Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

Mzeebaba ungetaja na kitengo unachofanyia kazi Mkuu ili tukuelewe vizuri.. Kama uyo Boss wako ni Baba ako endelea kushangaa ila kama na wew umeajiriwa hapo basi jua possibility ya wew kuja kumshangaza mwingine ni kubwa..just focus on your plate!
Safi sana
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
Maisha ni safari ndefu Sana Muombee tu apate kazi.
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
Serikalini wakitoa matangazo ya kuomba ajira mwisho 45, 35 unaanzisha uzi kweli.
 
Life kila mtu na mda wake mie nilienda driving school na miaka 25 nikiwa na majonzi kuwa nimechelewa kujua kuendesha gari mana kitaa watoto wa kishua walikua wanaendesha magari wakiwa na miaka 17 huko...

Aminj mzee kufika pale namkuta jamaa ana miaka 47 yupo driving school ndio kaagiza gari yake ya kwanza na yupo very happy kwa hyo achievement toka siku hyo nikakubali life halina kuchelewa na usiishi kwa kujilinganisha na wengine...
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
Aisee!

Nakumbuka miaka hiyo ulipo kuwa pale jalalani (udsm) ukisoma electrial engineering wakala kichwa ukaja kuibukia kwenye economics!

Then ukasota sana kwenye ajira ..ukaenda TRA wakakula kichwa mwishoe ukaja ibukia kwenye ajira za serikali huko kigoma huko!

Leo umekuja unashangaa mtu kuomba ajira akiwa na miaka 35! Kweli dunia inakimbia kwa kasi!
 
Aisee!

Nakumbuka miaka hiyo ulipo kuwa pale jalalani (udsm) ukisoma electrial engineering wakala kichwa ukaja kuibukia kwenye economics!

Then ukasota sana kwenye ajira ..ukaenda TRA wakakula kichwa mwishoe ukaja ibukia kwenye ajira za serikali huko kigoma huko!

Leo umekuja unashangaa mtu kuomba ajira akiwa na miaka 35! Kweli dunia inakimbia kwa kasi!
Siku zote wale wanaopitia shida au mazingira Magumu,wakifanikiwa kidogo tu ndo huanza kuwa kama huyu!! Ukijaribu kuchunguza hata wale tuliokulia mazingira ya kimaskini au yenye changamoto kubwa,tukija kufanikiwa mbeleni HUKO huwa tunakuwa na dharau sana hasa sisi wadada na wanawake!! Ulimbukeni unakuwa mkubwa kuliko Hekima✍️
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
Mimi mwenyewe nina miaka 36,lkn ramani ya maisha bado haijasoma, naendelea kumuomba MUNGU anisaidie niweze kufanikiwa hata km ni kwa kuchelewa.Mshukuru MUNGU wewe uliyefanikiwa mapema.
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
We unashangaa mwenye 35!!?
Nchi ngumu hii,mie Nina 51 na Bado nagombsnia ajira na watoto wa 90s,sasa ngoja nifikishe abiria bunju,harafu naenda kwenye usaili!!?mfuruki alikuwa na 70+na bsdo alikuwa utumishi! Mkuchika hata mgongo unaanza kupinda lakini Bado yupo serikalini
 
We unashangaa mwenye 35!!?
Nchi ngumu hii,mie Nina 51 na Bado nagombsnia ajira na watoto wa 90s,sasa ngoja nifikishe abiria bunju,harafu naenda kwenye usaili!!?mfuruki alikuwa na 70+na bsdo alikuwa utumishi! Mkuchika hata mgongo unaanza kupinda lakini Bado yupo serikalini
Mpe ukweli ili ajifunze.
 
Inategemea kapitia ngazi zipi za kieleimu hadi kufika hapo, kuna raia huwa wana hustle sana kwenye kupata elimu...

Kwa watu waliosoma boarding wanaweza kukumbuka hata marafiki wachache ambao walikuwa wakiahirisha miaka kwa nia ya kwenda kusaka ada+malipo mengine, unapata mtu O-Level kasoma miaka 7...
Nikiwa kidato cha kwanza shule ya sekondari Malangali Iringa kuna mshkaji alikuwa smart sana kichwani ila aliishia form 1 tu, tunapofungua shule ile Januari hakurudi tena kuendelea kidato cha 2 sababu ya kukosa ada, na ada ilikuwa ni shilingi elfu 70 tu, kwao ilikuwa ni Mbozi, Mbeya anaitwa Elia jina la pili nimelisahau. Nilisikitika sana.
 
Nikiwa kidato cha kwanza shule ya sekondari Malangali Iringa kuna mshkaji alikuwa smart sana kichwani ila aliishia form 1 tu, tunapofungua shule ile Januari hakurudi tena kuendelea kidato cha 2 sababu ya kukosa ada, na ada ilikuwa ni shilingi elfu 70 tu, kwao ilikuwa ni Mbozi, Mbeya anaitwa Elia jina la pili nimelisahau. Nilisikitika sana.

Ipo mifano mingi mkuu, Hwadmaster wa shule niliyosoma O-Level alikuwa mtu mzuri sana...alikuwa anatoa fursa ya kuwaacha warejee masomo wale waliokuwa wanakosa ada...

Kuna wengine walikuwa wanapewa vibarua nyakati za likizo kama kukata nyasi, kuhudumia ng'ombe wa shule n.k halafu wanalipwa ujira kidogo...
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
Mtoa mada sijui una hali gan huko ulipo, kwa comments hizi za wadau nahisi umejiona bwege Sana.
 
Back
Top Bottom