ππππππ π π mm niliona Kwenye familia Moja cku Moja imefika jioni naonaa watt na wadda wakazi na mama wamevaa sare zimefanana nikajua Wana Toka out kumbe ndio nguo zakulaliaa π
Baba!huna mpangilio ndugu
ππππ Wewe nakupa miaka sita tuu...Kufanya nin,mimi sio mnene na sina gari ushangazi siwezi ππ
tafuta nguo za kulalia na ulale nyau wewe π πππππ Wewe nakupa miaka sita tuu...
Utakua mshangzi mpya in town
ππππ Mi nafata harakati za Vishu Mtata ....tafuta nguo za kulalia na ulale nyau wewe π π
Usiku mwema π π ππΎ
πππππ Ushapata chimbo lingine nije..Usiku mwema π π ππΎ
Njoo chitchat ππππππ Ushapata chimbo lingine nije..
Ni tag ni tag ππππππ
πNguo ya kulalia ni ngozi yako tu, yale mapajama yatakuzonga zonga uote unakabwa bure
Hapo ndio unapo nimalizaga...Njoo chitchat π
Mtupummmh unalala hivo hivo mtupu?
Ulijuaje kwamba kweli siwezi, duuh wewe utakuwa una damu ya shekh yahayanguo ya kulalia hainunuliwi karume mkuu yaani kashalalia bibi wa kizungu kazijambia unazivaa na ww dah noma...... jezi za yanga hawezi nunua huyo mleta mada na sio yanga tu hata jezi ya lipuli hana uwezo nayo
vunga akili yako inaonyesha tu......Ulijuaje kwamba kweli siwezi, duuh wewe utakuwa una damu ya shekh yahaya
Wewe umezidi usiriaziMimi na nguo hadi za kupikia
Acha mwili nao usiku upate nafasi ya kupumua.
Wewe kuna siku watatuma picha yako humu ujue ππππAcha mwili nao usiku upate nafasi ya kupumua.
Muda wote ngozi unaizonga zonga tu, mpaka wakati wa minjunjano bado pia kuna mimtu inavaa nguo(haivui zote), ngozi haipumui.
Waone nini mkuu, kikalio kilichokomaa kigumu cheusiiii au mtalimboWewe kuna siku watatuma picha yako humu ujue ππππ