Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusherekea Idd leo na kesho umeona ni hoja?Wameshindwa kutetea imani yao kuhusu siku ya EID. Hawa wanasheherekea leo, na wengine kesho..!!! Lakini ukiwaambia wakatetee imani kwa maana ya kupiga au kuuwa wengine, LAZIMA WAENDE
Wao kazi kuuziana mali zao eg Pale Kibasila Dar, kiwanja kimeuzwa na wapo kimya. Eneo lile angenunu mkristo ingekuwa shida kubwa. SI tunawaona jinsi wanavyopambana kuhakikisha makanisa hayajengwi. Mfano kule Mbagala, walijaribu kuzuia fensi ya PArokia ya Kilamba, wameshindwa. The same to Parokia ya Kizuiani Mbagala. walibomoa fensi. Yaani hawa jamaa ni shida.Ilikuwa ni TANESCO ajabu hata wavaa hijabu hawataki kusoma hapo
waislamu ni wadini.nashangaa leo kuna mtu kaposti kuhusu wakristo ati ni wadini.haya sasa akanushe na haya.dini ya kiislamu ni ya kibaguzi tupende tusipende ukweli utabaki kama ulivyo kama walivyo wakristo wa kisabato.Watu watasema hasira za kukosa kazi ila huo ni ukweli
Sawa ila si umesema hayo huyasikii sasa umejuaje kama ni ya uislam wakati hujawahi yasikiaWe unautaja uislamu wakati mimi nawataja waislamu
Utofauti wa mimi na wewe upo hapo
Sina chuki na yeyote.Kusherekea Idd leo na kesho umeona ni hoja?
Utakuwa hujui hivyo ngoja uelimishwe.Orthodox Christians wanashere kea Christmas wiki mbili baada ya Christmas ya tarehe 25 December.Wao wanasheherekea tarehe 7 Januari. Hilo hujaliona unaona tofauti ya siku moja kwa sababu ya tafsiri tofauti.
Ujahili hauwezi kukuacha salama soma na punguza chuki.
Toka wamepewa kile chuo hawajawahi kuongeza hata chuo cha ufundiWao kazi kuuziana mali zao eg Pale Kibasila Dar, kiwanja kimeuzwa na wapo kimya. Eneo lile angenunu mkristo ingekuwa shida kubwa. SI tunawaona jinsi wanavyopambana kuhakikisha makanisa hayajengwi. Mfano kule Mbagala, walijaribu kuzuia fensi ya PArokia ya Kilamba, wameshindwa. The same to Parokia ya Kizuiani Mbagala. walibomoa fensi. Yaani hawa jamaa ni shida.
BTW, hapa Tanzania, huwezi kuta wakristo wanachoma moto au kubomoa msikiti, lakini wao kubomoa makanisa wanaongoza
Usiwe rotted brain mzee uwe unazingatia maelezoSawa ila si umesema hayo huyasikii sasa umejuaje kama ni ya uislam wakati hujawahi yasikia
Tusiwe hivi tulivyo hatutafika zaidi tutajazana chuki mwisho wa siku.
Yani kuchagua baadhi ya maneno na mengine kuyadondosha huko sio kutafuta elimu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nilishakuelewa na hilo bado nakataa tena unapo sema kua wana sema huwa wanakazia hayo tu sio kweli yote yanaongelewa haiwezekani kila ijumaa mada ikawa inajirudia usinifanye mimi hakuna nonacho kijua umeleta hapa video ya you tube kuhusu udugu wa uislam wakati huohuo hayo mengine yote yapo huko hukoUsiwe rotted brain mzee uwe unazingatia maelezo
Unavyouliza siyasikii, unategemea mimi niyasikie kutoka wapi?
Wakati hao wanao preachers ndio ambao hawayapi kipaumbele hayo maneno?
Watu wakwanza kuchagua maneno ni hao ma preachers, sio sisi tunao wanukuu.
Achana na mihemko soma post niliyomjibu yule aliyekuja na quote ya Quran utaelewa nilichomaanisha
Ebu angalia Tena unaandika upuuzi kwamba ni private tayar mtu anaweza kufanya atakalo kwani ajira zake zinapitia utumishi?Unaandika kwa kutumia masaburi badala ya akili?wewe ndiyo usome Tena nilichokujibu badala ya kunijibu hovyo na kuniwekea dysphoric emojis.
Narudia tena kuhusu swala lako la kufananisha KCMC hospital na Azam media.
Ni hivi;
KCMC ni hospitali ya dini ya kikristo Kama ilivyo hospitali ya kiislamu Tanga. Azam media ni private media ambayo haiko based na mifumo ya dini ya kiislamu,na endapo Azam media wangesema moja ya sifa za kuajiri uwe muislamu maana yake mleta mada hoja yake ingekufa na angeonekana ana matatizo ya akili kulalamika. Mfano wako ulipaswa ulinganishe Kati ya Imani tv(Imani media) na Upendo tv(upendo media) inge- make sense. Ila wewe umeleta ujinga kufananisha hospital ya dini na media isiyo ya dini. Unaona kosa lako lilipo Sasa hivi au mtu akuzibue kibao Kisha akili ikukae sawa ndiyo uelewe hoja yangu?
Focus.
Suti siyo vazi la kikristo tuwekane sawa hapa.Sasa mkuu kama ni hivyo je namimi ninae amini suit ni vazi la wakristo sijabaguliwa kuhusu imani yangu?
Kwenda kufanya interview Kuna Uhusiano gani na imani ya mtu? Unaona kosa lenu waislamu hapa? Mtu ameambiwa moja ya dress code ni shati na suruali ya kitambaa Ila wewe unakuja na kanzu huoni Hilo ni kosa?Je ikiwa imani yangu imenitaka nivae hijabu alafu wewe ukataka kusema hapana hapa hijab hairuhusiwi huo nao sio ubaguzi
Tatizo siyo taasisi hazitaki waislamu wafate taratibu zao,ila ni nyinyi waislamu ndiyo mnataka kuingiza taratibu zenu kwenye hizo taasisi ndiyo maana mnapokemewa mnaona mnabaguliwa.Kifupi taasisi nyingi hazitaki waislam wafate taratibu zao na huo ndio ubaguzi wenyewe
Kuna muda sababu za kiusalama zinapelekea kukatazwa kuvaa Hilo vazi pamoja na niqab (ninja),mfano bank huruhusiwi kuvaa nikab (vazi la kiislamu) ila wewe ukilazimisha kuvaa niqab kisa ni vazi la dini yako hapo wewe ndiyo una makosa.Kama mtu anajua kabisa hijabu ni vazi la lazima kwa muislam wa kike kuvaa Alafu analazimishwa asivae.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ebu angalia Tena unaandika upuuzi kwamba ni private tayar mtu anaweza kufanya atakalo kwani ajira zake zinapitia utumishi?
Kuwa na akili ndo uje kujenga hoja ..mbona KCMC wanafanya hivyo usemi? Na bado KCMC inapokea ruzuku serikali.
Je una hakika kwamba Azam hawaajiri dini nyingine au unaropoka kama umekunywa maji ya chooni.
Fanya utafiti usiongee kitu ambacho ukijui kabisa.
Ebu kuwa na adabu unapoandika hoja yako,siyo lazima kuitana wapuuzi na lugha za maudhi.Ebu angalia Tena unaandika upuuzi kwamba ni private tayar mtu anaweza kufanya atakalo kwani ajira zake zinapitia utumishi?
Hapo pa kcmc Kupokea ruzuku za serikali ndiyo ilipo hoja yako maana unaparudiarudia Sana. Lakini nilishakujibu huko juu. Serikali kutoa ruzuku kcmc haiondoi ukweli kwamba kcmc ni hospital ya dini. Hivi hapa usichoelewa ni Nini?Kuwa na akili ndo uje kujenga hoja ..mbona KCMC wanafanya hivyo usemi? Na bado KCMC inapokea ruzuku serikali.
Je una hakika kwamba Azam hawaajiri dini nyingine au unaropoka kama umekunywa maji ya chooni.
Nifanye Utafiti juu ya nini? Na kipi nisichokielewa?Fanya utafiti usiongee kitu ambacho ukijui kabisa.
Mbona mimi sijazungumzia niqabSuti siyo vazi la kikristo tuwekane sawa hapa.
Kwenda kufanya interview Kuna Uhusiano gani na imani ya mtu? Unaona kosa lenu waislamu hapa? Mtu ameambiwa moja ya dress code ni shati na suruali ya kitambaa Ila wewe unakuja na kanzu huoni Hilo ni kosa?
Tatizo siyo taasisi hazitaki waislamu wafate taratibu zao,ila ni nyinyi waislamu ndiyo mnataka kuingiza taratibu zenu kwenye hizo taasisi ndiyo maana mnapokemewa mnaona mnabaguliwa.
Kuna muda sababu za kiusalama zinapelekea kukatazwa kuvaa Hilo vazi pamoja na niqab (ninja),mfano bank huruhusiwi kuvaa nikab (vazi la kiislamu) ila wewe ukilazimisha kuvaa niqab kisa ni vazi la dini yako hapo wewe ndiyo una makosa.
Sijui akili wanaipeleka wapi Hawa jamaa katka majadiliano mepesi Kama haya!!Point sn, kuna chuo cha MU pale Morogoro ni waislamu watupu hatulalamiki sababu ni chuo cha kiislamu
Sasa kwa nn Azam mnalilia? Na mbona wakristo wapo .Ebu kuwa na adabu unapoandika hoja yako,siyo lazima kuitana wapuuzi na lugha za maudhi.
Hapo pa kcmc Kupokea ruzuku za serikali ndiyo ilipo hoja yako maana unaparudiarudia Sana. Lakini nilishakujibu huko juu. Serikali kutoa ruzuku kcmc haiondoi ukweli kwamba kcmc ni hospital ya dini. Hivi hapa usichoelewa ni Nini?
Pia kosa hili unalirudia kila muda. Nadhani hii I we Mara yangu ya mwisho kukujibu. Ni hivi; aliyeleta hoja ya udini Ni mleta mada na siyo mimi,sawa? Mimi nimekusahihosha wewe mifano yako irrelevant kuhusu kufananisha chombo Cha dini na chombo kisicho Cha dini. Hapa napo umenielewa?
Nifanye Utafiti juu ya nini? Na kipi nisichokielewa?
Unakubali kuwa kauli hiyo ipo ila hutaki watu waiongelee sana kauli hiyo kwasababu kuna kauli zingine nzuri watu wanapaswa kuzingatiaNilishakuelewa na hilo bado nakataa tena unapo sema kua wana sema huwa wanakazia hayo tu sio kweli yote yanaongelewa haiwezekani kila ijumaa mada ikawa inajirudia usinifanye mimi hakuna nonacho kijua umeleta hapa video ya you tube kuhusu udugu wa uislam wakati huohuo hayo mengine yote yapo huko huko
Tena video zinaonesha wakiwa misilitini kifupi unataka kuukataa ukweli wa mambo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app