Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa ni mmoja wapo.Jamaa alikuwa dereva . Yuko TRA muda mwingi tu.
I know him well
TRA wanasema ni permanent employee wao nawe unadai yuko field, mtaendelea kujichanganya mpaka mrukwe na akili. Habari ya kwanza immediately baada ya raia wema kufanikiwa kuzuia utekaji alihusishwa na SUA, vipi hilo likayeyuka ikaja ya TRA na then ikaja ya CBE Idodomya yaani drama juu ya drama.Sioni, cha ajabu hapo, kuwa, mwanslafunzi, wa, CBE Dodoma, na, kuwa, eneo, LA, together Dar! Hakuna cha ajabu, kwani,wanafunzi, wa, CBE hawaruhusiwi kwenda, Dar? Swala, kwa nini alikuwa, kwenye operation ya TRA, using, linaelezeka, vzr tu, wanafunzi, wa, kada mbali mbali lazima wafanye mafunzo, ya vitendo, field, huyu alikuwa anasomea biashara, sasa TRA ni, sehwmu mijawapo unapoweza kufanyia field,
Na ile operation iliyokuwa kinyume na utaratibu majibu yake ni yapi?Yes hauruhusiwi kutolea taarifa taasisi ambayo hauiwakilishi. Hata kanisa lake likitoa tangazo la kifo litaishia kumtambulisha kama mshirika wake wa usharika fulani hawatakiwi kuanza kusema ni TRA sijui anasoma CBE.
Kama nilivyosema hapo juu kila taasisi inamtambilisha kutokana na mahusiano yao ya kikazi au kielimu n.k yalipoishia.
Nadhani hayakua masaa ya kuwepo darasani. Otherwise siku hizi kuna executive classes wanatumia mfumo wa modules, unasoma wiki hata mbili unapotea tena hata miezi unarudi kuendelea mpaka unamaliza
Ni miongoni mwa maofisa na si dereva au driver and officer it's one and the same? Educate me on this one.Wewe ndo hujaelewa kizungu !!Barua imesema alikuwa miongoni mwa maofisa wa TRA .Haija sema ni TRA Officer .Soma tena
Tatizo ni gharama za usafiri ama tatizo ni kuwahi Masomo Darasani ? Mkuu usiyumbe tutapoteza focus ya mjadala. Asubuhi njemaKwa hiyo atakuwa analipia elfu 60 kila siku kupanda treni kwa ajili ya kwenda darasani na kurudi?haimake sense hata hao mawaziri hawasomagi kwa mtindo huu
Hao TRA walikusudia kutenda maovu ndio maana yakawatokea puani.Na ile operation iliyokuwa kinyume na utaratibu majibu yake ni yapi?
-Kwanini hakupigiwa simu aende ofisini kwao?
-Kwanini hawakutumia police traffic office wakamatwe gari?
-Wamemkimbiza kama jambazi waliyemkurupusha kwenye scene ya ujambazi, iweje kama kilikuwa na jinai wasiende na polisi ambao wana mamlaka kisheria ya kukamata wahalifu?
-Vipi kuhusu sheria inayowapasa kwenda na polisi wenye sare rasmi wakati wa operation zao?
NB: Kongole nyingi kwa raia wema kufanikiwa kuokoa Mtanzania mwenzao asitekwe alipoomba msaada. Polisi wangewakana wahusika kama zoezi la utekaji lingefanikiwa na moja ya mifano ni Ali Kibao aliyechukuwa kwa mtindo huohuo waliokuja nao kwa driver wa X6.
Una akili iliyotulia sana mkuu!Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Maswali magumu
- Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
- Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
- TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
- Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
- Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?
Poleni wafiwa
Punguza kuokoteza taarifa ambazo hata uelewa nazo hauna kutaka kuhalalisha kitu ambacho hakipo.Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Maswali magumu
- Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
- Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
- TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
- Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
- Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?
Poleni wafiwa
Kwenye heading 'Kambayao' edit, ni SimbayaoPamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Maswali magumu
- Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
- Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
- TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
- Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
- Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?
Poleni wafiwa
Kama aliamua kujitolea kuendeleaOkay tuseme ni mwanafunzi wa CBE Dodoma ambaye alienda kufanya field katika ofisi za TRA huko Dar lakin je muda wa field haukuwa umeisha ?
Wakishughulikiwa mnalalamika, wasiposhughulikiwa mnalalamika. Wananchi kwa Sasa
Unatofautisha vipi wasiojulikana na vyombo vya usalama? Maana mara zote unasikia wanasema alichukuliwa na waliodai ni polisi walikuja na landcruiser.
Sasa hiyo hali ya kutoweza kuwatofautisha ndiyo inawafanya watu wawe na mashaka na kila anayejiita TRA, polisi. yani sasa hivi ukisikia mtu kafuatwa na polisi unadhani kaenda kufa tofauti na zamani
Ila kama una c tatu utagundua dogo anajicho la tai(eagle) kabisa.
Sasa mtu unajiita bufa huwezi kuwa timamuNina A flat c ni za vilaza. Sijagundua chochote, eleza plainly tusichoshane.
PUMBAVUYou can tell ndo maana hawa walishambuliwa. Watekaji wenyewe wanaogopwa hakuna mbongo anaweza sogea, mitanganyika hovyo sana. Wakiona polisi wa kweli au TRA ndo wanajichetua wanajua kabisa hawa ni watumishi.
Atatekwa mtu next week na wasiojulikana hamna mtu atasogea.
IndeedA foolish comment.