Wapo wengine na nguo za kuendea msalani mkuuYani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
Dooh!! Watu wapo serious Ivo kumbeWapo wengine na nguo za kuendea msalani mkuu
Huo usiriazi unautolea wapi? Mimi siwezi kuwa na nguo zakulalia itakuwa Mimi mshamba sana 😀😀Siwezi lala na nguo, jasho, joto, mwili kubanwaa.
Aaaah huwa nalala km nilivyozaliwa, japo nguo za kulalia zipo kwa emergency case.
Woiiiiiih
Sindio 😀😀Wengne tukisha vaa boksa hyohyo ndio tunalalia
Ni kwa dharura, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huo usiriazi unautolea wapi? Mimi siwezi kuwa na nguo zakulalia itakuwa Mimi mshamba sana [emoji3][emoji3]
Kweli bana, acha nitafute hela labda nitaona umuhimu wa nguo zakulalia 😀tafuta pesa asee.... usikute unalala kwenye banda la mbuzi saa ngapi utaona umuhimu wa nguo za kulalia....... unaishi stoo nguo za kulalia bei yake inakulisha mwezi mzima......
ukiishi kama paka lazima kuna vitu hutavielewa cave man
Mimi siwezi 😀😀Ni kwa dharura, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muhimu kuwa nazo bhana
Dooh!! Aisee Mimi siweziExposure mkuu huna! Nyie ndiyo mnaoota mnaliwa kiboga na mazombi, Mwanaume si sawa kulala uchi kabisa Kuna dharula au kuvamiwa. Ukiwa umevaa walau Nguo fulani utaweza kupambana na kujitetea.
Pia inategemeana na hali ya hewa, njoo Mbeya kama utaweza kulala kibeberu kama unavyodhani😂
Ni sawa pia.Mimi siwezi [emoji3][emoji3]
Mandoto ya kukabwa na kutokewa na mizimu haiishiYani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
Ukiwa umevaa nguo ama hujavaa izo nguo zakulalia?Mandoto ya kukabwa na kutokewa na mizimu haiishi
Watu mpo serious sana aiseeHahahaha
Hii lugha gani mkuuWanazipatqqq wapiii khaaaaa umenikumbushaa mbali nilimnunulia wife enzihizo nguo za kulalia mnaita sijui nyt dress ghali toka nje gafla tukitibuana yaan mwendo wa sketi ktandan
Siku tukaend kwa dadake kumpa pole aliumia kha namkuta ana fl sqd ya nguo yangu
Toka sikuhio sijawahi nunulia nke kamwe
Watakuja watu watasema tafuta helaaa duuuh qddk sema uzungu mwingiiiiYani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
UkraineHii lugha gani mkuu
Daaaah mkuu wewe una nguo za kulaliaaaExposure mkuu huna! Nyie ndiyo mnaoota mnaliwa kiboga na mazombi, Mwanaume si sawa kulala uchi kabisa Kuna dharula au kuvamiwa. Ukiwa umevaa walau Nguo fulani utaweza kupambana na kujitetea.
Pia inategemeana na hali ya hewa, njoo Mbeya kama utaweza kulala kibeberu kama unavyodhani😂
Unalalaje na jeans?Ukiwa umevaa nguo ama hujavaa izo nguo zakulalia?