Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
 
Mzeebaba ungetaja na kitengo unachofanyia kazi Mkuu ili tukuelewe vizuri.. Kama uyo Boss wako ni Baba ako endelea kushangaa ila kama na wew umeajiriwa hapo basi jua possibility ya wew kuja kumshangaza mwingine ni kubwa..just focus on your plate!
 
Inategemea kapitia ngazi zipi za kielimu hadi kufika hapo, kuna raia huwa wana hustle sana kwenye kupata elimu...

Kwa watu waliosoma boarding wanaweza kukumbuka hata marafiki wachache ambao walikuwa wakiahirisha miaka kwa nia ya kwenda kusaka ada+malipo mengine, unapata mtu O-Level kasoma miaka 7...
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Inaonekana wewe ni mtoto wa mama sana, sasa kinachokushangaza nini hapo
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Acha utoto
Jifunze kuwa Binadamu
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Mimi ndio nimekuja hapo
Umekuja kunitangaza mpaka huku mtoto wangu.
Ipo siku na mimi nitakuwa juu
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Si afadhali huyo kaitwa[emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]wengine hatuitwi na tutafikia umri wa kutoitwa tena ktk interview
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Mbona kawaida sana mkuu au wewe umezaliwa ukakutana na kitengo moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom