Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wale ni watekaji sio TRA nakataa nawachukia TRA mbwa hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gestapo Hawa wapuuzi.. Yaani wanatumia nguvu kubwa sana kumtafutia huyu Marehemu cover story.Inaonekana jamaa yuko Kitengo kikali sana maana si kwa utetezi ule wa vyombo
🌤️🙋♂️🎯👏👍🤝🙏Hawa tatizo Lao ni moja, hawajipi mda kuja na Tamko lenye kuzingatia damage control, kila mtu ana kurupuka, mwisho wa siku it’s out of hands!
Hivi TRA walisemaje wana mamlaka ya ku arrest bila Police? Wana mahali pa kuweka watu Maabusu? Let’s assume watapeleka Police, Question: documents za arrest zitaanzia wapi?
Wacha usengerema Chadema inaingiaje hapa wewe msengerema?CHADEMA tulieni. Hii nchi ni ya kila mmoja. Acheni kuichafua TRA
Kwenye maisha usijifanye kimbelembele mchumia janga hulia na wa kwao no one atajali kuhusu wewe wanakupa pole then kila mtu anasahauPamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa
Kwani TRA wanaajiri mwenye shahada pekee? Au stashahada na astashahada zimefutwa? Wapo walioajiriwa TRA wana StashahadaWabongo wana akili nzito sana
Eti anafanya field
Badala ya kujiuliza alipataje kazi bila kuwa shahada au ndio hawa wanapata kazi kinyemela
Alikuwa muajiriwa wa TRA nafasi ya udereva. Chuo alikuwa anajiendeleza kielimu akiwa kazini.Okay tuseme ni mwanafunzi wa CBE Dodoma ambaye alienda kufanya field katika ofisi za TRA huko Dar lakin je muda wa field haukuwa umeisha ?
👍 🤝🙏RIP Amani Simbayao.
Our thoughts are with his family and friends at this difficult time.
Sasa hii si ni INTERNAL MEMO?
CBE watoe taarifa rasmi iloshiba inayomhusu mwanafunzi/mwajiriwa wa TRA na kwamba wafafanue alikuwa akisoma full-time au part-time.
CBE wawe wazi wasitoe taarifa nusunusu au za kutegemea INTERNAL MEMO.
CBE watoe OFFICIAL PRESS RELEASE.
Alikuwa dereva huko TRA. Chuo alikuwa anajiendeleza kielimu.Wabongo wana akili nzito sana
Eti anafanya field
Badala ya kujiuliza alipataje kazi bila kuwa shahada au ndio hawa wanapata kazi kinyemela
🤣 🤣 🤣Mwanafunzi kama mwanafunzi🤔
Mshana kipenyo kimeingiaje hapo 😂Afisa kipenyo
Wafiwa ni taasisi mbili, Chuo akiwa mwanafunzi na TRA akiwa mwajiriwa. Kila taasisi itamtambulisha kwa jinsi inavyomfahamu kwenye makaratasu yake.Sasa mbona TRA hawakutoa maelezo yaliyo jitosheleza kuwa huyo jamaa ni mwanafunzi??
Hapa kuna mkakati unasukwa
Inekuwa ni watekaji ila baada ya soo kufichuka wanajifanya ni TRAPamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Maswali magumu
Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
Poleni wafiwa
Ahaaaa nimekumbuka kumbe wale waliokuwa mtu na dada akeKuna video kijana alikuwa na dada yake kumbi za starehe, akaja mtu huyo aliyetaka kuchukua Kwa nguvu, dogo alivyopinga, jamaa akatoa bastola
Serikali imepagawaMaswali magumu
- Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
- Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
- TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
- Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
Kulingana na taarifa ya polisi gari ilikuwa na makosa ya kikodi, haikuwa gari ya wizi. Inashangaza watu wengi hivyo kufuatilia gari moja kwa kosa la kodi tu!
Hapo ndio penye ulakini, wangapi mtaani Wana makosa ya Kodi na wanadunda bila kusumbuliwa zaidi sana unaitwa TRA mnakubaliana kulingana na sheria zilivyoKulingana na taarifa ya polisi gari ilikuwa na makosa ya kikodi, haikuwa gari ya wizi. Inashangaza watu wengi hivyo kufuatilia gari moja kwa kosa la kodi tu!
Sabufa bado hujasemaIlitakiwa waende wangapi?
Magari yanayoingia nchini bila kulipa Kodi ni mengi na hii ni uhujumu uchumi kama uhujumu uchumi mwingine. Wapigwe nondo nzito
TRA usiku?