Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Yule marehemu kwa umri wake inaonekana alikuwa ameanza kuajiriwa kisha akaenda kujiendeleza elimu huku akiwa kazini.
Pengine hakuchukua likizo ya masomo alikuwa on duty siku ile.
Kumbuka Kuna executive classes ambazo zina accommodate waajiriwa.
Na wewe ynahisi tu kama mm, lkn mm nahisi alikuwa mtu wa kitengo sema ndio yashamwagika sasa
 
ART wameamua kutumika kufunika kombe lkn za ndani kutoka kwenye kiini ni kuwa kipepeo mweupe alikuwa katika majukumu yake ya nyuma ya pazia na siku ikawa mbaya kazini. Ndosababu unaona viranja kama wamechanganyikiwa vile, kila kiranja anatoa tamko.
Inawezekana kabisa ndio watekaji WA Mzee Kibao na wengine😔
 
Tatizo ni gharama za usafiri ama tatizo ni kuwahi Masomo Darasani ? Mkuu usiyumbe tutapoteza focus ya mjadala. Asubuhi njema
Vyote ni factors,hiyo level kibongobongo bado hatujaifikia hiyo labda China huko ndio wanaweza maana kule hakuna uswahili wa treni kukatika umeme na abiris kukaa porini siku nzima baadae wanasingizia ngedere ndio wamekata umeme.
 
Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?

Maswali yanazidi kuchanganya umma

Maswali magumu

  1. Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
  2. Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
  3. TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
  4. Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
  5. Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?

Poleni wafiwa

UPDATE...
View attachment 3172005
Hii ni kwa mujibu wa X kurasa ya Maria Sarungi
Tunaendelea kuleta updates.
Mkuu tabia yako ya kushinda kwenye mitandao unatafuta vimakosa na kutukana watu inakufanya usijue mambo mengi ya duniani katika uhalisia wake. Mbona usomaji kama marehemu alivyokuwa anafanya ni kawaida kabisa. Aidha kwa upande mwingine binadamu sasa tuna sura na haiba tofauti inategemea yuko wapi. Mfano marehemu kwa:
  1. TRA- Mwajiriwa
  2. CBE- Mwanafunzi
  3. Nyumbani- Baba wa familia
  4. Kanisani-Muumini NK
 
Mkuu tabia yako ya kushinda kwenye mitandao unatafuta vimakosa na kutukana watu inakufanya usijue mambo mengi ya duniani katika uhalisia wake. Mbona usomaji kama marehemu alivyokuwa anafanya ni kawaida kabisa. Aidha kwa upande mwingine binadamu sasa tuna sura na haiba tofauti inategemea yuko wapi. Mfano marehemu kwa:
  1. TRA- Mwajiriwa
  2. CBE- Mwanafunzi
  3. Nyumbani- Baba wa familia
  4. Kanisani-Muumini NK
Kimbwenelehi haujamaliza kusema yote.
Kabla hatujasonga mbele, weka japo nusu ama robo tusi nililotukana.

Jambo la pili, umeumia kama Mwigulu alivyoumia, kama Muliro alivyoumia, kama Mombo alivyoumia.

Cha msingi, jifunze katika makosa madogo ndani ya akili yako. Walio huko ndiyo wanaotujulisha tulioko huku.

Endelea kukaa kwa shemeji
 
Sio kila siku ila halitabiriki,sasa assume ndio unakwenda kufanya final exams halafu linazimika mnakaa porini masaa 6 au 8 utaiwahi hiyo mitihani?
Ni assumptions na haziwezi kuzuia kutimiza baadhi ya mambo kwa hofu ya matokeo ya baadae. Nafikiri timetable ya vipindi na mitihani alikuwa nayo yeye sisi wengine tuna assume na kuingilia maamuzi ya mtu juu ya maisha yake.

Hivi imagine weekend inakaribia uko chuoni na una uhitaji wa pesa. Halafu unapigiwa simu toka ofisi uliyoajiriwa kuwa mtakuwa na operation fulani na ina posho kiwango fulani hutaenda?

Kuhusu ratiba za chuo huyo jamaa mlikuwa mnamlaumu bure. Haya mambo ya kusafiri kutoka eneo la chuo kwenda mkoa mwingine tumeshafanya sana na yanaendelea kufanyika. Ikifika Alhamis mtu anachungulia ratiba anaona vipindi anavyoweza kuskip anaondoka then Jpili jioni anarudi na J3 anakuwa yupo chuo since morning. Hata wengine huwa wanasafiri hizo siku kwenda kufanya kazi za kuuza mwili mikoa mingine mbali na kilipo chuo.
 
Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?

Maswali yanazidi kuchanganya umma

Maswali magumu

  1. Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
  2. Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
  3. TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
  4. Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
  5. Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?

Poleni wafiwa

UPDATE...
View attachment 3172005
Hii ni kwa mujibu wa X kurasa ya Maria Sarungi
Tunaendelea kuleta updates.
Unauliza Ujinga,
Ina maana vyuo hawafungi wanasoma siku 365 zote??
 
Kimbwenelehi haujamaliza kusema yote.
Kabla hatujasonga mbele, weka japo nusu ama robo tusi nililotukana.

Jambo la pili, umeumia kama Mwigulu alivyoumia, kama Muliro alivyoumia, kama Mombo alivyoumia.

Cha msingi, jifunze katika makosa madogo ndani ya akili yako. Walio huko ndiyo wanaotujulisha tulioko huku.

Endelea kukaa kwa shemeji
Mkuu kasome ulichoandika hasa maswali ya kijinga uliyouliza- ni matusi
 
Na ile operation iliyokuwa kinyume na utaratibu majibu yake ni yapi?
-Kwanini hakupigiwa simu aende ofisini kwao?
-Kwanini hawakutumia police traffic office wakamatwe gari?
-Wamemkimbiza kama jambazi waliyemkurupusha kwenye scene ya ujambazi, iweje kama kilikuwa na jinai wasiende na polisi ambao wana mamlaka kisheria ya kukamata wahalifu?
-Vipi kuhusu sheria inayowapasa kwenda na polisi wenye sare rasmi wakati wa operation zao?
NB: Kongole nyingi kwa raia wema kufanikiwa kuokoa Mtanzania mwenzao asitekwe alipoomba msaada. Polisi wangewakana wahusika kama zoezi la utekaji lingefanikiwa na moja ya mifano ni Ali Kibao aliyechukuwa kwa mtindo huohuo waliokuja nao kwa driver wa X6.
Mimi nimejibu specific questions kwanini statement haijasema ni mfanyakazi wa TRA au kwanini ni mwanafunzi hayupo darasani au kwanini TRA haikusema ni mwanafunzi. Hayo mengine yanatoka wapi?
 
Back
Top Bottom