Inashangaza: Watu wanamuomba ruhusa Rais Magufuli, badala ya kupewa wanatumbuliwa

Inashangaza: Watu wanamuomba ruhusa Rais Magufuli, badala ya kupewa wanatumbuliwa

Hivi mwanamke akienda martenity leave,kazi zake hufanywa na nani?Siku hizi na technolojia hii unaweza fanya kazi kwa online,pia kuna wasaidizi kibao. Kura za maoni huwa hazichukui muda mrefu. Hata mwezi huwa haufiki.
Whoa whoa hold on! Online!? kazi uliyopaswa kuifanya ukiwa ofisini but kwa vile ya tamaa za Madaraka uwe unaifanyia online!?, Nah this is bullshit. Halafu hii case ya maternity kwa mwanamke hili ni suala jingine na halipaswi kuwepo hapa maana ni tofauti na uzi wako mkuu.
 
Hapa najiuliza hivi Makonda bado hajaomba likizo ?
Yeye ataombaje wakati yeye mwenyewe Ana hisa 55 kati ya hisa 100 za umiliki wa CCM na ile kitu ingine uvccm!!
Yeye akiamua kwenda na panga boy apo South Africa hakuna wa kumuuliza Bash boy
 
Inawezekana kaka.Ndo maana wakaomba Ruhusa na sio kajiuzulu. Kwa Magufuli why iliwezekana. Aliomba ruhusa Sengerema secondary kwenda kugombea kura za maoni Biharamulo. Aliposhindwa kura za maoni akarudi kazini. Kafanya hivyo kwa vipindi viwili mfululizo. Magufuli kashindwa kura za maoni vipindi viwili mfululizo.
Nakubali that time, think about scarcity of teachers kipindi hicho, lakini siyo kipindi hiki mkuu walimu wapo nyomi mtaani halafu, mtu mmoja aende kazi nyingine halafu akifeli huko arudi tena kweli!?
 
Huu ni upotoshaji sidhani kama ruhusa inamuhusu kila mfanyakazi wa serikali; walimu, manesi, dokta, mhasibu, karani, dereva etc kama wanaweza gombea sidhani kama wamezuiliwa.

Walioteuliwa nafasi zao na raisi; na wakiacha ni raisi pekee ndio anaeweza teua tena kujazia hizo nafasi hao ndio nilivyoelewa mimi wakitaka mawili moja litapokonywa.

Mbona ni onyo ambalo Magu kalitoa mapema sana wakati anaingia madarakani kwa wateuliwa.

Inaonekana wengi wetu sio wasikilizaji wazuri watu wanapokuwa wanaongea maana hili jambo ata Dr Bashiru ameliongelea sana. Tumezoea matamko ya viongozi ambao wengi awayasimami wakisha ropoka this dog bites and he means business.
 
Hajaomba kuachia ngazi bali aliomba ruhusa,ili endapo atashindwa kura za maoni anarudi kwenye kiti chake Same. Kwani alipokuwa likizo ya uzazi nani alimshikia ?
Magufuli huyuhuyu?!! Yaani ashindwe kura za maoni halafu nafasi inamsubiri yeye?
Naona hamjamuelewa polepole alichoongea,mwenye ile clip atuwekee hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wako wakuu wa mikoa wengi wanaotamani kugombea ubunge na walianza figisu muda mrefu.

Ngoja tuone kama wataomba ruhusa na kuchukua fomu.

Mnyeti, Shigella, Happi na Albert wanaweza kuwemo katika Bunge la Dr Tulia.

Maendeleo hayana vyama!
 
Anayegawa pumzi ya bure naye ana mipango yake. Bunge la Tulia bado ni ndoto tusubiri muda ufike
 
Ni bahati nasibu kwenye ubunge bora ushike ki1 kuliko kukosa vyote
 
Magufuli huyuhuyu?!! Yaani ashindwe kura za maoni halafu nafasi inamsubiri yeye?
Naona hamjamuelewa polepole alichoongea,mwenye ile clip atuwekee hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kura za maoni hazichukui muda mrefu. Magufuli alishindwa kura za maoni Biharamulo,ila alirudi kufundisha Sengerema boys. Tena alishindwa kwa vipindi viwili mfululizo.
 
Kura za maoni hazichukui muda mrefu. Magufuli alishindwa kura za maoni Biharamulo,ila alirudi kufundisha Sengerema boys. Tena alishindwa kwa vipindi viwili mfululizo.
I knw!
Lakini kwa hali ilivyo sassa, namuonea huruma! Aombe Mungu tu amsaidie!
Polepole alisema waache tamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom