Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Kilichosikitisha nikuomba kazi ya trainee au ni kutokuwa Meneja?Usiombe akaajiriwa maana atakuwa boss wako
 
Wacha kushangaa.


MAISHA KILA MTU YUKO KWENYE MUDA WAKE NI SAHIHI.


Hata wewe hapo ulipo. hujawahi kushinda wengine



Kwa sababu ,MTU anaweza kuwahi mapema kupata kazi, ika kamshahara Kadogo , mwingine akachelewa, lkn akaanza na Mkubwa na cheo kikubwa !!.



Unaweza uwahi kupata kazi una miaka 25 ,ILA UKAFA UNAMIAKA 30


Mwingine akapatwa kazi anamiaka 40, ila akaishi miaka 90.



Wee acha kushanga, Mpigie simu , kwakua yeye sio mjinga.



KAKA YANGU,, MTAALAM NGULI WA IT, ALIPATA KAZI MAKAO MAKUU YA KAMPUNI MOJA YA MAWASILIANO (XXXXXXXXXX) BILA KUFANYIWA INTAVYUU..... yaaan kujitolea kwake bila malipo pale , kwa muda wa miaka mitatu KUKAMPA SHAVU akiwa namiaka 36.


Saizi anadunda tuu, Leo Ujeruman...Kesho Marekani... Kesho Uchina..Kesho Kwa Madiba.. Mara wapi, Mara wapi...


Posho yake ya kulipia Nyumba, Na huduma zingine ,nje ya mshahara. Unaweza kua ni mshahara wako wa miezi mitatu huko.
 
Mtoa post utakuwa hujitambui na ni mshamba sana nenda vyuoni ukaone watu wazima wengine over50 years wapo wanafanya bachelor degree ,nenda law school pale mawasiliano uone wazee wanapiga law school which is just like practical training ya sheria
Unaweza usifike mbali kwenye maisha kulipo huyo jamaa unayemshangaa Mungu anamipango yake kwa kila mtu.
Omba na sali sana pia umshukuru Mungu kwa alichokubariki acha kudharau watu unaweza kufa au hata kuachishwa kazi wakati huyo jamaa anayeomba kuwa trainee akafika mbali sana kwenye maisha.
Tambua maisha ni safari ndefu na fumbo kubwa sana acha ushamba wa maisha embu kasome uelewe KFC alivyosota sana na alipata mafanikio akiwa na umri wa miaka 75 nahisi utajielewa
 
Acha upuuzi wew mbna watu kibao wamepoteza ajira zao tu na sas wanaangika kucheki rmn zingine boss wangu mm nilikutana nae inter akiwa na around 39 hv Wala sijamshanga
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
kwani wewe una miaka mingapi?

na hiyo trainee ndio kazi gani?
 
Mtoa post utakuwa hujitambui na ni mshamba sana nenda vyuoni ukaone watu wazima wengine over50 years wapo wanafanya bachelor degree ,nenda law school pale mawasiliano uone wazee wanapiga law school which is just like practical training ya sheria
Unaweza usifike mbali kwenye maisha kulipo huyo jamaa unayemshangaa Mungu anamipango yake kwa kila mtu.
Omba na sali sana pia umshukuru Mungu kwa alichokubariki acha kudharau watu unaweza kufa au hata kuachishwa kazi wakati huyo jamaa anayeomba kuwa trainee akafika mbali sana kwenye maisha.
Tambua maisha ni safari ndefu na fumbo kubwa sana acha ushamba wa maisha embu kasome uelewe KFC alivyosota sana na alipata mafanikio akiwa na umri wa miaka 75 nahisi utajielewa

maisha tu wengine wanatoboa uzeen kabisa
 
Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.

Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments. Sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.

Nimesikitishwa sana.
Baada ya kusikitika ukaona bora uje kumtangaza humu. Smdh
 
Yaani huyo akipata chance ya kuajoin hapo, ndo utashangaa vizuri anakuwa promoted then unakuwa unareport kwake
 
Back
Top Bottom