Maslows
Senior Member
- Jun 29, 2020
- 122
- 58
Hiyo namba 4 weka nakamfano inoge!Jiwe anajulikana kwa double standards.
1. Wale wavunjie nyumba wamejenga barabarani, wale waache wamenipa kura...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo namba 4 weka nakamfano inoge!Jiwe anajulikana kwa double standards.
1. Wale wavunjie nyumba wamejenga barabarani, wale waache wamenipa kura...
Ohoooo ingekuwa ni hivyo Magufuli asingekuwa Rais leo. Hiyo methali ni ya kupotosha watu. Aliyeanzisha hakutaka watu wafanikiwe. Ukitaka kufanikiwa lazima ushike hapa, pale,kule.Mshika mawili moja humponyoka.
#You can't eat your cake and have it too.
Kama alikuwa anajua mpaka idadi ya samaki wa baharini na mito...sembuse watu et.... Tunaongozwa na geniusSi ndo apo...yaani mtu mmoja ni Mwenyekiti wa Chama,Rais,Mwenyekiti wa Kamati,MNEC,Amiri Jeshi Mkuu,Mkuu Dola...hizi kofia zote jamani.
Kila mtu kwenye maisha anataka zaidi. Hata Magufuli angeridhika basi mpaka leo angekuwa mwalimu sengerema secondary anasubiri kustaafu na abebe million 80 zake. Acheni hizo.Habari ya jioni mwana Jf Kwanza napenda nimpongeze mheshimiwa Rais kwa utendaji mzuri lakini naomba nimpongeze zaidi kwenye hili maana yupo sahihi zaidi imekua desturi Sasa watendaji kwenye nafasi mbalimbali serikalini kuacha taaluma zao na kukimbilia siasa hasa nafasi ya ubunge lengo sio kwenda kuwatumikia wananchi lengo ni kuongeza kipato ndo maana tumekua na wabunge wa hovyo wasiojali shida za wananchi na MASLAHI mapana ya taifa letu kama mtu ni mkurugenzi nafasi iyo inatosha kutatua CHANGAMOTO za watanzania eneo husika kwaio ni vizuri akaonesha utumishi uliotukuka.
Hapana,wanaomba ruhusa kwa sababu wanajua kura za maoni hazina mwenyewe. Wanafanya hivyo kwa sababu wanajua wakipigwa chini kwenye kura za maoni wanarudi kazini.Wife kwani una ndugu yako ana gombea? Mwambie achague moja! Akishindwa apambane na hali yake na asome halama za nyakati!
Wanaomba ruhusa ya siku kadhaa,badala ya kupewa ruhusa wanakuwa replaced. Ina maana wakishindwa kura za maoni ndo basi tena.
Mkuu zama zinabadilika ujue, haiwezekani wewe uliteuliwa kuwa IGP, halafu kwa tamaa zako ukaamua kugombea ubunge, Je wakati huo wa mchakato wa uchaguzi nani atakuwa anaserve as IGP!?, In fact lazima mwingine ateuliwe ili aserve as IGP.Ohoooo ingekuwa ni hivyo Magufuli asingekuwa Rais leo. Hiyo methali ni ya kupotosha watu. Aliyeanzisha hakutaka watu wafanikiwe. Ukitaka kufanikiwa lazima ushike hapa, pale,kule.
Hata Libya mlisema madikteta ni watu hatari, iangilie leo Libya bila GadafiCha muhimu ni kumpiga chini Oktoba , msifanye makosa alafu mje kulia lia tena humu.
Madikteta ni watu hatari sana, mwisho wa siku wakipita hawakawii kuomba kuongezewa muda mara katiba ibadirishwe, si umeona Urusi.
Mchakato wa kura za maoni hauna uhakika. Akishindwa kura za maoni anarudi kazini. Akishinda kura za maoni hapo ndo anaresign/anaachia ngazi. Kuliko kuwaachisha kazi mapema namna hii. Wao waliomba ruhusa ila Rais anawaachisha kazi. Sio fair.Mkuu zama zinabadilika ujue, haiwezekani wewe uliteuliwa kuwa IGP, halafu kwa tamaa zako ukaamua kugombea ubunge, Je wakati huo wa mchakato wa uchaguzi nani atakuwa anaserve as IGP!?, In fact lazima mwingine ateuliwe ili aserve as IGP.
