Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Ukiwachukua wakristo 10 na muislam 1 ukawaambia waende kuishi pamoja, huwezi kukuta wakristo wanambagua kwasabb ya dini ila ukiwachukua waislam 10 na mkristo 1 ukawaambia wakaishi pamoja. Watambagua kwasababu ya dini.Huwezi Kuta mwalm mkristo kwenye shule zao
Kuropokwa pasi na uthibitisho ni dalili za tatizo la afya ya akiliWaislamu wabaguzi Sana na ni wanafiki
Uliona wapi? Nenda mbeya walivyokuwa wabaguzi wapo wakristo wanaoa mikoa ya pwani kwa sana jamii za waislamu ila nyie wengi mko ovyo kabisa yaani hata maadili yenu ni uchafu kweny jamiiiUkiwachukua wakristo 10 na muislam 1 ukawaambia waende kuishi pamoja, huwezi kukuta wakristo wanambagua kwasabb ya dini ila ukiwachukua waislam 10 na mkristo 1 ukawaambia wakaishi pamoja. Watambagua kwasababu ya dini.
Karibu bongo blo,kampuni ikiwa ya mchaga,asilimia 90 ya wafanyakazi itakuwa wachaga,Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Mfano hai umeona kwa mtoa uzi. Kama wewe siyo dini yao tegemea kubaguliwa na kutengwa.Ingekuaje mkuu?
Ebu fanya utafiti ili upate kulinganisha ajira zilizopo ITV, Redio Tumaini, Wapo Radio na nyinginezo, ili takwimu zako zitoe ulinganifu wenye kuaminika zaidi.Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Nyie maadili yenu ni mazuri? Mwanamke hajafunika kichwa umemuua. Hayo ndiyo maadili mazuri?Uliona wapi? Nenda mbeya walivyokuwa wabaguzi wapo wakristo wanaoa mikoa ya pwani kwa sana jamii za waislamu ila nyie wengi mko ovyo kabisa yaani hata maadili yenu ni uchafu kweny jamiii
Maadili ni yapi mazuri kuvaaa nusu uchi? Mbona wale masister wanavaa vizuri ?Nyie maadili yenu ni mazuri? Mwanamke hajafunika kichwa umemuua. Hayo ndiyo maadili mazuri?
Kwa nini mifano mnaenda kuitolea Arabuni huko?Mfano hai umeona kwa mtoa uzi. Kama wewe siyo dini yao tegemea kubaguliwa na kutengwa.
Siyo kama wanaroho nzuri hapana ni unafiki ingekuwa hivyo uislam ungekuwa ndiyo dini ya mfano mzuri na watu wao wangekuwa na roho nzuri sana.
Uislamu unaenezwa kwa njia ya umwagaji damu, ubaguzi na mahakama zao. Huko Uarabuni watu wamejiunga na uislamu kwasababu wameogopa kutengwa, kuuwawa na kunyimwa huduma za kijamii.
Unadhani Saudia arabia ni nchi ya Salama kuliko Marekanii na Mexco?Waislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Kha! kumbe kubagua makafir ni mafundisho quaran!?Tatizo wakristo ukiwaeleza matukio yao wepesi sana kusema hayo sio mafundisho ya biblia.
Mimi ni Muislamu, Kama hizi habari zako ni za ukweli, basi hilo ni kosa kubwa sana, Muislamu na Mkirsto sote ni wanadamu na tunashikwa na njaa namna moja na kila mmoja wetu anamahitaji. Ubaguzi wa kikazi halistahili, Nchi yetu haina dini.Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Nashangaa wakati kuna watu walikubaliana wao si watu wa kulalamika na know hilo ni la upande mwingine.Sualaa religious conflicts linashika kasi kwa sasa
ITV/Radio 1 hakuna ujinga huo labda iwe Sasa. Mengi aliamini katika uwezo wa mtu sio dini yake. Tumaini na Wapo Radio hivyo ni vyombo mahuksusi Kwa ajili ya kueneza dini sawa na vituo vingine vya kiislamu.Ebu fanya utafiti ili upate kulinganisha ajira zilizopo ITV, Redio Tumaini, Wapo Radio na nyinginezo, ili takwimu zako zitoe ulinganifu wenye kuaminika zaidi.
Kaombe na IPP media utuletee takwimu pia...mlianza sisi tunamaliza mbwa nyieKwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRRKwa mlipofikia sasa tuanomba Moderator na uongozi wa JamiiForums uwaandalieni jukwaa maalumu la kulalamika au Stress Challenger andaa uzi maalumu kea ajili ya malalamiko yenu nadhani itasaidia sana malalamiko yenu kuwa well organized..