Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Ukiwachukua wakristo 10 na muislam 1 ukawaambia waende kuishi pamoja, huwezi kukuta wakristo wanambagua kwasabb ya dini ila ukiwachukua waislam 10 na mkristo 1 ukawaambia wakaishi pamoja. Watambagua kwasababu ya dini.
Uliona wapi? Nenda mbeya walivyokuwa wabaguzi wapo wakristo wanaoa mikoa ya pwani kwa sana jamii za waislamu ila nyie wengi mko ovyo kabisa yaani hata maadili yenu ni uchafu kweny jamiii
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Karibu bongo blo,kampuni ikiwa ya mchaga,asilimia 90 ya wafanyakazi itakuwa wachaga,
Ukikuta ni Mhaya,wembe ni ule ule,
Kuna kampuni moja ya network,inaitwa power and network,PN,wahandisi wake wengi ni wapare na Islam,
Charity begins at home,lazima uibebe jamii yako kwanza kabla haujasaidia wengine.
 
Ingekuaje mkuu?
Mfano hai umeona kwa mtoa uzi. Kama wewe siyo dini yao tegemea kubaguliwa na kutengwa.

Siyo kama wanaroho nzuri hapana ni unafiki ingekuwa hivyo uislam ungekuwa ndiyo dini ya mfano mzuri na watu wao wangekuwa na roho nzuri sana.

Uislamu unaenezwa kwa njia ya umwagaji damu, ubaguzi na mahakama zao. Huko Uarabuni watu wamejiunga na uislamu kwasababu wameogopa kutengwa, kuuwawa na kunyimwa huduma za kijamii.
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Ebu fanya utafiti ili upate kulinganisha ajira zilizopo ITV, Redio Tumaini, Wapo Radio na nyinginezo, ili takwimu zako zitoe ulinganifu wenye kuaminika zaidi.
 
Mfano hai umeona kwa mtoa uzi. Kama wewe siyo dini yao tegemea kubaguliwa na kutengwa.
Siyo kama wanaroho nzuri hapana ni unafiki ingekuwa hivyo uislam ungekuwa ndiyo dini ya mfano mzuri na watu wao wangekuwa na roho nzuri sana.
Uislamu unaenezwa kwa njia ya umwagaji damu, ubaguzi na mahakama zao. Huko Uarabuni watu wamejiunga na uislamu kwasababu wameogopa kutengwa, kuuwawa na kunyimwa huduma za kijamii.
Kwa nini mifano mnaenda kuitolea Arabuni huko?
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Mimi ni Muislamu, Kama hizi habari zako ni za ukweli, basi hilo ni kosa kubwa sana, Muislamu na Mkirsto sote ni wanadamu na tunashikwa na njaa namna moja na kila mmoja wetu anamahitaji. Ubaguzi wa kikazi halistahili, Nchi yetu haina dini.

Kama kweli lipo linastahili kushughulikiwa.
 
Ebu fanya utafiti ili upate kulinganisha ajira zilizopo ITV, Redio Tumaini, Wapo Radio na nyinginezo, ili takwimu zako zitoe ulinganifu wenye kuaminika zaidi.
ITV/Radio 1 hakuna ujinga huo labda iwe Sasa. Mengi aliamini katika uwezo wa mtu sio dini yake. Tumaini na Wapo Radio hivyo ni vyombo mahuksusi Kwa ajili ya kueneza dini sawa na vituo vingine vya kiislamu.
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Kaombe na IPP media utuletee takwimu pia...mlianza sisi tunamaliza mbwa nyie
 
Kuna muda mtaacha tuwavunjie heshima Waristo wenye akili timamu kwa ujinga wa baadhi yenu, Yaani umekaa kabisa unadanganya watu uwa una data za waombaji wote au mmekusanyana vijana wa hovyo mkadhani nyinyi ndio mmemomba ajira tu.
Hawa kina Baraka Mpenja, Ivona na mumewe, na wengineo wanaswali msikiti gani, na kama kuna waislamu wengi nani unahisi hana sifa umemzidi kila kitu kiasi kwamba unahisi wewe umeonewa na eneo lake la kazi linapwaya?
 
Back
Top Bottom