Inasikitisha Iran kuwafukuza raia milioni 2 wa Afghanistan waliokimbia utawala wa Taliban

Inasikitisha Iran kuwafukuza raia milioni 2 wa Afghanistan waliokimbia utawala wa Taliban

Hiyo siyo dini, mbona hamuelewiii???
Uislam ni chombo cha waarabu cha kueneza mila na desturi za waarabu. Ndiyo maana wanaita uislama ni total way of living which is a typical definition of the term culture. Mnachofundishwa misikitini ni total way of living of arabs, na siyo dini. Tukiwa tunajaribu kuwafumbua macho muwe mnaelewa enyi waarabu wa matogoro na kimanzichana.
Hawa waislamu wa kwa mtogole hawaelewi kitu.
Siku moja walikuwa wanabisha kwamba zile alif , bā, tā si kiarabu, bali ni kiislamu.
Tulijaribu kuwaelewesha kwamba Alif, bee ni Sawa na A,B, C za kiarabu na kwamba hakuna lugha inaitwa kiislamu, ni kiarabu tu, lakini jitihada zetu ziligonga mwamba wa ujinga waliokuwa nao maisha yao yote .
 
Yaan ukisoma haya mambo ya iran,israel ndio utajua watu humu ni wapumbavu kiasi gani,yaan wanashabikia mambo kibwege sana kisa tu huyu ana mapenzi na israel na huyu ana mapenzi na iran

Iran kuondoa watu nchini kwakwe kwa kutofuata taratibu leo inaonekana ni shida,tangu lini nyie wagalatia wa buza mmeanza kuwapenda waislamu wa nchi nyingine kama sio unafiki ni nini?

Kila nikisoma hizi mada zenu za iran na israel naona upuuzi mwingi sana kiasi ambacho nakereka sana

Hivi hamuwezi kujadili mada objectively bila kuhusisha uislamu na ukristo/uyahudi?

Ni watu wachache sana utawakuta wanajadili mada bila kuvutwa na hisia za dini,lkn wengine ni ushabiki tu wa kipumbavu

Acheni ujinga
 
Majinga sana yao habari zao wanatafuta mbayatu kwa iman za wenzao sasa anaoji kufukuzwa mbona akja kuwapongeza wakati walipotoa msaada tena miaka mingi wanawatunza mashilika ya UN kimya ayakupelaka chochote. Apa kwetu uwa waamiaji atuwatimui tikiona kuna aja ya kufanya ivyo. Unafikuna ndio huuuuu 😂😂😂
 
Hawa waislamu wa kwa mtogole hawaelewi kitu.
Siku moja walikuwa wanabisha kwamba zile alif , bā, tā si kiarabu, bali ni kiislamu.
Tulijaribu kuwaelewesha kwamba Alif, bee ni Sawa na A,B, C za kiarabu na kwamba hakuna lugha inaitwa kiislamu, ni kiarabu tu, lakini jitihada zetu ziligonga mwamba wa ujinga waliokuwa nao maisha yao yote .

Kwa hiyo wenyewe wanafikiri kuna lugha inaitwa kiislam. Duu, kweli ujinga ni mzigo wa kuni. Asante pia kwa kunifundisha kuhusu alfabeti za kiarabu, ambazo waislam wa kwa mtogole wanaita ni silabi za kiislam.
😛
 
Dini ni hiyo aliyokufundishsa Nabii wako Tito au vipi?
Acha kujizima data bro. Wewe mpaka sasa hujui waarabu na ujinga wao wa akili wanatumia uislam kama propaganda machinery ya kuwapumbaza wajinga duniani kotee kwa kueneza utamaduni wao?
Wee ukiona dini inapuuza lugha yako ya asili ambayo unatumi, inadharau majina yako ya asili. Vitu ambavyo ni msingi wa utamaduni na utambulisho wako. Hiyo ni dini ya kuiogopa kama ukoma.
 
Hatari sana mkuu.

Mimi nitakuja kuamini kwamba uislam ni dini, mpaka pale watakapo tenganisha na lugha ya kiarabu pamoja na desturi zote za kiarabu. Vinginevyo nitaendelea kuitazama kama chombo cha kueneza mila na desturi za kiarabu.
 
Mimi nitakuja kuamini kwamba uislam ni dini, mpaka pale watakapo tenganisha na lugha ya kiarabu pamoja na desturi zote za kiarabu. Vinginevyo nitaendelea kuitazama kama chombo cha kueneza mila na desturi za kiarabu.
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
 
Acha kujizima data bro. Wewe mpaka sasa hujui waarabu na ujinga wao wa akili wanatumia uislam kama propaganda machinery ya kuwapumbaza wajinga duniani kotee kwa kueneza utamaduni wao?
Wee ukiona dini inapuuza lugha yako ya asili ambayo unatumi, inadharau majina yako ya asili. Vitu ambavyo ni msingi wa utamaduni na utambulisho wako. Hiyo ni dini ya kuiogopa kama ukoma.
Uliambiwa na Mchungaji wako Nabii Tito ? Mbona biblia inatuambia watu wote walikuwa na lugha moja
 
Hosea 4:6
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.