Ushapewa nafasi ya kuwatumikia watu utatue matatizo yao ukaona haitoshi, basi anakuvua anakuacha ukasake ile unayotaka. Wale wana tamaa wanawazamils 250 baada ya miakamitano we wadhani mchezo.Nimejiuliza, Rais wetu mpendwa alipokuwa Mwalimu pale Sengerema Secondary School, alipoomba Ruhusa ya kwenda kugombea Ubunge kule Biharamulo. Je, aliachishwa kazi? Watu wanaomba ruhusa ili wakajaribu bahati zao, badala ya kupewa ruhusa wanatumbuliwa. Hii mnaionaje raia?
Binafsi naona sio sawa jamani au kwa vile ni nafasi za kuteuliwa? Najiuliza wale wa kwenye sector zisizo za kuteuliwa i.e watumishi wengine mfano walimu n.k wakiomba ruhusa nao wataachishwa kazi badala ya kupewa ruhusa. It means ukishindwa imekula kwako.
Hii ndo Tanzania ya Magufuli.
Muda huo wa mchakato wa kura za maoni kazi aliyoiacha itakuwa inafanywa na nani!, Halafu mbona simple tu akiamua kuondoka na nafasi yake inaondoka kuna vijana wengi wanaoweza kufanya kazi, haiwezekani mtu huyo huyo asubiriwe Hadi amalize personal affairs zake halafu arudi kwa kazi....lolHapana,wanaomba ruhusa kwa sababu wanajua kura za maoni hazina mwenyewe. Wanafanya hivyo kwa sababu wanajua wakipigwa chini kwenye kura za maoni wanarudi kazini.
Tofautisha kumba ruhusa na kujiuzulu.
Kule marekani aliendaga kikazi na South Africa?Anaogopa,maana ukiomba ruksa,unapigwa chini.
Hivi mwanamke akienda martenity leave, kazi zake hufanywa na nani? Siku hizi na technolojia hii unaweza fanya kazi kwa online,pia kuna wasaidizi kibao. Kura za maoni huwa hazichukui muda mrefu. Hata mwezi huwa haufiki.Muda huo wa mchakato wa kura za maoni kazi aliyoiacha itakuwa inafanywa na nani!, Halafu mbona simple tu akiamua kuondoka na nafasi yake inaondoka kuna vijana wengi wanaoweza kufanya kazi, haiwezekani mtu huyo huyo asubiriwe Hadi amalize personal affairs zake halafu arudi kwa kazi....lol
Mkuu unajua ukikaa chini na kujiuliza unagundua kuwa haiwezekani...wewe ukiamua kuondoka Basi na nafasi yako inaenda na wengine. MKUU HEBU KAA CHINI UFIKIRIE utaona kabisa that's unfair.Mchakato wa kura za maoni hauna uhakika. Akishindwa kura za maoni anarudi kazini. Akishinda kura za maoni hapo ndo anaresign/anaachia ngazi. Kuliko kuwaachisha kazi mapema namna hii. Wao waliomba ruhusa ila Rais anawaachisha kazi. Sio fair.
si ninyi wenyewe mmeamua kuiita nchi yetu "Tanzania ya Magufuli" badala ya "Tanzania Yetu"??Nimejiuliza, Rais wetu mpendwa alipokuwa Mwalimu pale Sengerema Secondary School, alipoomba Ruhusa ya kwenda kugombea Ubunge kule Biharamulo. Je, aliachishwa kazi? Watu wanaomba ruhusa ili wakajaribu bahati zao, badala ya kupewa ruhusa wanatumbuliwa. Hii mnaionaje raia?
Binafsi naona sio sawa jamani au kwa vile ni nafasi za kuteuliwa? Najiuliza wale wa kwenye sector zisizo za kuteuliwa i.e watumishi wengine mfano walimu n.k wakiomba ruhusa nao wataachishwa kazi badala ya kupewa ruhusa. It means ukishindwa imekula kwako.
Hii ndo Tanzania ya Magufuli.
Makonda aka Bashiiiiite mtoto wa Mwalim mkuu!Magufuli mwenyewe alienda Chato miezi kama mitatu kipindi cha Coronavirus. Akawa anafanya kazi kwa online ,kutwa kumuelekeza Ummy Mwalimu.
Inawezekana kaka.Ndo maana wakaomba Ruhusa na sio kajiuzulu. Kwa Magufuli why iliwezekana. Aliomba ruhusa Sengerema secondary kwenda kugombea kura za maoni Biharamulo.Mkuu unajua ukikaa chini na kuniuliza unagundua kuwa haiwezekani...wewe ukiamua kuondoka Basi na nafasi yako inaenda na wengine. MKUU HEBU KAA CHINI UFIKIRIE utaona kabisa that's unfair.