Whoa whoa hold on! Online!? kazi uliyopaswa kuifanya ukiwa ofisini but kwa vile ya tamaa za Madaraka uwe unaifanyia online!?, Nah this is bullshit. Halafu hii case ya maternity kwa mwanamke hili ni suala jingine na halipaswi kuwepo hapa maana ni tofauti na uzi wako mkuu.Hivi mwanamke akienda martenity leave,kazi zake hufanywa na nani?Siku hizi na technolojia hii unaweza fanya kazi kwa online,pia kuna wasaidizi kibao. Kura za maoni huwa hazichukui muda mrefu. Hata mwezi huwa haufiki.
Huridhiki na nafasi yakoWanaomba ruhusa ya siku kadhaa,badala ya kupewa ruhusa wanakuwa replaced. Ina maana wakishindwa kura za maoni ndo basi tena.
Yeye ataombaje wakati yeye mwenyewe Ana hisa 55 kati ya hisa 100 za umiliki wa CCM na ile kitu ingine uvccm!!Hapa najiuliza hivi Makonda bado hajaomba likizo ?
Kwan saiz amani haipo?Kwani Tanzania before Magufuli si ilikuwa na amani tu.Usilinganishe vitu visivyolinganishika. Libya na Tanzania ni context tofauti.
Nakubali that time, think about scarcity of teachers kipindi hicho, lakini siyo kipindi hiki mkuu walimu wapo nyomi mtaani halafu, mtu mmoja aende kazi nyingine halafu akifeli huko arudi tena kweli!?Inawezekana kaka.Ndo maana wakaomba Ruhusa na sio kajiuzulu. Kwa Magufuli why iliwezekana. Aliomba ruhusa Sengerema secondary kwenda kugombea kura za maoni Biharamulo. Aliposhindwa kura za maoni akarudi kazini. Kafanya hivyo kwa vipindi viwili mfululizo. Magufuli kashindwa kura za maoni vipindi viwili mfululizo.
Hata mie nikuteuwe DED kwakukuamini then utake ubunge, hakya nani nendaga jumla jumlaMh.RAIS ni kama huwa ana kiburi cha kutaka kutukuzwa na kujitukuza anafanya mambo ili aonekane yeye kuliko taasis ya urais.
Issue iko hivi...
Lakini si umeelewaHivi ni kuomba ruhusa au ruksa?
Heee, Anna shija Kumbe nae kaomba ruhusa?Ndo kina Anna Claire Shija aliomba ruhusa aende Sengerema akapambane na Ngeleja. Sema ndo karepleciwa sasa. Imagine akishindwa kura za maoni.
Na sijui km atapita kwenye kura za maoni!Taratibu za Utumishi wa Umma zinasemaje? Na katika hali.ya Kawaida huwezi tumikia Mabwana wawili kwa wakati mmoja. Hapo lazima mmoja utakuwa mchepuko...
Magufuli huyuhuyu?!! Yaani ashindwe kura za maoni halafu nafasi inamsubiri yeye?Hajaomba kuachia ngazi bali aliomba ruhusa,ili endapo atashindwa kura za maoni anarudi kwenye kiti chake Same. Kwani alipokuwa likizo ya uzazi nani alimshikia ?
Niko hapa falcon napata mchemsho wa kolekole......karibu bwashee!Vipi Bwashee umekunywa chai?
Kura za maoni hazichukui muda mrefu. Magufuli alishindwa kura za maoni Biharamulo,ila alirudi kufundisha Sengerema boys. Tena alishindwa kwa vipindi viwili mfululizo.Magufuli huyuhuyu?!! Yaani ashindwe kura za maoni halafu nafasi inamsubiri yeye?
Naona hamjamuelewa polepole alichoongea,mwenye ile clip atuwekee hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
I knw!Kura za maoni hazichukui muda mrefu. Magufuli alishindwa kura za maoni Biharamulo,ila alirudi kufundisha Sengerema boys. Tena alishindwa kwa vipindi viwili mfululizo.