Moja ya wiraza ambazo kwa miaka mingi huwa zinakosa watu makini basi ni wizara ya mifugo,kama wewe sio mfugaji haya huwezi yajua.
Nchi hii ina maabara chache mno za mifugo kitu ambacho ni kituko.Tena huwenda maabara hizi zipo mikoani tu tena hazipo vizuri kivifaa.
Madtari wetu wa mifugo wanatibu wanyama wetu kama wapiga ramli.
Maabara hizi hazikupaswa kukosekana kwenye ngazi ya wilaya.Najua utaniuliza mbona mtangulizi wake hajazileta, acha wawe wanapigwa chini labda siku moja atapatikana alie timamu.
Tatizo lako unathaminisha ubora wa kiongozi kwakuangalia uzalendo tu,hii haitoshi tunahitaji matokeo.
Huyu mashimba ni mzigo na nakuhakikishia hana safari huyu.Nilishamsikia mama akilalamika mara kwa mara,huyu hana safari.