikuu cha Maji kwenye bwawa la mtera ukisaidiana na mto kizigo ambayo yote imekauka.

Kwenye mkutano huo wahariri walimueleza mh Makamo wa raisi kwamba kadhia yote hii inatokana na shughuli zakibinadamu zinazofanyika kwenye bonde la ihefu ambazo ni ufugaji na kilimo ambao wengi wa watuhumiwa ni familia 12 za vigogo.

Wahariri wameweka wazi kwamba yupo naibu waziri aliwaamuru askari wa uhifadhi awaachie kundi la ng'ombe lilokamatwa ifadhini kwenye bonde la ihefu jambo ambalo linapelekea ugumu kwa wahifadhi kwenye kufanya majukumu yao.

Mh raisi raisi kuendelea kukumbatia viongozi wa aiana hii inatia hasira sana kwa sisi wananchi wako amabao leo tumeingia kwenye kadhia ya mgao wa umeme huku chanzo kikiwa na watu wachache ambao wanajali maslahi yao kuliko maslahi ya nchi.

Mh raisi naikumbuka speech moja ya baba wataifa alieleza kuliwahi kuwa na waziri mmoja nchini uingereza alipotuhumiwa tu na kashfa ya umalaya mamlaka yake ya uteuzi ilichagua na kumuapisha mtu mwingine pasipo hata kumjulisha mtuhumiwa.

Nyerere alitaka kuwaeleza mawaziri kwamba wanatakiwa wawe watu safi kwani wao ni kioo,kitendo cha kuwa na kashfa za hovyohovyo ni kosa.

Mh raisi tafadhali huyu naibu waziri hakustahili kuwepo ofisini leo kwani ni siku ya tatu sasa tangu jambo hili liibuliwe na wahiriri.

Tadhali chukueni hatua.

Asante.
Anayewateua ni msafi?
 
Zerikali za kiafrika, uwajibikaji ni zero.

Naibu waziri mwenyewe, kuupata huo unaibu, sifa mojawapo ni lazima uwe mbunge, ubunge kaupata kupitia uporaji wa kura. Unategemea mtu kama huyo awe na maadili ya uongozi?
Hata aliyemteua ni msafi?
 
Jambo usilolijua ni kuhusu hizo familia 12 na yalikotoka maamuzi ya naibu waziri. Kafatilie ujue hizo familia ni akina nani na useme idadi kubwa ya hizo ng'ombe ni wanani. Ukipata majibu hayo urudi Kwa naibu waziri alikotoa maamuzi hayo.
Ng'ombe wa Kikwete na genge lake umategemea Naibu afanye nini?
 
Jambo usilolijua ni kuhusu hizo familia 12 na yalikotoka maamuzi ya naibu waziri. Kafatilie ujue hizo familia ni akina nani na useme idadi kubwa ya hizo ng'ombe ni wanani. Ukipata majibu hayo urudi Kwa naibu waziri alikotoa maamuzi hayo.
Hajui aliandikalo, familia 12 halisi zipo, wao wametengeza familia 12 feki Ili kumhusisha waziri NDAKI ambaye hawamtaki akae pale baada ya kuwazuia ulaji wao enzi za Magu.

Waziri huyo alisaidia umeme usikatike Kwa 5 years, Leo anatengezewa zengwe Ili afurushwe hesabu zitimie na mgao feki uendelee!!!!!

Hizi ni nyakati hatari wananchi tuwe macho sana!!!
 
Jambo usilolijua ni kuhusu hizo familia 12 na yalikotoka maamuzi ya naibu waziri. Kafatilie ujue hizo familia ni akina nani na useme idadi kubwa ya hizo ng'ombe ni wanani. Ukipata majibu hayo urudi Kwa naibu waziri alikotoa maamuzi hayo.
Tusaidie kuwataja mheshiniwa.
 
Jambo usilolijua ni kuhusu hizo familia 12 na yalikotoka maamuzi ya naibu waziri. Kafatilie ujue hizo familia ni akina nani na useme idadi kubwa ya hizo ng'ombe ni wanani. Ukipata majibu hayo urudi Kwa naibu waziri alikotoa maamuzi hayo.
Mkuu kama una uhakika na majina wa hao so called familia 12 weka hadharani tu.
 
