Hizbolah na Hamas ni vikundi vya kigaidi. Walebanon na Wapalestina wamefanya makosa huruhusu maeneo yao kutawaliwa na magaidi. Wangeunda Serikali zao kidemokrasia tungewatetea.
Vikundi vya kigaidi kwa mujibu wa nani? Huu upumbavu ndio Dunia ya watu wenye akili wanapambana nao kuufuta. Marekani anaangalia wapalestina wakiuwawa kama kuku na hakuwahi kulalamika kuhusu Haki za kibinadamu lakini Urusi akiipiga Ukraine utasikia Haki za binadamu ziangaliwe. Kwendeni zenu huko
Israel anaonyesha dunia yeye ni mbabe wa kuvunja majumba na kuwauwa watoto, wanawake na vizee. Silaha za bure lazima avunje majumba, sababu hawezi kupigana na wanaume haswa wanamgambo wa Hezbullah na Hamasi.
Hana mpya anatumia mass killings akidhani atawadhoofisha wapiganaji wa Islamic resistance chaajabu jamaa wanazidi kuwaua IDF na silaha zao. Hezbollah na Hamas Hawaui raia na kama wangetaka kufanya hivyo wayahudi wengi wangekua marehemu saahizi
Israel anaonyesha dunia yeye ni mbabe wa kuvunja majumba na kuwauwa watoto, wanawake na vizee. Silaha za bure lazima avunje majumba, sababu hawezi kupigana na wanaume haswa wanamgambo wa Hezbullah na Hamasi.
Hivi,huo uongo mnakaririshana na kuusambaza ili iweje?Ina maana risasi na mabomu ya Israeli yanabagua na kuwaua wanawake na watoto tu?Kwangu mimi,nikiua wapendwa wa adui ndiyo naamini namuumiza vizuri sana ili ajae upepo na yeye apigike vizuri zaidi.
Operation ya jeshi la ardhini ya IDF huko south Lebanon imefeli kwa siku 29 Hezbollah imepiga vifaru zaidi ya arubaini na kuwaua zaidi zaidi ya askari 90 na kujeruhi mamia ambao hawataweza kupigana Tena.
Kwa kifupi Hezbollah ndio sawa sawa yake Israel ili kubalance vita.
Vikundi vya kigaidi kwa mujibu wa nani? Huu upumbavu ndio Dunia ya watu wenye akili wanapambana nao kuufuta. Marekani anaangalia wapalestina wakiuwawa kama kuku na hakuwahi kulalamika kuhusu Haki za kibinadamu lakini Urusi akiipiga Ukraine utasikia Haki za binadamu ziangaliwe. Kwendeni zenu huko
Israel ilitoa taarifa mapema ya kushambulia maeneo lakini wakaamua kubaki na wanawake wao na watoto ili wauawe iwe Kinga kwa Hizbola INgawa mbinu hii Israel imeilewa ndo maana hawataki kulea magaidi Nashauri UN ipige maarufuku kitendo hiki cha kikatili Cha kutumia watoto na wanawake Kama Kinga...
Hana mpya anatumia mass killings akidhani atawadhoofisha wapiganaji wa Islamic resistance chaajabu jamaa wanazidi kuwaua IDF na silaha zao. Hezbollah na Hamas Hawaui raia na kama wangetaka kufanya hivyo wayahudi wengi wangekua marehemu saahizi
Kwanza Mheshimiwa na kupa hongera sana kutumia jina la mwamba Yahya Al Sinwar huyu kiongozi Israel hawata kuja msahau, wao na mashoga zao US, UK. Germany na badhi ya mafala viongozi wa kiarabu.
Israel hawezi vita anacho weza kuvunja majumba na kufanya genocide basi.
Hivi,huo uongo mnakaririshana na kuusambaza ili iweje?Ina maana risasi na mabomu ya Israeli yanabagua na kuwaua wanawake na watoto tu?Kwangu mimi,nikiua wapendwa wa adui ndiyo naamini namuumiza vizuri sana ili ajae upepo na yeye apigike vizuri zaidi.
Israel ilitoa taarifa mapema ya kushambulia maeneo lakini wakaamua kubaki na wanawake wao na watoto ili wauawe iwe Kinga kwa Hizbola INgawa mbinu hii Israel imeilewa ndo maana hawataki kulea magaidi Nashauri UN ipige maarufuku kitendo hiki cha kikatili Cha kutumia watoto na wanawake Kama Kinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.