Inasikitisha sana mji mzuri kama huu wa Walebanoni kufanywa magofu Kama Gaza kwa kuunga mkono magaidi wa Hizbola

Wakati mwingine kujifurahisha ni kuzuri,viongozi wote wa Hezbollah na Hama's pamoja na maafande wa Iran waliouawa ubalozi wa Iran nchini Syria ni wanawake siyo wanaume.
Hapo mbona hakuna aliye sema hawakuwaua hao viongozi Hamasi na Hezbullah wakifiwa hawafichi wanaona sifa kusema askari wao wamekufa kishujaa au viongozi wao.

Afu Nasurlah ni wanafiki ndio walimuonyesha yuko wapi. Sio technology ya kishoga inasema wameona pesa chini ya Hospital kule Lebanon na dhahabu za Nasurlah, mpaa yule Secretary of defence wa US Lloyd Austin akasema hio kali 😄 Aliogopa wasifanye ile Bollywood film kama ya Al Shifaa Hospital eti kuna Central Command ya Hamasi Chiniya hio Hospital.
 
Hata Hamas ilipambana hivyo hivyo mwanzoni lakini MWISHO Leo Gaza ni magofu
Ndo nasikitika Sana miji mizuri ya lebanoni kuwa Kama Gaza baada ya muda Fulani kwa ujinga wa magaidi
Lengo la Israel kumbe ni kubomoa majengo ya raia baada ya kufeli kupambana na wanaume?
 
Matatizo yameanzia kwa mazayuni mauaji
 
Hata Hamas ilipambana hivyo hivyo mwanzoni lakini MWISHO Leo Gaza ni magofu
Ndo nasikitika Sana miji mizuri ya lebanoni kuwa Kama Gaza baada ya muda Fulani kwa ujinga wa magaidi
Kwani kua magofu palestina ilianza leo na ndio maana wanapigana ili kuondoa hayo magofu palestina wanalipia gharama kubwa ila huu mwaka lazima lazima lazima palestina ipate haqqi zake
 
Kabisaaaa ni mjinga fedhuli asiejua mambo asie penda haqqi na katili pekee anaeweza kusimama na wauaji wa israhell
 
Hizbolah na Hamas ni vikundi vya kigaidi. Walebanon na Wapalestina wamefanya makosa huruhusu maeneo yao kutawaliwa na magaidi. Wangeunda Serikali zao kidemokrasia tungewatetea.
Uwatetetee wapalestina walikwambia wanashida nakutetewa na wewe jitetee mwenyewe kwanza
 
Waislamu ni wapumbafu sana. Israel itaendelea kuwafanya mbele na nyuma mpaka akili zao zitakapokaa sawa
Nyie mngekuwa sio wapumbavu na wajinga papa asingethubutu kuwaambia mufirane na kusagana ila kawaona wajinga kaona awaambie mupakatane na wengi wenu tayari
 
Ufate bibilia papa awaambie tupakatane pakataneni wenyenu huko chachi
 
Mimi nakubaliana ya kua Palestine inaonewa. Lakini swali kwa hamas na hezebola wapo na capacity ya kupigana na israel kwa sasa? Kwanini wasinge develop kwanza capacity hata kwa miaka 30 ndo waje kulipa kisasi au kuikomboa ardhi yao?

Hii ya kurusha viroketi uchara Israel na wanajua majibu ya Israel ni kuonea raia wao wenyewe.

Walichofanya Hamas October 7, walitegemea majibu yake yangekuaje, sasa gaza yote ni magofu. Wamepata nini? Na Dunia ilivyo na unafiki Israel sio tu imeachwa ifanye genocide inapewa fedha na silaha pia. Poor Palestine...
 
Wanaokoa nafsi za wapalestina wakati huohuo zaidi ya wapalestina elfu 40 wameuawa sijui ni nafsi za wapalestina gani zinazo okolewa kama siyo kuongeza petrol kwenye moto wapalestina wazidi kuuawa.
Hata ussr wakati wanapigana na hitler walikufa mamilioni ila walobakia waliishi vyema
 
Jisemee wewe!
Halafu unaowaita wapumbavu na wapuuzi wenye mlengo kinyume na wewe, unatumia vigezo vipi ambavyo vinakufanya wewe usiwe mpumbavu na mpuuzi uliyechagua kuwa upande wa unaopenda wewe na wao kupenda wanakokupenda wao?
Kua upande wangu mimi unaweza ukawa na bado ukawa mpumbavu vile vile tena ukawa mpumbavu wa juu kabisaa
 
Mkiambiwa hamuna akili mnasema mnatukanwa umoja wa mataifa upi uloitambua hamas na hizbullah kama makundi ya kigaidi wazayuni tokea waseme hamas wanajificha nyuma ya raia washaua raia wangapi hamas wameifuta au unadhania kubomoa majengo ndio ushindi hamas atapambana na mazayuni mpaka mwisho na watatema tu bungo kaeneo kama kismayo wanahangaika nacho mwaka wapili sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…