Inasikitisha sana mji mzuri kama huu wa Walebanoni kufanywa magofu Kama Gaza kwa kuunga mkono magaidi wa Hizbola

Afghanistan chini ya Waislamu wa Taliban wenye misimamo mikali na mahala salama ya kuishi?
Aloenda kuiharibu Afghanistan nani Afghanistan ilikua mahala salama kuishi kabla muuaji marekani hajaenda kuleta ujinga wake
 
Naomba sababu za msingi za Hizbola kushambulia Israel ikiwa kwenye nchi ya Lebanon
Huku ikijua wazi madhara yake kwa wananchi walebanon
Ukitaka kuelewa mambo rudi nyuma zaidi usiyaangalie kijuujuu. Sababu ya Hezbollah kuundwa ni kupambana na Israel, Israel alikalia kimabavu Lebanon na Hezbollah wakawa toa kinguvu hapo Lebanon,

Je Frelimo Msumbiji, Kina Jomo kenyata, Mandela na wengineo walikua ni wajinga kupambana na wakoloni?

Hilo ni Eneo lao Hezbollah wamezaliwa Hapo, Wamekua hapo, baba zao na Babu zao wametoka hapo, Eneo wanalolipiga Haifa ni lao pia ambalo linakaliwa kimabavu na wakoloni ambao baba na Babu zao walizaliwa Poland, Ujerumani na nchi nyenginezo.

Ujinga wa Mu Africa ambaye miaka 80 iliopita alikua anatawaliwa kushangaa watu kama wao ambao wanatawaliwa, wanaonyimwa haki za kimsingi za kibinadamu kushika silaha na kupigana na watesi wao.
 
Hana mpya anatumia mass killings akidhani atawadhoofisha wapiganaji wa Islamic resistance chaajabu jamaa wanazidi kuwaua IDF na silaha zao. Hezbollah na Hamas Hawaui raia na kama wangetaka kufanya hivyo wayahudi wengi wangekua marehemu saahizi
Oct 7 Hamas walifanya genocide ya watu zaidi ya 1200 ndani ya Israel, then Oct 8 2023 Hezbollah wanaanza kurusha makombora kuwaunga mkono Hamas, ulitegemea Israel wapige magoti mbele ya magaidi,?!
 
Kabla ya hio Oct 07, unafahamu kilichotokea August 23, juu wa waisrael kuwakanyaga na vifaru wakulima wa kipalestina?.
 
Oct 7 Hamas walifanya genocide ya watu zaidi ya 1200 ndani ya Israel, then Oct 8 2023 Hezbollah wanaanza kurusha makombora kuwaunga mkono Hamas, ulitegemea Israel wapige magoti mbele ya magaidi,?!
Na August 23,ya kabla ya Oct 7 waisrael waliwafanya nini wapalestine?.
 
Hamas hawakukurupuka walijua haya yata tokea tu hamas waliona kungojea miaka hio uloisema ingewafanya israhell wawe karibu zaidi na mataifa vibaraka ya kiarabu yakiongozwa na Saudia na khatimae kadhia ya Palestine kupotezewa ila kwasasa kadhia ya palestina inaongelewa dunia nzima na hakuna muarabu ataanzisha uhusiano na wazayuni kwasasa kadhia ni Palestine tuuu
 
Mkuu; pitia Taarifa mbalimbali za UN au Google usome orodha ya makundi ya kigaidi katika maeneo/nchi mbalimbali duniani. Kumbuka azma ya Israeli (unaowaita wazayuni)sio ushindi bali ni kuyafuta kabisa au kuyatokomeza hayo makundi ya kigaidi. Kazi hiyo sio ndogo unaanza leo unamaliza kesho-Hapana; tena ujue kuna gharama kubwa mali na Uhai kuikamilisha kazi hiyo.
 
Hezbollah wameifanya hii ni vita ya kidini hivyo wana haki ya kuingilia kati. Hali hii ndio imesababisha Israel awakaange vilivyo. Hezbollah inakaribia kukata moto.
 
Dunia nzima ipo pembeni hakuna anayejali kinachoendelea ghaza watu wanapambania uhuru kama babu zako walivyopambania uhuru wa tz
 
Hezbollah wameifanya hii ni vita ya kidini hivyo wana haki ya kuingilia kati. Hali hii ndio imesababisha Israel awakaange vilivyo. Hezbollah inakaribia kukata moto.
Israel ni mwehu tu vita vinapiganwa baina ya wanaume wawili yeye anapiga residential areas ili iweje sasa
 
Sinwar walimfumua kile kichwa ili kuondoa ujinga mwingi uliokua umejaa huko.
 
Israel ni mwehu tu vita vinapiganwa baina ya wanaume wawili yeye anapiga residential areas ili iweje sasa
Kuna mali za viongozi wa Hezzbollha, mahandaki ya silaha na vitu vingine. Analenga baadhi ya maeneo sio kila mahali.
 
Mkiambiwa hamjitambui mtaona kama mnatukanwa leta sehemu ambayo UN wameiorodhesha hizbullah na Hamas kama makundi ya kigaidi pia kama nchi unavyosema basi hata mandela alikua anaitwa gaidi mwisho suala linajulikana kama wanataka waikalie Ghaza ila hilo wasahau dunia iliishavuka huko tuupe muda nafasi yake utaamua tuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…