Hajui aliandikalo, familia 12 halisi zipo, wao wametengeza familia 12 feki Ili kumhusisha waziri NDAKI ambaye hawamtaki akae pale baada ya kuwazuia ulaji wao enzi za Magu.

Waziri huyo alisaidia umeme usikatike Kwa 5 years, Leo anatengezewa zengwe Ili afurushwe hesabu zitimie na mgao feki uendelee!!!!!

Hizi ni nyakati hatari wananchi tuwe macho sana!!!
Huyu Mashimba unahangaika bure kumtetea,ukweli ni kwamba Waziri wa mifugo ni mzigo,tuweke usukuma pembeni huyu waziri anapwaya kwenye hii wizara
 
Salaam wanajamvi,

Juzi kulikuwa na mkutano ulioitishwa na wahariri wa vyombo vya habari mkoani Iringa ambao mgeni rasmi alikuwa ni mh Makamu wa Rais.

Mkutano huu dhima yake mahususi wahariri walilenga kumpatia Mh Makamu wa Rais taarifa juu ya kile walichobaini nini chanzo cha kukauka kwa mto Ruaha mkuu ambao yapata siku 120 sasa hautiririshi maji kabisa.

Kwa wasiofahamu mto Ruaha mkuu unachangia 25% ya maji yanayotarajiwa kutumika kwenye bwawa la Mwl Nyerere. Pia mto huu pia ndio chanzo kikuu cha Maji kwenye bwawa la Mtera ukisaidiana na mto Kizigo ambayo yote imekauka.

Kwenye mkutano huo wahariri walimueleza mh Makamu wa Rais kwamba kadhia yote hii inatokana na shughuli zakibinadamu zinazofanyika kwenye bonde la Ihefu ambazo ni ufugaji na kilimo ambao wengi wa watuhumiwa ni familia 12 za vigogo.

Wahariri wameweka wazi kwamba yupo naibu waziri aliwaamuru askari wa uhifadhi awaachie kundi la ng'ombe lilokamatwa ifadhini kwenye bonde la Ihefu jambo ambalo linapelekea ugumu kwa wahifadhi kwenye kufanya majukumu yao.

Mh Rais kuendelea kukumbatia viongozi wa aina hii inatia hasira sana kwa sisi wananchi wako ambao leo tumeingia kwenye kadhia ya mgao wa umeme huku chanzo kikiwa na watu wachache ambao wanajali maslahi yao kuliko maslahi ya nchi.

Mh Rais naikumbuka speech moja ya baba wataifa alieleza kuliwahi kuwa na waziri mmoja nchini uingereza alipotuhumiwa tu na kashfa ya umalaya mamlaka yake ya uteuzi ilichagua na kumuapisha mtu mwingine pasipo hata kumjulisha mtuhumiwa.

Nyerere alitaka kuwaeleza mawaziri kwamba wanatakiwa wawe watu safi kwani wao ni kioo, kitendo cha kuwa na kashfa za hovyohovyo ni kosa.

Mh Rais tafadhali huyu naibu waziri hakustahili kuwepo ofisini leo kwani ni siku ya tatu sasa tangu jambo hili liibuliwe na wahiriri.

Tadhali chukueni hatua.

Asante.
Mwache Naibu Waziri aendelee kulamba asali,mbona DC wa Songwe kumjerui Binti kwa makonde na bado yupo ofisini!!
 
Hajui aliandikalo, familia 12 halisi zipo, wao wametengeza familia 12 feki Ili kumhusisha waziri NDAKI ambaye hawamtaki akae pale baada ya kuwazuia ulaji wao enzi za Magu.

Waziri huyo alisaidia umeme usikatike Kwa 5 years, Leo anatengezewa zengwe Ili afurushwe hesabu zitimie na mgao feki uendelee!!!!!

Hizi ni nyakati hatari wananchi tuwe macho sana!!!
Ahh maskini! Kumbe Lukuvi anakufa na tai Shingoni? Sasa tayari naanza kuunganisha dots kuanzia hapo! [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom