heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mwendazake ana mawakala,wewe ukiwa mmojawapoIlishanenwa watu wanaangamia kwa kukosa maarifa!
Umekariri ndio maana unaongea kama mwendawazimu...
Mtu akiongea kitu think, hata dk moja ndio ujibu. Sio ukisikia kitu tu unapanua mdomo.
Wapi nimesema kuwa inflation siyo global issue?!Habari za hapo Bujumbura Mkuu, sasa wewe hauoni kama inflation imekuwa ni global issue? leo U.S.A anatoa akiba yake ya mafuta ku cover gap na bado anataka atoe ngano ili ku feed Africa kwako wewe hauoni kama hii ni global issue?
We mpungukiwa ebu tuambie, ilikuwaje na hawa wakutane na VP.Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.
Maoni yangu;
Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?
Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?
Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA [emoji631]?!
Kila mtu ana namna ya kusolve matatizo na sio kuigana anaweza kusolve kwa kudecrease tax kwenye necessity goods Mkuu.Wapi nimesema kuwa inflation siyo global issue?!
Kwani kwa Marais hawa inflation kwao siyo global issue?ππππ
View attachment 2187203View attachment 2187205View attachment 2187208View attachment 2187209
Sisi Tanzania tofauti na Rais kuhamasisha kila kitu kipande bei na waziri husika kudai kuwa kama kuna Mtanzania ambae anajua jinsi ya kuleta mafuta ya bei nafuu nchini apeleke taarifa Serikalini, hakuna njia ambayo ni sustainable ya kutatua tatizo hili ambayo Serikali imeitangaza na ndiyo maana kila siku huwa nasema hapa kuwa tunaongozwa na Mapaka.Kila mtu ana namna ya kusolve matatizo na sio kuigana anaweza kusolve kwa kudecrease tax kwenye necessity goods Mkuu.
ExactlyKwahiyo mama kizungu kinapanda bila kusoma kwenye karatasiπ π π π
Change your attitude Mkuu sometimes it's better to look at things from all angles. Stop being NEGATIVE all the time, that attitude will consume YOU.Sisi Tanzania tofauti na kutangaziwa kuwa kila kitu kitapanda bei na waziri husika kudai kuwa kama kuna Mtanzania ambae anajua jinsi ya kuleta mafuta ya bei nafuu nchini apeleke taarifa Serikalini, hakuna njia ambayo ni sustainable ya kutatua tatizo hili ambayo Serikali imeitangaza na ndiyo maana kila siku huwa nasema hapa kuwa tunaongozwa na Mapaka.
View attachment 2187236View attachment 2187237
Unaweza kutoa maoni yako bila kukashisfu, Rais wa Jamhuri ya Muungano sio Paka, umekosea sana bwana mdogoTokea lini Rais wa Marekani akakutana na Mapaka yasiyojitambua?
Kuhamasisha ufisadi[emoji116][emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2186906
Kuhamasisha kila kitu kipande bei[emoji116][emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2186907
Kipindi kile ni sababu ya vita baridi kati ya Marekani na Urusi, Sasa hivi Marekani hawana cha kupoteza, Hata Malkia Elizabeth aliitembelea Tanzania mwaka 1978.Kweli mambo yamebadilika. Nyerere alikuwa anakutana na Rais mwenzake. Naona waafrika sasa hivi wanaonana na mweusi mwenzao.
Amandla...
Labda atakutana na Mange Kimambi.
Hivi alikwenda kumpokea?View attachment 2187196
Nimecheka kwa mshangao wa herufi kubwa.Labda anataka kumpa mbinu za kuachana na umakamu wa Rais na kuwa Rais kamili bila ya kusumbuka kupiga kampeni.
Huyu siyo Rais wa jamhuri.Uliona wapi Rais wa jamhuri anahamasisha ufisadi katika Taifa?!Unakosea sana bwana mdogoUnaweza kutoa maoni yako bila kukashisfu, Rais wa Jamhuri ya Muungano sio Paka, umekosea sana bwana mdogo
Anaepaswa kuchange attitude ni Rais ambae anahamasisha vitu kupanda bei na kuhamasisha ufisadi katika Taifa.Change your attitude Mkuu sometimes it's better to look at things from all angles. Stop being NEGATIVE all the time, that attitude will consume YOU.
MAPAKA NI KUANZIA BABAYAKO NA LILE SHOGA LA UBERIGIJI NA MWISHO LILE GAIDI LILILO TOKA JELA JUZI HAYO NDIYO MAPAKATokea lini Rais wa Marekani akakutana na Mapaka yasiyojitambua?
Kuhamasisha ufisadiππππ
View attachment 2186906
Kuhamasisha kila kitu kipande beiππππ
View attachment 2186907