Sasa ntapataje maarifa kwa lugha nisiyoijua?
Mimi mmatengo na kiarabu wapi na wapi!!?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Huwezi amini lakini huo ndiyo ukweli

Yaani kwa ndugu wavunja undugu kwa ndugu mmoja mwenye neema kumtimua nduguye mwenye shida

Serikali ya Kiislamu ya Jamhuri ya Iran imeamua kuwatimua bila huruma Ndugu zao raia wa nchi inayofuata sheria za Kiislamu ya Afghanistan wapatao million mbili na nusu waliokuwa wakiishi Iran

Mwaka jana usisahau waafghanistan millioni moja na nusu walitimuliwa huku miongoni mwao elfu ishirini wakiwa Watoto

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

Iran plans mass deportation of 2 million Afghan migrants

Oct 7, 2024,

Iran has intensified its deportation efforts, aiming to expel at least two million undocumented migrants by the end of March 2025, according to Ahmad Reza Radan, commander of Iran’s law enforcement forces.

"Our goal this year is to return and deport at least two million illegal foreign nationals to their countries," Radan said Saturday in an interview with IRNA, the official government news website.

Although Radan did not explicitly mention any nationality, the term “foreign national” is widely used by Iranian officials and media to describe Afghan nationals, who constitute the overwhelming portion of the migrant population in Iran.

United Nations refugee agency UNHCR estimates that nearly 4.5 million Afghan nationals currently live in Iran. However, recent estimates mentioned in the Iranian media say the population has swelled to nearly 10 million Afghans - or more than 10 percent of the country's population.

Over 500,000 people have already been arrested and deported, and more than 250,000 have voluntarily turned themselves in, bringing the total of those deported to 750,000 according to Radan.

There has always been a steady influx of Afghans into Iran, with the migrant population estimated at around 2.5 million over the past decade. However, after the Taliban's takeover of Afghanistan, the numbers surged, with millions crossing the border.

Many Iranians blame the Islamic government for not sealing the border, suspecting it of harboring intentions to use Afghans as foot soldiers—both to control the disgruntled domestic population and as fighters in Middle East conflicts.

In August, Mohammad Rashidi, a member of parliament's presidium, introduced a bill to amend the laws governing the entry and residence of foreign nationals in Iran, with the goal of reducing the foreign national population by 10 percent annually.


1.3 million Afghans were deported from Iran last year with more than 20,000 of them being children, and many of them unaccompanied.


Many Afghan nationals who are now at risk of deportation under this plan include women and former government employees who fled fearing persecution. Under the proposed plan, it is becoming increasingly difficult for these groups to secure long-term legal status in Iran, leaving many vulnerable to deportation.
Hawafukuzwi ila wanarudi nyumbani baada ya nchi kuwa shwari baada ya wavamizi kutimuliwa na Taliban. Kwa hiyo wanarudi nyumbani waishi kwa amani. Nyumbani ni nyumbani tu
Mvamizi baada ya kupoteza US$ trillion mbili na nusu kakimbia na mkia kaweka kwenye nya yake huku kaacha zana Kem Kem
Chezea wengine sio Taliban
 
Hapa ndipo maana bwana akasema mnaangamizwa juu umeandika wanasoma lugha hapa unaandika utapataje maarifa hujui kua maarifa yanatafutwa kwa kusoma.

Mimi sijui kiarabu. Sasa nitatwaaje maarifa wakati sijui lugha ya mtume??
 
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Inaonesha hata kiswahili pia hujui.

Anyway, wewe usielekeze mjadala kwenye kwenye vitu vidogo vidogo.
Jibu suala la msingi. Je uislam kama chombo cha kueneza desturi za kiarabu umefanikiwa kwa kiasi gani kufanya kazi hii?
 
Anyway, wewe usielekeze mjadala kwenye kwenye vitu vidogo vidogo.
Jibu suala la msingi. Je uislam kama chombo cha kueneza desturi za kiarabu umefanikiwa kwa kiasi gani kufanya kazi hii?
Nani kakwambia kutokujua kusoma kwa ufahamu ni kitu kidogo.?
Au ndio Hosea 4:11
Uzinzi na divai na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.
 
Sasa mtu anakimbia taleban kisa wana utawala wa kidini kisha akimbilie iran, je iran ina utawala gani?
Lazima wawafukuze, walichokikimbia Afghanistan ndio kipo iran,
Mmeshindwa huko, hamuwezi huku.
 
Back
Top Bottom