Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Umepotosha hapa, kuamini kuwa suti ni vazi la kikristoKwahiyo nimepotosha kuandika herufi maneno yangu au ebu nieleweshe hapo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepotosha hapa, kuamini kuwa suti ni vazi la kikristoKwahiyo nimepotosha kuandika herufi maneno yangu au ebu nieleweshe hapo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukisikia kukashifu dini za wengine ndiyo huku sasa..!!! Wakatoliki huwa ni wepesi sana kusamehe.Oyaa yule Mungu wako aliekatwa mguu juzi pale geita a anaendeleaje
Kaombe kazi kwa wakristo ndugu
Mbona mada iko wazi Tatizo mnarukaruka sana nimeuliza kwa anae amini hivyo ila ukaja ukasema hayo mengi kuna swali niliuliza hivi niliambiwa kuna taasisi zenyewe dress code zao ni suruali na shati nikauliza vipi kwa wanawake wa kiislam watapata kazi humo maana wao hijabu kwao kuvaa ni lazimaUmepotosha hapa, kuamini kuwa suti ni vazi la kikristo
View attachment 2533816
Mkuu uzi huu umepotoka kwenda mbele, Tido Mhando ni CEO ambaye anachoweka mbele ni technical know howKwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Yeap ila kwa miaka ya nyuma na sasa sio sawa kama hijabu...Sasa Kuna teknolojia kubwa zinakuwa za vitambaa vizuri zaidi katika muundo ule ule kikubwa iendane na sheria iwe labda inatakiwa kufunika sehemu gani ....mbona watu tunaswali na shuka tu ....Tuna hakikisha kwamba imefunika sehemu ya uchi kisheriaPote umepatia, Hapo kwenye bold, hayo maneno SHERIA YA KIISLAMU, inafanya mavazi uliyoyatamka yajulikane kuwa ni ya kiislamu
Nimegundua kua wamepata ukakasi baada ya kutajiwa neno hijabYeap ila kwa miaka ya nyuma na sasa sio sawa kama hijabu...Sasa Kuna teknolojia kubwa zinakuwa za vitambaa vizuri zaidi katika muundo ule ule kikubwa iendane na sheria iwe labda inatakiwa kufunika sehemu gani ....mbona watu tunaswali na shuka tu ....Tuna hakikisha kwamba imefunika sehemu ya uchi kisheria
Nuoneshe hapa maana isiyo halisi niliyoiandika mimiNaona tunatoka nje ya mada zaidi rudi kwenye post 102 ulio itaja nilioanza kui quote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ulipo sema halipewi airtime hii ndio msingi wa madaNuoneshe hapa maana isiyo halisi niliyoiandika mimiView attachment 2533837
Hawajui wanafikiria ni zile zinazotoka Saudi Arabia tu🤣🤣🤣Nimegundua kua wamepata ukakasi baada ya kutajiwa neno hijab
Hawajui kama hilo neno linatafsir ila anyway
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
moja ya tatizo ambalo hua linawakumba candidates kwenye usaili ni tabia ya kujiona wao ni best kuliko mwingine. Acha unafiki mkuu.hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Sipati picha misaada ingekuwa mabelo ya kanzu na kobas...🤣Waislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Sasa kama wao wanakuwa wanaiongelea kauli hiyo sana kiasi cha kuifanya iwe popular kuliko hayo maneno mengine ambayo umeya prefer (ambayo hayajulikani na wengi), inahusiana vipi na mimi kuandika maana isiyo halisi?Ulipo sema halipewi airtime hii ndio msingi wa mada
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
TAASIS ZA HOVYO NCHII HII NINa ndio maana amekuuliza nyinyi wenye akili mbona taasisi mlizo jazana ndo taasisi za hovyo ndani ya nchi hii?
Ok watakua wwniongeleana kauli nyingineSasa kama wao wanakuwa wanaiongelea kauli hiyo sana kiasi cha kuifanya iwe popular kuliko hayo maneno mengine ambayo umeya prefer (ambayo hayajulikani na wengi), inahusiana vipi na mimi kuandika maana isiyo halisi?
Hali kama hiyo nimekutana nayo mwanza kiwanda cha lakairo nilipoenda kuomba kazi, ......kuanzia walinzi magetini mpaka viongozi wa ngazi za juu pale kiwandani ni wajaluo,..ikanibidi nimuulize mwenyeji wangu mbona hapa kumejaa watu wa kabila moja kiasi hiki? Jibu nililopewa kumbe mwenye kiwanda mwenyewe ni mjaluo.Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.