kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
NdiyoKuna watu hapo juu nimeona wanasema alikuwa field.. Kuna field ya kuteka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoKuna watu hapo juu nimeona wanasema alikuwa field.. Kuna field ya kuteka?
Anauliza maswali ya kitoto sana,Kwani CBE ipo dodoma peke yake mkuu?hujui dsm pia kuna cbe? Na kwenye hilo tangazo wamesema ni mwanachuo wa cbe dom au?..kwani hujawahi kusikia mwajiriwa anasoma kujiendeleza mkuu? Afu chuo kuna Degree program za jioni Evening class chuo vipindi kwa siku havizidi 3 au 4 .afu mkuu marehemu kua mwanachuo jambo la kawaida huenda aliajiriwa na diploma so kaamua kujiendeleza so relux
Wapi mimi nimesema siyo sahihi?Kwa hiyo wapo sahihi kusema ni mfanyakazi wa T.R.A wapo sahihi maana hawajataka kulezea kwa mapana zaidi kama alikuwa mfanyakazi wa vitendo au wa mkataba lakin kama alikuwa ni wa vitendo (field)
Na akiwa tegeta ni mtekajiNi mtumishi wa TRA as a driver, na CBE ni mwanafunzi, so kila ofisi ime response kwa namna wanavyorelate naye.
Akiwa TRA ni mtumishi dereva while akiwa CBE ni mwanafunzi
Huko nyuma niliandikaWapi mimi nimesema siyo sahihi?
Jitekenye tu.Watu wengi humu ni waropokaji ujuaji mwingiiii,hili tukio hao wahuni waliohusika wapewe adhabu kaliii mno ili iwe fundisho na yoyote aliyeshiriki uhalifu huu wa kukatiza maisha ya kijana huyu apewe adhabu kali kali mno,yaani ile maximum sentence isiyo na chance ya msamaha.
Unavyoo gea inaonekana ww ni sehemu ya watu wanaoratibu ama kuteka watu, sasa unatengeneza vitisho vya jela ili watu waogope kuwashughulikia muendelee kuwafanyia uovu.
Aliyeisha hapo ni aliye hai jela au aliyefariki?Endeleeni muone nani atakua wa kwanza kuisha nyinyi au watekaji. Mwenzenu mhujumu uchumi na BMW yake ya wizi kataka sifa za kijinga sasa anaishia jela si chini ya miaka 40 na wenzake aliofanya nao mauaji. Wewe mguse mtumishi uone.
Au sioJitekenye tu.
Kwa nini yeye afungwe hiyo miaka 40? Wewe hakimu?Endeleeni muone nani atakua wa kwanza kuisha nyinyi au watekaji. Mwenzenu mhujumu uchumi na BMW yake ya wizi kataka sifa za kijinga sasa anaishia jela si chini ya miaka 40 na wenzake aliofanya nao mauaji. Wewe mguse mtumishi uone.