Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Hawajui maisha yalivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtoa mada sijui una hali gan huko ulipo, kwa comments hizi za wadau nahisi umejiona bwege Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui maisha yalivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtoa mada sijui una hali gan huko ulipo, kwa comments hizi za wadau nahisi umejiona bwege Sana.
Hata mimi nakumbuka sana
Hio ndio swala la msingi analotakiwa kufanya sio kushangaaMpambanie mwana apate hiyo nafasi.
Bado unaendelea kuandika utumbo tuNaona watu mmenielewa vibaya
Iko hivi,mimi sijadharau mtu,kilichonishangaza ni hii kuona mtu wa 35 years anaomba kazi ya Trainee,kwangu ni kitu kigeni kwa sababu nimezoea kuona watu wanaoomba hizi nafasi za kuwa Trainee ni vijana wadogo wa chini ya miaka 30.
Anyway jamaa kahudhuria usaili na tumeonana, I hope Mungu atamsaidia.
Hahahahaha jamaa anadhani tumemsahau na tambo zake za udsmAisee!
Nakumbuka miaka hiyo ulipo kuwa pale jalalani (udsm) ukisoma electrial engineering wakala kichwa ukaja kuibukia kwenye economics!
Then ukasota sana kwenye ajira ..ukaenda TRA wakakula kichwa mwishoe ukaja ibukia kwenye ajira za serikali huko kigoma huko!
Leo umekuja unashangaa mtu kuomba ajira akiwa na miaka 35! Kweli dunia inakimbia kwa kasi!
Huo si ukawaida. Stop normalizing matatizo yaonekane ni normal. That not normalInasikitisha kwasababu wewe una kazi tayari....ila kiuhalisia ni suala la kawaida hapa nchini
Hilo ndio la msingi sio kushangaaNaona wana wamekushambulia sana kwa hii post yako mkuu. Sasa ili kuwaonyesha kuwa we unaelewa situation ya mwana basi msaidie huyo mwana apate internship na ikiwezekana mpambanie apate ajira kabisa.
Jifunze kuwa na busaraWatanzania tuna matatizo sana.kwa hiyo kitu kama ni kigeni kwangu siruhusiwi kushangaa,kisa nitaonekana nadharau watu?
Bado unaendelea kuandika utumbo bora unyamaze tu, kwahiyo ukija huku uswahilin kwetu ukaona watu wanakula ugali kwa dagaa kila siku wiki nzima utakuja hapa kuanzisha uzi kisa kwenu mlo mmoja tu una mboga saba?Watanzania tuna matatizo sana.kwa hiyo kitu kama ni kigeni kwangu siruhusiwi kushangaa,kisa nitaonekana nadharau watu?
Ndio maana ukienda ulaya nao wanashangaa inawezekana vipi sisi waafrika tunanaishi under 1 dollar kwa siku.Bado unaendelea kuandika utumbo bora unyamaze tu, kwahiyo ukija huku uswahilin kwetu ukaona watu wanakula ugali kwa dagaa kila siku wiki nzima utakuja hapa kuanzisha uzi kisa kwenu mlo mmoja tu una mboga saba?
Muhimu msaidie huyo jamaa apate kazi kama upo kwenye position ya kuweza kumsaidia,na hilo tu ndio litakalo msaidia huyo jamaa kwenye maisha yake.Wapi nimemuoffend mtu yeyote hapa kwenye huu uzi nionyeshe?
Mungu kamuandikia kila mtu njia yakeBoss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Kazi yangu ilikua kuwapigia simu tu waje kwenye usaili,sina influence yoyote mkuu.Muhimu msaidie huyo jamaa apate kazi kama upo kwenye position ya kuweza kumsaidia,na hilo tu ndio litakalo msaidia huyo jamaa kwenye maisha yake.