Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
Tuna safari ndefu sana ya uzalendo. Huu ni ujinga uliopitiliza.Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE [emoji117]
Kaipige maji ya moto utulie siyo kwa minyenyele hiyo.Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE [emoji117]
Yanga wenye AKILI ni Kikwete na Mzee Sunday by Haji Manara,Pia mmebakiwa na siku 43 za kumlipa kocha Lucy Eyamel sijui imekaaje hiyo BwasheeNina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE 👉
Tukuite nani ashura cheusi?Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE [emoji117]
Simba atapigwa 2:0Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola.
Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya. Atarudi amechakaa sana. Hatokuwa na afya njema.
Simba hawana Kocha , hawana wachezaji. HAWANA TEAM KIFUPI HAMNA KITU KABISA. NI WAHUNI TU WAMEKUSANYANA NA KUJIITA TEAM.
NIMEKAA PALE 👉
Unasubiria kipugo mrembo?Sawa tupo hapa tunasubiri mechi
Basi sawa! Unicheck mechi ikiisha🤣Unasubiria kipugo mrembo?
Lkn usihofu ntakufa machozi🤣🤣🤣
Uaani hii inapendeza, yaani mwisho wa mechi ni mwanzo wa mechi mwaa🤣🤣🤣Basi sawa! Unicheck mechi ikiisha🤣
Unawakoromea wana Simba kupost kwenye nyuzi zinazohusu Yanga yako sasa wewe huku unafuata nini? Mbona unapenda kujihesabia haki sana kuliko wengine? Relax mjomba huu mchezo hauhitaji makasiriko.Mtoa mada utatukanwa matusi ya kila aina! Maana umeingia mwenyewe kwenye 18 za Wanafunzi wa Haji Manara! Huo ndiyo urithi pekee waliorithishwa na mwalimu wao Haji Manara! Kutukana.
Umepaniki bila shaka. Mimi huwa ninawajibu na kuwakumbusha. Na wala sina haki ya kumkoromea yeyote humu.Unawakoromea wana Simba kupost kwenye nyuzi zinazohusu Yanga yako sasa wewe huku unafuata nini? Mbona unapenda kujihesabia haki sana kuliko wengine? Relax mjomba huu mchezo hauhitaji makasiriko.
Ni half time nowUaani hii inapendeza, yaani mwisho wa mechi ni mwanzo wa mechi mwaa🤣🤣🤣
Tunafunga goli la pili hukuUmepaniki bila shaka. Mimi huwa ninawajibu na kuwakumbusha. Na wala sina haki ya kumkoromea yeyote humu.