eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Nani kakwambia kutokujua kusoma kwa ufahamu ni kitu kidogo.?
Au ndio Hosea 4:11
Uzinzi na divai na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.
Lakini wazo langu ni hili, "sitakuja kuuona uislam kuwa ni dini mpaka pale ambapo utajitenga na lugha ya kiarabu, waarabu na ulimwengu wa kiarabu"