Hata mimi nilitamani nimjibu hivi!!Mzeebaba ungetaja na kitengo unachofanyia kazi Mkuu ili tukuelewe vizuri.. Kama uyo Boss wako ni Baba ako endelea kushangaa ila kama na wew umeajiriwa hapo basi jua possibility ya wew kuja kumshangaza mwingine ni kubwa..just focus on your plate!
Hata mimi nilitamani nimjibu hivi!!
Kinachomshangaza ni kipi SASA??
Inaonekana wewe ni mtoto wa mama sana, sasa kinachokushangaza nini hapoBoss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Acha utotoBoss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Mimi ndio nimekuja hapoBoss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Inasikitisha kwasababu wewe una kazi tayari....ila kiuhalisia ni suala la kawaida hapa nchiniInasikitisha sana for sure
Si afadhali huyo kaitwa[emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]wengine hatuitwi na tutafikia umri wa kutoitwa tena ktk interviewBoss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.
Mbona kawaida sana mkuu au wewe umezaliwa ukakutana na kitengo moja kwa moja.Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita.
Surprisingly katika kupitia cv zao,nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa.
Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels za umeneja au head of departments.sasa huyu ndio kwanza anaomba Trainee.
Nimesikitishwa sana.