Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Mkuu kasome ulichoandika hasa maswali ya kijinga uliyouliza- ni matusi
Nadhani mwanao au mumeo ndo wanaoweza kuagizwa nawe.

Unapokuwa ktk mjadala na wanaume jitahidi kubehave
 
Jibu swali hata moja basi mjinga mwenzangu
Maswali yote ya kijinga, hujui uliulizalo.

Hujui kua unaweza kufanya kazi serikalin kisha ukaomba kwenda kusoma?

Ni lazima uwaambie chuo kazi yako ni ipi hata kama uko full time au evening class?

Hujui kua December hii kuna vyuo vimefungwa??
 
Familia zote ambazo vijana wao, wameondoshwa katika mazingira ya kutatanisha wanaumia. Kuna kina Ben, Soka, Mzee Kibao ambaye tuliambiwa kifo ni kifo.

Tulisema waache kuteka na kuuwa watu kisa madaraka. Iko siku wananchi, watachoka watawageukia, haya ndiyo madhara yake. Kila mtu awe kiongozi au Mwananchi, aheshimu haki ya kuishi ya mwingine.
Nzuri hii
 
Maswali yote ya kijinga, hujui uliulizalo.

Hujui kua unaweza kufanya kazi serikalin kisha ukaomba kwenda kusoma?

Ni lazima uwaambie chuo kazi yako ni ipi hata kama uko full time au evening class?

Hujui kua December hii kuna vyuo vimefungwa??
Nikisema.uchawi upo wala hakuna wa kunibishia.

Post yako inaonesha kabisa namna unavyoshiriki hayo mambo. Umejuaje kuwa sijui niulizalo kama siyo sangoma wa ramli?

Kitengo kapasukiwa na viza na sasa mnahaha kuzima hoja watu wasijadili. Mnateka, kutesa na kuua kisha tuwakalie kimya, no way.

Njooni kipuuzi tena tunacheza nanyi kibingwa. Tunajua kinga ipo kwa wahuni lakini sisi wenyenchi tu asema mjikinge na mawe pia
 
Wananchi Tegeta kwa Ndevu wameiumbua serikdli.
Mara..mfanyakazi wa serikali
Mara...mwanafunzi
Mara...walikuwa wanafukuzia mkwepa kodi
Mara....muda wa mwanafunzi kufanya kazibsaa tatu usiku

It doesent make sense!

Serikali ituambie tu wananchi, kuna majasusi nchini yanatumia magari ya kifahari(BMW X6) na namba bandia.

Huyo kijana asife bure, apewe maua yake.
Eeh vyuma vimeanza kuumana
 
Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?

Maswali yanazidi kuchanganya umma

Maswali magumu

  1. Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
  2. Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
  3. TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
  4. Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
  5. Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?

Poleni wafiwa

UPDATE...
View attachment 3172005
Hii ni kwa mujibu wa X kurasa ya Maria Sarungi
Tunaendelea kuleta updates.
Kwani CBE ipo dodoma peke yake mkuu?hujui dsm pia kuna cbe? Na kwenye hilo tangazo wamesema ni mwanachuo wa cbe dom au?..kwani hujawahi kusikia mwajiriwa anasoma kujiendeleza mkuu? Afu chuo kuna Degree program za jioni Evening class chuo vipindi kwa siku havizidi 3 au 4 .afu mkuu marehemu kua mwanachuo jambo la kawaida huenda aliajiriwa na diploma so kaamua kujiendeleza so relux
 
vitengo vimeshaanza kulana vichwa ni hatari kwa afya ya kantri.
 
Umesoma tangazo vizuri la chuo na TRA Au umekurupuka tu kama vile ulikua unaoga nje.

Acheni kukutea ujinga
Sasa wewe ulilielewaje hilo tangazo, mbona hata husemi? Kama nimelisoma na nikalielewa tofauti na wewe ulivyo lielewa, kuna lipi la ajabu hapo?

Naona wewe umemaliza kuvuta bangi ndipo ukaingia humu JF la sivyo usinge andika kama ulivyo andika hapo.
Wewe ni ujinga upi umeona tukiutetea?
 
Hofu imeshatanda nchini kote. Ukitamka tu ninatekwa, ninatekwaaa, watu wanahamaki wanakumbuka vifo vya watu mamia waliotekwa na kuuwawa ndipo wengine hujitokeza kutoa msaada.
Ni haki ya wananchi kulinda usalama wao, kama serikali ndiyo imegeuka kuwa chanzo cha upotevu wa usalama. Hapa siwalaumu wananchi hata mara moja.

Naomba tu, wananchi waanze kujipanga kuwaondoa hawa viongozi wanao sababisha haya yote
 
Wahusika wapigwe nondo nzito. Una gari ya wizi unajua umeshikwa unasema unatekwa, mzaha mzaha unaishia jela. Mitanganyika nayo imeona fika hawa ni TRA ndo inachukua hatua ila wakiwa watu wasioeleweka inajikausha. SMH
Unavyoo gea inaonekana ww ni sehemu ya watu wanaoratibu ama kuteka watu, sasa unatengeneza vitisho vya jela ili watu waogope kuwashughulikia muendelee kuwafanyia uovu.
 
Nikisema.uchawi upo wala hakuna wa kunibishia.

Post yako inaonesha kabisa namna unavyoshiriki hayo mambo. Umejuaje kuwa sijui niulizalo kama siyo sangoma wa ramli?

Kitengo kapasukiwa na viza na sasa mnahaha kuzima hoja watu wasijadili. Mnateka, kutesa na kuua kisha tuwakalie kimya, no way.

Njooni kipuuzi tena tunacheza nanyi kibingwa. Tunajua kinga ipo kwa wahuni lakini sisi wenyenchi tu asema mjikinge na mawe pia
Unazidi kudhihirisha Ujinga wako. Yaani wewe ndio aina ya Wajenga hoja tulio nao zama hizi hapa JF. Jukwaa linashuka hadhi sababu ya watu wa aina yako.

Hoja huna, mihemuko miingiii.
 
ART wameamua kutumika kufunika kombe lkn za ndani kutoka kwenye kiini ni kuwa kipepeo mweupe alikuwa katika majukumu yake ya nyuma ya pazia na siku ikawa mbaya kazini. Ndosababu unaona viranja kama wamechanganyikiwa vile, kila kiranja anatoa tamko.
Matamko yamekuwa mengi!
 
Back
Top Bottom