Kabla ya kusikitika jiulize,TRA kwenye lile tukio alikua kama dereva wa gari ya serikali,gari ya serikali huendeshwa na dereva muajiriwa na ambae hupaswa kua kazini muda wote na kuitunza gari,sasa aliwezaje kua mwanafunzi wa CBE -Dodoma akiwa anasomea degree ya mahesabu na kodi kama permanent student?!!
Tukio limetokea siku ya kazi,na kipindi ambacho vyuo vimefunguliwa,imekuaje hayupo chuo akawa yupo Dar na ilihali pia sio muda wa Field?!!
Gari walilokua wanataka kumteka(maana ule utekaji usiku kwenye foleni) namba DHZ ni usajili wa zaidi ya miaka minne nyuma,kwa nini hawajawahi kumuita mmiliki na kumkamata ilihali taarifa zake za mmiliki wa gari huwa zipopaka namba za simu?!!