INASIKITISHA : Simba tayari ameshapoteza hii game. Arudi tu kuja jipanga

INASIKITISHA : Simba tayari ameshapoteza hii game. Arudi tu kuja jipanga

Unaugulia ukiwa wapi mtoa Uzi
 
Sijasoma ulicho andikaView attachment 2381909View attachment 2381910
IMG_20221009_132908.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.

Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.

Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.

NIMEKAA PALE 👉
Umekaa wapi jibwa koko tuje kukushika tako?
 
Nilikosea chumba oh jamani

Nikamkuta mtoto kitandani
Malizia mkuu

Au nawewe onyesha maringo
 
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.

Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.

Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.

NIMEKAA PALE 👉
Kwa matokeo haya ya leo wewe na simba nani mhuni?
 
Back
Top Bottom