Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu yako hii aibu ya gongowazi woteNina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE [emoji117]
Unateseka ukiwa wapi brother [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE [emoji117]
Ongea polepole kaka. Anaumia limya kimya huko aliko [emoji3][emoji3][emoji3]hapo kwa shemeji yako leo patakuwa hapalaliki wala hapaliki.
Ushapata taarifa?🤣Uaani hii inapendeza, yaani mwisho wa mechi ni mwanzo wa mechi mwaa🤣🤣🤣
Ndio hiko unachoona hapa LIVE..Huyu mgunda sijui nini kinazidi kumuweka simba
Hongereni kwa ushindi. Ila bado safari haijaisha. Bado mna kumbukumbu mbaya ya kutolewa na UD Songo na Galaxy mkiwa kwa Mkapa.Tunafunga goli la pili huku
Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE [emoji117]
Unayo kumbukumbu mbaya pia ya Rivers United walivyowapiga kwa ile staili mnayoipenda sana ya nje ndani.Hongereni kwa ushindi. Ila bado safari haijaisha. Bado mna kumbukumbu mbaya ya kutolewa na UD Songo na Galaxy mkiwa kwa Mkapa.
Uto mnatishaNina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE 👉
I wish matusi yote angetukanwa mtoa mada kama kuna ulazima sana wa kufanya hivyo. Tusiende kwa wazai wetu! Maana hawahusiki kabisa na hiki kinachoendelea humu jukwaani.Wewe bwege kama mama yako aliyekuzaa!
Hatuna shida na huo ushauri zaidi jikiteni kwenda kula halua halua sudanHongereni kwa ushindi. Ila bado safari haijaisha. Bado mna kumbukumbu mbaya ya kutolewa na UD Songo na Galaxy mkiwa kwa Mkapa.
Jiandae kwa mechi yetu sasa😂😂Ushapata taarifa?🤣