INASIKITISHA : Simba tayari ameshapoteza hii game. Arudi tu kuja jipanga

INASIKITISHA : Simba tayari ameshapoteza hii game. Arudi tu kuja jipanga

Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.

Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.

Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.

NIMEKAA PALE [emoji117]
Tuna safari ndefu sana ya uzalendo. Huu ni ujinga uliopitiliza.
 
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.

Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.

Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.

NIMEKAA PALE [emoji117]
Kaipige maji ya moto utulie siyo kwa minyenyele hiyo.
 
Unajifariji [emoji23][emoji23][emoji23]pole lakini kama inasaidia endelea kujifariji mkuu
 
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.

Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.

Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.

NIMEKAA PALE 👉
Yanga wenye AKILI ni Kikwete na Mzee Sunday by Haji Manara,Pia mmebakiwa na siku 43 za kumlipa kocha Lucy Eyamel sijui imekaaje hiyo Bwashee
 
Naomba matokeo. Naona GSM kawapa mrungula waandishi wa mchongo bongo wacjadili matokeo ya jana taifa. SLAVA AL HILAL
 
Hii bangi aliyovuta huyu Utopolo itakuwa ilikuwa mbichi, haikukauka vizuri!
 
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.

Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.

Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.

NIMEKAA PALE [emoji117]
Tukuite nani ashura cheusi?
 
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.

Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.

Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.

NIMEKAA PALE 👉
Simba atapigwa 2:0
 
Mtoa mada utatukanwa matusi ya kila aina! Maana umeingia mwenyewe kwenye 18 za Wanafunzi wa Haji Manara! Huo ndiyo urithi pekee waliorithishwa na mwalimu wao Haji Manara! Kutukana.
 
Huyo mchambuzi ndio anaingia uwanjani?!mavii wewe
 
Mtoa mada utatukanwa matusi ya kila aina! Maana umeingia mwenyewe kwenye 18 za Wanafunzi wa Haji Manara! Huo ndiyo urithi pekee waliorithishwa na mwalimu wao Haji Manara! Kutukana.
Unawakoromea wana Simba kupost kwenye nyuzi zinazohusu Yanga yako sasa wewe huku unafuata nini? Mbona unapenda kujihesabia haki sana kuliko wengine? Relax mjomba huu mchezo hauhitaji makasiriko.
 
Unawakoromea wana Simba kupost kwenye nyuzi zinazohusu Yanga yako sasa wewe huku unafuata nini? Mbona unapenda kujihesabia haki sana kuliko wengine? Relax mjomba huu mchezo hauhitaji makasiriko.
Umepaniki bila shaka. Mimi huwa ninawajibu na kuwakumbusha. Na wala sina haki ya kumkoromea yeyote humu.
 
Back
Top Bottom