Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

shule ya msingi uliyosoma Darasa lilikuwa na waislamu wangapi na wakristo wangapi?
Shule ya sekondari uliyosoma waislam walikuwa wangapi na wakristo wangapi?.
Vyuo ulivyosoma waislamu walikuwa wangapi na wakristo wangapi?.

Nimeuliza kwa nia njema sana kabla sijachangia kwenye hii mada yako.
 
nipe idadi ya waislamu vs wakristo kwenye maofisi na taasisisi nyingi ulizowahi kupita?.

Unisamehe tena bado kunakitu nakifanyia uchunguzi
 
Umeona Azam Media tu pekee ukitaka Kuwaonea Waislamu, ila umesahau kuwa hata Kwetu kwa Wakristo ( Ukristoni ) pale IPP Media kama siyo Mkristo ( Lutheran au Anglican ) na hutokei Kilimanjaro au Arusha hata uwe na CV ndefu ya kuanzia Dar es Salaam hadi Kigoma huwezi kupata Kazi.

Tuacheni Unafiki na Nachukia Unafiki.
 
Muasisi ni Muslim so lazima kipaumbele kiwe Kwa waislam & vise versa is true
 
Mchungaji Kimaro amesema wazi kazi zake anafanya na vijana wa kiiislamu ,nyie wavaa rozari wenzake huwa munampiga na kitu kizito
 
Sio mpaka niingie msikitini, tunawasikia kupitia speakers ambazo mmefunga msikitini
[emoji23][emoji23] Ndio unawasikia wanakwambia hivyo kua a
AJIRA apewe muislam tu kwa sababu muislam ndugu yake ni muislam

Nilijua tu tangu Mwanzo kua wewe upo kwenye Dini Fulani. Ila anyway

Waliambiwa hao walete na orodha ya kampuni watumish wa IPP au hata KCMC ili tuone

Ila kwakua nawewe ni mdini ukakimbilia kujenga hoja kipuuzi tena ya uongo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Azam ni kwa ajili ya waislam kama unaweza kuwaepuka bas fanya hivyo ila kama huwez vumilia tu.
 
Clouds Media, IPP Media, Sahara Media, Wasafi Media, Uhuru, TBC, Tumaini...na nyinginezo unaweza kututajia idadi ya Waislamu na Wakristo??
Ukitaka kujua unafiki wenu nyinyi ndugu zetu angalia mtakavyojitetea. Mmekaririshwa kuwa mna haki dhidi ya wengine tena hata pale ambapo hawajavunja Sheria.
Kama Rais anaweza kuteua watu anaohisi watafanya kazi nao kwa kuaminiana kwanini uweke kigezo cha udini na sio uaminifu?
Ukitaka kampuni yako ifikisike mapema sana, wape mamlaka watu wa aina yako, akili zao ndogo zitajikita kwenye dini na sio tija katika utendaji.
Azam imefika pale kwakuwa iliamua kuwekeza kwenye ubora na sio madhabahu.
Na mtoa mada kama upo Azam, utatoka mapema mno kwani tabia ni ngozi haijifichi.
Azam ilianzia kwenye mikono ya Mzungu kabla ya Tido, na leo hii wapo kina Patrick Kahemele kwenye top management na alikuwepo Charles Hilary.
Waislamu wanajua kuwa nyinyi ndugu zetu hamatakuja kuwa radhi na Waislamu mpaka Waislamu wafate mila zenu, ndio maana hawahangaiki na nyinyi kwakuwa imeandikwa tangu enzi.
 
Hujui hata unachokiandika unakiandika kwa makusidio gani

Mimi nimeunga mkono hoja ya mdau aliyesema waislamu wanapenda kusema muislamu ndugu yake ni muislamu

Hakuna sehemu nimesema ajira apewe muislamu kwasababu ndugu yake ni muislamu


Ni kweli kwamba waislamu wana hiyo Slogan that's it, hizo habari za udini ni kuishiwa hoja
 
Niliyem_quote anajua alichoandika. Dini mmeletewa kisha mnabaguana. Hivi huko hospitali huwa unachagua daktari wa dini yako ndio akuhudumie!?
Bado hujajibu swali nakuiliza tena ulitaka watu waache muongozo wao

Je hujui kama ndoa ni sehemu ya muongozo wa Dini hiyo?

Unapo ambatanisha huduma za kijamii na taratibu za Dini unahisi uko sawa?

Unapaswa kuyaelewa mambo kabla.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
AZAM ndiyo maana imejaa wapumbavu, ingekua ni Co nyingine ingekua kubwa ×100 ilivyosasa... Kwenye vikao vyao kilasiku management ya Azam inawalalamikia watumish wavaa hjab na vikofia kwamba utendaj wao ni hafifu wanabebwa hawabebeki... Wale watu hata wawe na elimu gani ila ktk utendaj kazi ni sifuri ni incompetent kabisa...
 
Yap hilo linaweza kuwepo kwenye vitabu vyenu ila kwenye misikiti likawa halipewi airtime sana.....watu wengi hawalisikii

Ila ile slogan ya kusema muislamu ndugu yake ni muislamu iko popular kuliko hilo andiko kwasababu imepewa airtime sana msikitini

Unayakumbuka hayo maneno yako hapo juu.

Maana yake ulishabihisha misikiti kana kwamba inaubuguzi na maandiko ya Allah

Hivi hujui kila jambo kua linazungumzwa katika misikiti juu ya kuwafanyia wema kila mtu

Na kupitia maneno yako hayo ndio nakaona nikuqoete kwa sababu ulishaanza kupotosha

Na lengo la muislam kua ndugu yake muislam kwani ni kosa?

Na kuhusu dini ndio ungekua si mdini ulitakiwa kufanya uchunguzi wa Dini pinzani kwanza katika baadhi ya vituo vyao vinavyo milikiwa alafu ndio ungerudi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Waislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Kwa Mfano hapa TZ mikoa inayoongoza kwa matukio ya kiuhalifu, mauwaji ya Albino, vikongwe, kuuwa watoto kwa kuiba fedha au chakula, wizi, ujambazi..., ni ile yenye waislamu wengi?
 
Unajifunga moja kwa moja wapi uislamu unaruhusu ubaguzi .

Mbona pale KCMC Tuliacha kulea shobo japo serikali inayoa ruzuku
We jamaa una upotoshaji wa Hali ya juu Sana kwenye comments zako. Na isivyo bahati unaowaquote wanakuwa wepesi,hawawezi kutetea hoja.

Swala la kcmc ambalo unaliongelea kila comment ili kujustify inshu ya Azam TV mbona haviendani? KCMC ni hospitali ya dini ya kikristo. Ile siyo hospital ya serikali. Na wao serikali kutoa ruzuku haifanyi ile hospital isiwe ya dini na/au isiwe na misingi ya dini. The same applies kwa SAINT WARBURGA HOSPITAL (Nyangao hospital) Lindi,ambayo serikali inatoa ruzuku Kama hiyo KCMC na imeifanya kuwa hospital ya wilaya. Lakini ukweli unabaki kwamba hospitali ya Nyangao na Ndanda hospital ni hospitali za kikristo(kikatoliki).

Endeleeni kubishana swala lenu la Azam,acha kuingiza vitu visivyohusiana na mada yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…